Kitendo cha watu kulia harusini, tatizo ni nini?

Kitendo cha watu kulia harusini, tatizo ni nini?

Furaha na huzuni pia!!! Kuna matendo yanakumbusha mbali, unakumbuka ulipotoka... Mwingine labda aliambiwa hatoolewa..

Kwenye harusi ya dada yangu nililia haswa pale alipopanda kwenye gari na mumewe kuondoka ukumbini! Yaani nikaanza fikiria bye bye kupiga umbea usiku tukiwa chumbani, ntavimisi vituko vyake etc
 
Sijawanyooshea mm [emoji29] nmesema tu
Yani kitendo cha kusema vinakuchafua tayari ushavinyooshea mkuu,ndo mana nikakwambia usije ukazaa midume tupu afu yote vibamia.Tena baba yao akiwa kibamia ndo kabisaaa
Ha ha ha
Kazi unayo
 
Furaha na huzuni pia!!! Kuna matendo yanakumbusha mbali, unakumbuka ulipotoka... Mwingine labda aliambiwa hatoolewa..

Kwenye harusi ya dada yangu nililia haswa pale alipopanda kwenye gari na mumewe kuondoka ukumbini! Yaani nikaanza fikiria bye bye kupiga umbea usiku tukiwa chumbani, ntavimisi vituko vyake etc
Pole sana mpendwa wangu....
 
They say haviridhishi au kumfikisha mwanamke aendako nahivo kumchosha tu kwa usumbufu wa robo safari
Yes. The screw fits the hole of its size. This just clarifies, if don't like a kibamia automatically you p will be of a big size yaani Bwawa....
 
Yes. The screw fits the hole of its size. This just clarifies, if don't like a kibamia automatically you p will be of a big size yaani Bwawa....
Teh Defense mechanism hio khakha
Japokua yote ni mipango ya mungu si suala la kulaumu au kumcheka mtu
 
Mfano baba /mama nao wakilia wanafurahia wanao kuoa / olewa au??
Ujue machozi ya watu yanatofautiana.. Kuna mwingine hata akifaulu mtihani anatokwa na machozi au hata mwanae akifanikiwa tu yeye analia ndio anakuwa na amani
 
umeona sasa [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Au nyingine unakuta ndugu wanamuwekea kauzibe asiolewe
Tena hao wapo wengi sana.. Namimi nikiwepo
Yani nawashangaa sio kidogo eti
Mimi kama ni kuolewa ningeshaolewaga tangu nimemaliza form four
Pingamizi kibao toka kwa ndugu hata siwaelewag
 
Ujue machozi ya watu yanatofautiana.. Kuna mwingine hata akifaulu mtihani anatokwa na machozi au hata mwanae akifanikiwa tu yeye analia ndio anakuwa na amani
Hapo ndo harusini wazazi wakalia sasa
 
Back
Top Bottom