Mahaba ni makubaliano, binafsi na mume wangu huwa tunakubaliana wala si jambo la kila basi ni kwichi kwichi No ila mkijiendekeza ndio hivyo tenaIla kudaiwa mahaba kila siku Nayo kazi kweli,wakati nimejizoelea kwa mwez Mara 1
Wee ndo unakua wake mazima hivoooUsijali bhana. Kuna wanaume wasiochukua majina. Your name will remain as it is. Kumbuka siyo kwamba amekuchukua mazima, hata yeye ana kwao. Mmechukuana... Usijali mpendwa.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Wewe unashangaa hayo?? Kuna watu wengine ni wakubwa tu serikalini lakini wanalia Kanisani
yaani kama umelala na boxer lazima utaulizwa tu.......(uhuru unaingiliwa)sasa unaenda kuishi jela ndogo, yan utii bila shuruti, kila kitu had ukubaliane na mwenzako na hapo hapo vingne ulivozoe kuvifanya ye hataki
Mbona sioni kitu...Nishakuja mbona hujaiona??
Au pm nyingi sana kiasi kwamba yangu sijui itasomwa lini??
ww umeolewa?Ndoivo kulikoni Leo??
Mchana hujala
Umerudi upo bize
Halafu unalala tu hata hatujaongea vizuri!! Tehteh
Unajua mwanamke mtam ukiwa unamuiba ila ukiweka ndani mnazoeana!!!!!Tehteh
Kwanini jamani??
Shida itakua nini??
Pole sana kama nakuona unalia vile View attachment 480614
Mahondaw nipm basiUsicheke shoga mambo si mambo
Mpaka mwanaume kutoa chozi sio rahisi!
Nimetangulia unamtanguliza mwanaume!!!!Kuna nini huko pm??
Kama una haraka tanguliako ntakukuta huko
Kwa icho ulichojaliwaMasihara hayo
Kwa kipi hasa???
Una utani wa ngumi ee??
We subiria tu usijaliI'm waiting
Ila take care ohoooo
Expect less ili isije kuwa ndivo sivo ikawa mambo ya kimya kimya
Bora muitane wenyewe mifugo mana tukiwaita sisi fasta mnakimbilia haki za binadamuMuda ukifika utakubaliana na kila hali mama, hakuna jinsi sie ni kama mfugo unabadirishiwa mfugaji tu toka baba Mzazi hadi baba mlezi ambae ni mumeo