miss_blossom
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,607
- 2,155
Kwn ndio wapiHaha pia wakikuita Central waambie wee mgeni, hupajui
Kwn ndio wapiHaha pia wakikuita Central waambie wee mgeni, hupajui
HahahahahaHivi unazani kulala daily bila chupi ni mchezo?
Dah, Shkamoo miss_blossomKwn ndio wapi
Ha haaaa Nimecheka kwa sautiiiWewe unashangaa hayo?? Kuna watu wengine ni wakubwa tu serikalini lakini wanalia Kanisani
Marhaba mtt mzurDah, Shkamoo miss_blossom
Mhmmhmhmhmhmhmhmhmhmhmh..I can show and then u wont show up. Then likely, i may show the picture which is not of my own. How ar u going to believe that it is the one..... Just the matter of PMing then we shall talk more.... Hahahha
Huyo baba ata ingekua mimi ningelia!!! Leo tu kanipiga marufuku kumuomba vocha machozi yakanilenga [emoji4][emoji4][emoji4]siku moja kabla ya kuolewa nilikua naona siku haiendi kesho ifike na mimi niwe na uhakika wa mtu wa kulala nae siku 365 na robo,siku ilipofika asubuhi mpaka mida ya jioni ilikua ni furaha tu, nilianza kulengwa lengwa na machozi pale nilipopewa wosia wa wazazi kwenye sherehe na Kubabidhia katika familia mpya "nikajisemea eeh inamaana ni kweli mimi na familia yangu niliyoizoea ndio tunatengana kweli" Nikalia tena baba yangu aliponiambia "ukifanyiwa baya lolote usije kwangu kuanzia Leo nimekukabidhi kwa baba mwingine wa kushughulikia matatizo yako,ukija kwangu nitakuondoa kabla hujakaa chini, ukiwa na mazuri njoo hata usiku unigongee dirishani" nikalia kwa maana niliwaza huyu baba baba gani anayenitaka kwa mazuri tu tofauti na zamani?
Kimbembe pale nilipopigiwa wimbo wa Twanga pepeta "ayaya kuolewa, nitarudi nyumbani kutembea........!! Hakii chozi liliongezeka kwa kweli" sitaisahau ile siku maana ilikua nzito kuliko siku zangu zoote ,Alhamdullilah maisha yamekua mazuri mpaka hii Leo
Yaani wazee wakishapokea mahari wanatugeukaga balaa hahaha kifupi wanakua wametuuzaHuyo baba ata ingekua mimi ningelia!!! Leo tu kanipiga marufuku kumuomba vocha machozi yakanilenga [emoji4][emoji4][emoji4]
Mda mwingine nikiwaza ishu ya ndoa najishisi kama mfugo tu hapa nyumbani!!! Wamejitolea tu kunilea, akija kijana fulani hapo ananichukua kuanzia mwili mpaka jina!!! Daah!!! Wanawake tuna shida, yaani unaanza maisha upya na familia nyingine...Yaani wazee wakishapokea mahari wanatugeukaga balaa hahaha kifupi wanakua wametuuza
Unaweza kuringa tu the way Mungu alivyokubarikiUwiiii si ningeringa mtaa mzima wasingekunywa maji
Ntakupa mrejeshoKila lakheri