Muda ukifika utakubaliana na kila hali mama, hakuna jinsi sie ni kama mfugo unabadirishiwa mfugaji tu toka baba Mzazi hadi baba mlezi ambae ni mumeoMda mwingine nikiwaza ishu ya ndoa najishisi kama mfugo tu hapa nyumbani!!! Wamejitolea tu kunilea, akija kijana fulani hapo ananichukua kuanzia mwili mpaka jina!!! Daah!!! Wanawake tuna shida, yaani unaanza maisha upya na familia nyingine...
Sio mwili tu rohoMda mwingine nikiwaza ishu ya ndoa najishisi kama mfugo tu hapa nyumbani!!! Wamejitolea tu kunilea, akija kijana fulani hapo ananichukua kuanzia mwili mpaka jina!!! Daah!!! Wanawake tuna shida, yaani unaanza maisha upya na familia nyingine...
Kweli kabisaSio mwili tu roho
Mm nawaza siku ya ndoo nitaliaje japo mwanaume!!!!!!!!!Kweli kabisa
Usinielewe tu.... Nifate tulipoelewanaMhmmhmhmhmhmhmhmhmhmhmh..
Haya bana nimekuelewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mm nawaza siku ya ndoo nitaliaje japo mwanaume!!!!!!!!!
Usijali bhana. Kuna wanaume wasiochukua majina. Your name will remain as it is. Kumbuka siyo kwamba amekuchukua mazima, hata yeye ana kwao. Mmechukuana... Usijali mpendwa.Mda mwingine nikiwaza ishu ya ndoa najishisi kama mfugo tu hapa nyumbani!!! Wamejitolea tu kunilea, akija kijana fulani o ananichukua kuanzia mwili mpaka jina!!! Daah!!! Wanawake tuna shida, yaani unaanza maisha upya na familia nyingine...
Kitakachokuliza ni Mawazo juu ya majukumu mapya na kufikiri namna utakavyoweza kumtunza mke kama baba yako alivyomtunza mama yakoMm nawaza siku ya ndoo nitaliaje japo mwanaume!!!!!!!!!
Mmh! Kanichukua bwana!!! Mi si ndo natolewa mahari!Usijali bhana. Kuna wanaume wasiochukua majina. Your name will remain as it is. Kumbuka siyo kwamba amekuchukua mazima, hata yeye ana kwao. Mmechukuana... Usijali mpendwa.
Ila kudaiwa mahaba kila siku Nayo kazi kweli,wakati nimejizoelea kwa mwez Mara 1Kitakachokuliza ni Mawazo juu ya majukumu mapya na kufikiri namna utakavyoweza kumtunza mke kama baba yako alivyomtunza mama yako