Kitendawili Tega?

MM ile avatar yako ya wali iko wapi Mkuu,
mimi unanichanganyi na hizo lipstick ulizoweka,
au ndo umeingia kwenye siasa za kwa malkia.
 
Babu kwanza Shikamoooo! Hapa napata picha kuwa neno jiko ni neno tata, labda mtunzi atueleweshe amemaanisha nini aliposema jiko? By the way kwani kachumbari yahusisha jiko? Mie sijambo
Kuna tofauti kubwa sana kati ya "jiko" na "jikoni"

Nakuslimia kwa jina la bwana babu,nimefurahi kwa vile kumbe hata mambo kitchen uko pouwa!
Karibu sana siku moja nikupikie.......... hutarudi kwenu nakuapia.

Hujambo lakini? Na viungo vyako vyote havijambo?
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya "jiko" na "jikoni"

Karibu sana siku moja nikupikie.......... hutarudi kwenu nakuapia.

Hujambo lakini? Na viungo vyako vyote havijambo?

Haa haaa sijambo babu,
Ila hata mie nakubaliana na ww Babu chumvi ni kila kitu no matter iwe ni ndani ya jiko au jikon.
Babu naomba fafanua kidogo,Viuongo vyangu vya mwili au viungo vya kuungia chakula babu?
 
Haa haaa sijambo babu,
Ila hata mie nakubaliana na ww Babu chumvi ni kila kitu no matter iwe ni ndani ya jiko au jikon.
Babu naomba fafanua kidogo,Viuongo vyangu vya mwili au viungo vya kuungia chakula babu?
Nani alikudanganya viungo vya kupikia ni vyako?

Viungo vyako unatembea navyo bana!
 
Nani alikudanganya viungo vya kupikia ni vyako?

Viungo vyako unatembea navyo bana!
Haaaaa haaaa!
Ok,kumbe ni hivi,havijambo babu,
Namwomba mzizimkavu popote alipo atusamehe kwa haka kauchakachuzi na huyu mzee,kwan some time huwa anapenda huwa napenda kukumbusha watu kuwa badoanashilikia taji la uchakachzi wa sred humu ndani,
Big up babu.
 
Hata mwenye swali hajui jibu, kwani vyakula vyote vyatiwa chumvi? Mkubwa wa jiko moto, hakuna chakula kipikwacho bila moto

Vipi kuhusu wale wanaopenda con'fleks nao wanahitaji moto? hapa nafikiri hakuna mkuu wa jiko ila vitu vyote vinategemeana. Mpishi, vyombo, moto, chumvi na kazalika..))
 
MM ile avatar yako ya wali iko wapi Mkuu,
mimi unanichanganyi na hizo lipstick ulizoweka,
au ndo umeingia kwenye siasa za kwa malkia.
Mkuu hizi sio lipstick hizi ni Dawa za kienyeji Mitishamba zilizo Twanga zinangoja kutumika tu haahahahahahahah
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya "jiko" na "jikoni"

Karibu sana siku moja nikupikie.......... hutarudi kwenu nakuapia.

Hujambo lakini? Na viungo vyako vyote havijambo?
Tofauti yake ni nini hiyo kati "jiko" na "jikoni"? Hebu tupe basi?
 
Chumvi ipi Mkuu, inayotiwa katika mlo au ileee ya yale mambo ya kikubwa? VIVA JF.

no salt.jpg
Huyu ndio mkubwa wa jiko Chumvi
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom