Kitendo cha Maaskofu wa TEC kuomba NOVENA na Rais kukimbilia kikao cha Maimam ni kuligawa Taifa kidini

Kitendo cha Maaskofu wa TEC kuomba NOVENA na Rais kukimbilia kikao cha Maimam ni kuligawa Taifa kidini

Mtanke

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
804
Reaction score
2,059
Umoja wetu ni TUNU ya Taifa letu. Maaskofu na Watanzania wana hoja katika swala zima la kudai haki.
Badala ya Rais na serikali yake kuwasikiliza ili kulinda Umoja wetu yeye ameamua kutugawa kwa kukimbilia kuongea na Maimam.

Je anataka tufarakane kidini? Je maimam wanaunga mkono watu kutekwa? Kunyimwa haki na wizi wa kura? Rais anatugawa. Huku sio kuilinda Katiba yetu aliyoapa kuilinda.

Nakumbuka kule Misri tabia kama hii waliifanya Muslim Brotherhood na ililiingiza Taifa lao kwenye machafuko hadi jeshi likaamua kushika hatamu.

Vyombo na Dola kuweni macho. Watu waliofilisika hoja wanataja UDINI JK Nyerere. 29 October sio uchaguzi wa Imam
 
Novena ina mtindo wake, kusali kama mtu mmoja kuomba mambo yako au jamii kuomba mambo yenu kwa pamoja.

Kusali pekee na jumuiya kuna utaratibu wa muongozo wa sala.

Baba yangu alikuwa mkatoliki, mama yangu muislamu (wote wamezikwa kwa imani zao). Dini zote nazijua at elementary level; sio vile.

Sasa sidhani kama katika hizi siku tisa kanisa limeongoza kwenye sala ya jumuiya, vinginevyo ni kwamba kila mtu alikuwa anaenda kwa mtindo wake tu
(Inawezekana pia hilo ndio lilikuwa lengo la kanisa).

Either way with or without Novena, Tanzania inahitaji changes.

Busara ni kuzikubali hayo maombi.

kilichobaki sasa ni ‘bo-tozo’ na genge lake; wajue wanapima patient ya vyombo vya ulinzi.

If you ask me wamevuka mipaka ya uvumilivu; you can’t blame them ni watu wasio jua kula na vipofu.

I don’t know or how long it will take, lakini ‘bi-tozo’ muda wake umeisha.

Ni sawa na Magufuli pamoja na kazi kubwa aliyofanya ya kujenga nchi; Lakini kuzuia chanjo ya COVID huo ulikuwa mwisho wa mipaka ya uvumilivu wa vyombo vya usalama.

Kwa ‘bi-tozo’ kwa hali ya nchi ilipofika hana muda mrefu; nchi aina kiongozi.

Mjumbe auwawi, watch this space.
 
Umoja wetu ni TUNU ya Taifa letu. Maaskofu na Watanzania wana hoja katika swala zima la kudai haki.
Badala ya Rais na serikali yake kuwasikiliza ili kulinda Umoja wetu yeye ameamua kutugawa kwa kukimbilia kuongea na Maimam.

Je anataka tufarakane kidini? Je maimam wanaunga mkono watu kutekwa? Kunyimwa haki na wizi wa kura? Rais anatugawa. Huku sio kuilinda Katiba yetu aliyoapa kuilinda.

Nakumbuka kule Misri tabia kama hii waliifanya Muslim Brotherhood na ililiingiza Taifa lao kwenye machafuko hadi jeshi likaamua kushika hatamu.

Vyombo na Dola kuweni macho. Watu waliofilisika hoja wanataja UDINI JK Nyerere. 29 October sio uchaguzi wa Imam
Atugawe mara ngapi?

Wewe huoni akina Jumanne Muliro wapo kazini tayari?

Padre kagongwa kichwani na kitu butu kwa nia ya kumuua; umesikia Samia akisema chochote, mbali ya kutoa vihela makanisani kama hongo!

Omba sana Mungu aepushe, vinginevyo hatupo mbali kusikia watu wamevamiwa kanisani na kuuliwa kama tunavyo sikia huko kwingine.

Kama hadi wakati huu bado hujui Tanzania ilivyo gawanyika; jaribu tu kutazama hata uchangiaji humu JF pekee. Ninaweza kukuhakikishia zaidi ya asili mia tisini wanao mtetea Samia Suluhu Hassan ni wa imani yake. Utetezi wao si wa kuitetea Tanzania, bali imani inayowahusu wao. Hata kama BAKWATA msimamo wake si wa kila mmoja wa watu wa imani hiyo; lakini kukazia kwao AMANI na kutotaka hiyo amani itokane na HAKI, ni wazi msukumo ni huo huo wa kiimani, na siyo maslahi ya nchi Tanzania.

Yeye mwenyewe, kama Rais, umemsikia lini akilizungumzia swala la umoja wetu kama ajenda kuu kabisa ya uongozi wake?

Miaka mitano mingine ya Samia haitaiacha Tanzania salama hata kidogo, hili lipo wazi kabisa.
 
Umoja wetu ni TUNU ya Taifa letu. Maaskofu na Watanzania wana hoja katika swala zima la kudai haki.
Badala ya Rais na serikali yake kuwasikiliza ili kulinda Umoja wetu yeye ameamua kutugawa kwa kukimbilia kuongea na Maimam.

Je anataka tufarakane kidini? Je maimam wanaunga mkono watu kutekwa? Kunyimwa haki na wizi wa kura? Rais anatugawa. Huku sio kuilinda Katiba yetu aliyoapa kuilinda.

Nakumbuka kule Misri tabia kama hii waliifanya Muslim Brotherhood na ililiingiza Taifa lao kwenye machafuko hadi jeshi likaamua kushika hatamu.

