Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,320
- 33,125
Nauliza Swali Jamani mkubwa wa jiko ni nani?
Umepata hongera kwanini ikawa chumvi ni mkubwa jiko?chumvi
Mpishi.Nauliza Swali Jamani mkubwa wa jiko ni nani?
Mkubwa wa jiko ni chumvi mkuuMpishi.
Kama jibu limepatikana ina maana na uzi umekatikia hapo hapo? Nyuzi nyingine bana!Mkubwa wa jiko ni chumvi mkuu
umekosea hichi ni kiswahili cha watu wa pwani mkuuni mafiga.
Source?Mkubwa wa jiko ni chumvi mkuu
Jiko la gesi nalo lina mafiga? Mkubwa wa jiko ni chumvi bibie hujuwi kuwa Chakula bila ya chumvi hakinogi? Sawasawa na mwanamme asiye kuwa na Mwanamke hana raha ya maisha.mafiga,bila mafiga uyo mpishi atapikaje na iyo chumvi
Jiko la gesi nalo lina mafiga? Mkubwa wa jiko ni chumvi bibie hujuwi kuwa Chakula bila ya chumvi hakinogi? Sawasawa na mwanamme asiye kuwa na Mwanamke hana raha ya maisha.
mafiga,bila mafiga uyo mpishi atapikaje na iyo chumvi
Moto kazi yake kuunguza vyakula sio kunogesha chakula Umekosea jibu lake sahihi ni chumviHata mwenye swali hajui jibu, kwani vyakula vyote vyatiwa chumvi? Mkubwa wa jiko moto, hakuna chakula kipikwacho bila moto
Na huo moto utawashwa na nani kama si mpishi?Hata mwenye swali hajui jibu, kwani vyakula vyote vyatiwa chumvi? Mkubwa wa jiko moto, hakuna chakula kipikwacho bila moto
Na huo moto utawashwa na nani kama si mpishi?
Mkubwa wa jiko mpishi bana!
Na isitoshe si kila viliwavyo lazima vipikwe..........Kachumbari yapikwa?
Nakuslimia kwa jina la bwana babu,nimefurahi kwa vile kumbe hata mambo kitchen uko pouwa!Na huo moto utawashwa na nani kama si mpishi?
Mkubwa wa jiko mpishi bana!
Na isitoshe si kila viliwavyo lazima vipikwe..........Kachumbari yapikwa?