Kitendo cha watu kulia harusini, tatizo ni nini?

Kitendo cha watu kulia harusini, tatizo ni nini?

Teh Defense mechanism hio khakha
Japokua yote ni mipango ya mungu si suala la kulaumu au kumcheka mtu
Hahahhaa!.... Am not a Kibamia.... Was just trying to briefly explain ma point... Wanna prove, knock me on PM
 
Tena hao wapo wengi sana.. Namimi nikiwepo
Yani nawashangaa sio kidogo eti
ah mambo yamafamilia mkuu ni pasua kichwa tu acha maana kuna mengi yamejificha uko ...sasa ukitoboa tu lazima wafanye kila hila kukurudisha nyuma ndomana watu wanaumia sana wanajikuta machozi yanawatoka
 
ah mambo yamafamilia mkuu ni pasua kichwa tu acha maana kuna mengi yamejificha uko ...sasa ukitoboa tu lazima wafanye kila hila kukurudisha nyuma ndomana watu wanaumia sana wanajikuta machozi yanawatoka
Kweli kabisa.. Kuna familia ni tata/ korofi yani acheni tu
 
Kweli kabisa.. Kuna familia ni tata/ korofi yani acheni tu
Kuna dada mmoja mtaani kipindi anataka kuolewa basi ilikuwa balaa tupu...Yaan familia ilikuwa ni misiba kwenda mbele ..yaan kama una moyo mdogo mnaweza hairisha harusi...

maana leo unaskia bibi mzaa mama kapata ajali mara kesho hili ..

Hii dunia acheni tu maana ata mungu wa Dar Dunia ilishamnyoosha
 
if it do so pm utanioneshapo kapicha?!!
I can show and then u wont show up. Then likely, i may show the picture which is not of my own. How ar u going to believe that it is the one..... Just the matter of PMing then we shall talk more.... Hahahha
 
Ni mchanganyiko wa furaha na huzuni kwani maisha unayo kwenda kuyaanza ni mapya kabisa,ingawa wengine wanaona kama ni fasheni kujiliza kwahiyo wanajikamua machozi.
 
siku moja kabla ya kuolewa nilikua naona siku haiendi kesho ifike na mimi niwe na uhakika wa mtu wa kulala nae siku 365 na robo,siku ilipofika asubuhi mpaka mida ya jioni ilikua ni furaha tu, nilianza kulengwa lengwa na machozi pale nilipopewa wosia wa wazazi kwenye sherehe na Kubabidhia katika familia mpya "nikajisemea eeh inamaana ni kweli mimi na familia yangu niliyoizoea ndio tunatengana kweli" Nikalia tena baba yangu aliponiambia "ukifanyiwa baya lolote usije kwangu kuanzia Leo nimekukabidhi kwa baba mwingine wa kushughulikia matatizo yako,ukija kwangu nitakuondoa kabla hujakaa chini, ukiwa na mazuri njoo hata usiku unigongee dirishani" nikalia kwa maana niliwaza huyu baba baba gani anayenitaka kwa mazuri tu tofauti na zamani?
Kimbembe pale nilipopigiwa wimbo wa Twanga pepeta "ayaya kuolewa, nitarudi nyumbani kutembea........!! Hakii chozi liliongezeka kwa kweli" sitaisahau ile siku maana ilikua nzito kuliko siku zangu zoote ,Alhamdullilah maisha yamekua mazuri mpaka hii Leo
 
Kuna mambo hukumbuka......mwingine hufurah hd kulia,mwingine kaondokewa na mtu muhim km mm au bb so ile cku anakumbuka wazaz wang wangekuwepo labda wangefanya hv au vle mtazamo wangu
 
siku moja kabla ya kuolewa nilikua naona siku haiendi kesho ifike na mimi niwe na uhakika wa mtu wa kulala nae siku 365 na robo,siku ilipofika asubuhi mpaka mida ya jioni ilikua ni furaha tu, nilianza kulengwa lengwa na machozi pale nilipopewa wosia wa wazazi kwenye sherehe na Kubabidhia katika familia mpya "nikajisemea eeh inamaana ni kweli mimi na familia yangu niliyoizoea ndio tunatengana kweli" Nikalia tena baba yangu aliponiambia "ukifanyiwa baya lolote usije kwangu kuanzia Leo nimekukabidhi kwa baba mwingine wa kushughulikia matatizo yako,ukija kwangu nitakuondoa kabla hujakaa chini, ukiwa na mazuri njoo hata usiku unigongee dirishani" nikalia kwa maana niliwaza huyu baba baba gani anayenitaka kwa mazuri tu tofauti na zamani?
Kimbembe pale nilipopigiwa wimbo wa Twanga pepeta "ayaya kuolewa, nitarudi nyumbani kutembea........!! Hakii chozi liliongezeka kwa kweli" sitaisahau ile siku maana ilikua nzito kuliko siku zangu zoote ,Alhamdullilah maisha yamekua mazuri mpaka hii Leo
daah haya bhana
 
Back
Top Bottom