Vyombo na Dola kuweni macho. Watu waliofilisika hoja wanataja UDINI JK Nyerere. 29 October sio uchaguzi wa Imam
Aliyetabiri Rais mwanamke kutawala awamu moja ni marehemu Shekhe Yahya ni muislam acha aende huko wakamfanyie unafiki wao maana Bakwata ndipo kitovu cha wanafiki wakubwa
 
Novena ina mtindo wake, kusali kama mtu mmoja kuomba mambo yako au jamii kuomba mambo yenu kwa pamoja.

Kusali pekee na jumuiya kuna utaratibu wa muongozo wa sala.

Baba yangu alikuwa mkatoliki, mama yangu muislamu (wote wamezikwa kwa imani zao). Dini zote nazijua at elementary level; sio vile.

Sasa sidhani kama katika hizi siku tisa kanisa limeongoza kwenye sala ya jumuiya, vinginevyo ni kwamba kila mtu alikuwa anaenda kwa mtindo wake tu
(Inawezekana pia hilo ndio lilikuwa lengo la kanisa).

Either way with or without Novena, Tanzania inahitaji changes.

Busara ni kuzikubali hayo maombi.

kilichobaki sasa ni ‘bo-tozo’ na genge lake; wajue wanapima patient ya vyombo vya ulinzi.

If you ask me wamevuka mipaka ya uvumilivu; you can’t blame them ni watu wasio jua kula na vipofu.

I don’t know or how long it will take, lakini ‘bi-tozo’ muda wake umeisha.

Ni sawa na Magufuli pamoja na kazi kubwa aliyofanya ya kujenga nchi; Lakini kuzuia chanjo ya COVID huo ulikuwa mwisho wa mipaka ya uvumilivu wa vyombo vya usalama.

Kwa ‘bi-tozo’ kwa hali ya nchi ilipofika hana muda mrefu; nchi aina kiongozi.

Mjumbe auwawi, watch this space.
Umebwabwaja bila lengo.
Ninacho kisoma ni hilo la "Bi - tozo" kuishiwa na muda; mengine yote ni porojo tu.
 
Tanzania hakuna uchaguzi maana watanzania hawataki maigizo sasa kuchezezea pesa za walipa kodi kuzunguka Nchi nzima kuchuana na Salum Mwalimu mpinzani feki mjinga mjinga ni Aibu ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi, bora kuahirisha huu uchaguzi ufanyike mwakani Baada ya Nchi kukaa sawa
 
Umoja wetu ni TUNU ya Taifa letu. Maaskofu na Watanzania wana hoja katika swala zima la kudai haki.
Badala ya Rais na serikali yake kuwasikiliza ili kulinda Umoja wetu yeye ameamua kutugawa kwa kukimbilia kuongea na Maimam.

Je anataka tufarakane kidini? Je maimam wanaunga mkono watu kutekwa? Kunyimwa haki na wizi wa kura? Rais anatugawa. Huku sio kuilinda Katiba yetu aliyoapa kuilinda.

Nakumbuka kule Misri tabia kama hii waliifanya Muslim Brotherhood na ililiingiza Taifa lao kwenye machafuko hadi jeshi likaamua kushika hatamu.

Vyombo na Dola kuweni macho. Watu waliofilisika hoja wanataja UDINI JK Nyerere. 29 October sio uchaguzi wa Imam
Tuendako kunatabirika kirahisi sana!
 
Atugawe mara ngapi?

Wewe huoni akina Jumanne Muliro wapo kazini tayari?

Padre kagongwa kichwani na kitu butu kwa nia ya kumuua; umesikia Samia akisema chochote, mbali ya kutoa vihela makanisani kama hongo!

Omba sana Mungu aepushe, vinginevyo hatupo mbali kusikia watu wamevamiwa kanisani na kuuliwa kama tunavyo sikia huko kwingine.

Miaka mitano mingine ya Samia haitaiacha Tanzania salama hata kidogo, hili lipo wazi kabisa.
wavamiwe kwa kuomba novenai?
 
Aliyetabiri Rais mwanamke kutawala awamu moja ni marehemu Shekhe Yahya ni muislam acha aende huko wakamfanyie unafiki wao maana Bakwata ndipo kitovu cha wanafiki wakubwa
kah!
 
Umoja wetu ni TUNU ya Taifa letu. Maaskofu na Watanzania wana hoja katika swala zima la kudai haki.
Badala ya Rais na serikali yake kuwasikiliza ili kulinda Umoja wetu yeye ameamua kutugawa kwa kukimbilia kuongea na Maimam.

Je anataka tufarakane kidini? Je maimam wanaunga mkono watu kutekwa? Kunyimwa haki na wizi wa kura? Rais anatugawa. Huku sio kuilinda Katiba yetu aliyoapa kuilinda.

Nakumbuka kule Misri tabia kama hii waliifanya Muslim Brotherhood na ililiingiza Taifa lao kwenye machafuko hadi jeshi likaamua kushika hatamu.

Vyombo na Dola kuweni macho. Watu waliofilisika hoja wanataja UDINI JK Nyerere. 29 October sio uchaguzi wa Imam
Tumia akili badala ta makalio, kila kundi hapo ina shughuli zake, Rais alialikwa, acha kutengeneza mambo ya kijinga
 
Muungano ufe Tanganyika iwe huru mkoloni kaburu wa Zanzibar arejee kwao
Ninacho weza kukuhakikishia bila ya shaka yoyote ni kuwa Samia Suluhu Hassan hajawahi kuwa mpenzi wa Muungano; ukiweka pembeni faida aliyoipata yeye mwenyewe kutokana na Muungano huo.
 
Back
Top Bottom