[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Watu hulia kwa mengi maana harusi zina mambo mengi...
usikute mweka hazina alikimbia na fungu ila watu wakajipanga upya tena
Kwani hukusoma ile thread watu wanaolewa ili kutunza heshima ila hampend mtu wala nnAlijuaje ni kibamia kama hajakionja?
na kama alishajua jamaa ana kibamia basi asingekubali kuolewa naye.
Yani wanaolia wengi ni virgin,trust me
Wewe mahondaw huyoMbona simpo tu kulala bila chupi??
Si ndo unakua hubanwi banwi
Make chupi nazo mida mingine zinaboa
Mbona ni kama cha mtu mwenye hasiraaNachekaa mama
Hapana dearMbona ni kama cha mtu mwenye hasiraa
Hapna kiukweli. Yani nilie wakati ndoa in inafungwa nooo ni udhaifu mkubwaHahahaahhahahaahahahahaha.
Wewe unaweza lia??
Legea mwenyewe..... Sasa kwa nini hutaki Kibamia.... HahahaShindwaaaaa sina bwawa wala ziwa
Hongera kwa kuwa na mnato InnaShindwaaaaa sina bwawa wala ziwa
Kama sio virgin basi ujue analia maana hatakua anapata muda mwingi wa kuona michepuko yakeWewe ndo unabisha sasa
Hahaha kinachafuaLegea mwenyewe..... Sasa kwa nini hutaki Kibamia.... Hahaha
Very good answer hahahahWewe unashangaa hayo?? Kuna watu wengine ni wakubwa tu serikalini lakini wanalia Kanisani
Nadandia fastjet fasta nashuka bondeni kujichimbiaWaje tu wakuchukue au wakupeleke koromije [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji120] [emoji120]Hongera kwa kuwa na mnato Inna
Hahahhaa, naanza kukuita kabwawa.... From now... KabwawaHahaha kinachafua
Kuwa makini kulala bila chupi maana unaweza kuta mchawi kafanya yakeMbona simpo tu kulala bila chupi??
Si ndo unakua hubanwi banwi
Make chupi nazo mida mingine zinaboa
AiseeKwani hukusoma ile thread watu wanaolewa ili kutunza heshima ila hampend mtu wala nn
Vyeti mama vyeetiiiiSababu ya kilio hasa ninini??
Afu ukirudi unarudi kimya kimya kuzindua barabara [emoji1]Nadandia fastjet fasta nashuka bondeni kujichimbia
Inabidi nije niprove ili nikupe hongera nyingi [emoji12][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji120] [emoji120]