Nyangeta Mussa
Senior Member
- Dec 8, 2014
- 199
- 127
Ikitokea hiyo chance I swear to God sitayaficha machozi yangu ya furaha na kumbukumbu heartbroken nilizowahi kupitia kwa niliowaamini
Teh teeh umewahi kupi[emoji109] [emoji109] [emoji109]Hahahhaa, naanza kukuita kabwawa.... From now... Kabwawa
Ha ha haWewe unashangaa hayo?? Kuna watu wengine ni wakubwa tu serikalini lakini wanalia Kanisani
[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]Inabidi nije niprove ili nikupe hongera nyingi [emoji12]
Nani anipige mkuu Bwawa? Au unataka kunipiga?Teh teeh umewahi kupi[emoji109] [emoji109] [emoji109]
Weee Bloss, ujue wanatuchora, mimi ngoja nikaushe,Afu ukirudi unarudi kimya kimya kuzindua barabara [emoji1]
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]Nani anipige mkuu Bwawa? Au unataka kunipiga?
Kuna mtu juzi tupo nae mjini huko nikashangaa anaitwa jina tofauti na tunalolijua kaziniHahaha unanichongea eeh?? Unasema mimi sio wa nchi hii ili uhamiaji waje wanidai vyeti? Haha
mambo Inna ..umeolewa?Wanakua too emotional kwa furaha
Hahaha!! Hapana Mkuu STUNTER .Nikasome wapi mkuu? Hunitakii mema wewe
wengi wao raha inapitiliza au wanakuwa na hisia sana hadi wanashindwa kujizuia inabidi tu walie machozi...Habari ya siku members!
Hivi ni kwanini baadhi ya watu hulia harusini??
View attachment 480480View attachment 480507 View attachment 480479View attachment 480481View attachment 480482View attachment 480483View attachment 480496View attachment 480497
Vipi ushawahi lia?? Shida/ tatizo ilikua ninini??
Mkuu Bwawa, usijali mimi nina mandingo.... Vibamia wasikuchafue....[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Bado nipo nipomambo Inna ..umeolewa?
huyu kakuingiza chaka hakuna uhusiano wowote hapo, kaamua tu kuwadhalilishaSasa kuchomoa mimba na kulia kuna uhusiano gani hapo?!
Nakuja Inna[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]