Kitendo cha CHADEMA 'kuimport' viongozi wa Kanda kutoka Kaskazini, je nini nyuma ya pazia?

Mtoa mada una dalili za ubaguzi. Sidhani kama inafaa kutoa nafasi au fursa kwa kuangalia nani katoka wapi zaidi uwezo wa mhusika
 
Yalianza malalamiko Mkoa wa Ruvuma kuwa CHADEMA wameteua mbunge wa viti maalum ambaye si mwenyeji wa Mkoa huo. Wanawake wa BAWACHA wakaandamana kupinga ukandamizaji huo wa CHADEMA. Hawakusikilizwa.

Zikaja taarifa za Frederick Sumaye kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani. Hili lilijadiliwa kimya kimya wengi wakiwa na mtazamo kuwa Sumaye kajidhalilisha kugombea nafasi hiyo. Hapa suala la Ukaskazini kusimikwa Pwani halikujadiliwa.

Sasa limekuja hili la Patrick Ole Sosopi kugombea Uenyekiti wa CHADEMA kanda ya Ziwa Nyasa. Hili limeanza kupigiwa kelele. Baadhi ya wana CHADEMA hasa kwenye magroup ya facebook wameanza kupaza sauti kuwa kinachofanywa na CHADEMA Makao Makuu 'kuimport' watu wa Kaskazini kugombea uongozi kwenye kanda zingine hakika halikubaliki. Ikumbukwe kuwa karibu safu yote ya Wakurugenzi wa CHADEMA Makao Makuu wanatoka Kanda ya Kaskazini. Sasa kanda zingine wameanza kuwapangia nani awaongoze kitu ambacho si sahihi.

Swali la kujiuliza, je ni kweli CHADEMA hawana watu sahihi wa kuongoza chama kwenye kanda tofauti na wale wanaotoka Kaskazini? Au kuna nini nyuma ya pazia?
Wewe hujui CDM ni chama cha akina nani ?
 
kama tuhuma hizi ni za kweli na si propaganda basi chadema kinaelekeaa kukosa sifa ya kujipambanua kama chama cha kitaifa na si cha kikanda. naomba kina ben saanane waje wathibitishe haya ili sisi wanchama wengine tupate mwanga
aje aseme kuwa yeye ni wa kanda ya kaskazini? sahau
 
Nakumbuka bunge lilopita Shinyanga(sasa Shinyanga na Simiyu) ilikuwa na wabunge wanne was kuchaguliwa ila viti maalumu mmoja tu wakati Kilimanjaro ilikuwa na wabunge watatu wa kuchaguliwa lakini viti maalum walikuwa 10+. Chadema iliiangalie hili kwa jicho LA tai.
Viti maalumu havipatikani kutoka na wabunge wa mkoa fulani eti wako 5, basi viti maalumu vitatoka vingi huko, hiyo ni akili yakuambiwa. Ni suala linaloongozwa na mchakato, tena kwa taarifa yako mchakato wa viti maalumu 2010-2015 ulisimamiwa na Kitila Mkumbo. Kwa hilo umechemka CDM ina mchakato mzuri tena usio na upendeleo.
 
Ukitaka kuamini jaribu kuangalia hata uongozi wa chadema wilaya ya Kinondoni ndo utaelewa mleta maada amezungumza zaidi ya ukweli!
 
Siku zote kampuni ya ukoo hutakiwa kuendeshwa na wanaukoo maana ndio wanaoweza kuaminiwa bila maswali mengi.
 
Pamoja na ukweli kwamba lizaboni ni ant chadema lakin alichokisema naona kina mashiko, sisi kama chadema tuache mipasho , tulifanyie kaz hili suala. La sivyo CCM wataendelea kupeta tuuuu.
Kwa vile amesema Ruvuma kiserikali inatambulika ipo nyanda za juu kusini?huoni kama hapo ameongopa?
 
Nimesoma uzi huu nikajumlisha na ule wa shekh kudai mkuu wa kaya ameweka watu wa dini yake kama mtzania nikaogopa sana.

Ktk uzi huu watu wanachochea chuki hawana tofauti na shekh.

Tafadhali kama una akili timamu stop it for our future lovely country and generation to come.
 
Wapumbavu ndio wanaoleta upuuzi kama huu, ni lini, na nani, na wapi palipokataza watanzania walipangiwa wagombee? Au wafanye KAZI?
 
Back
Top Bottom