Je, matumizi ya miti shamba kiholela yanaharibu figo?

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,609
8,753
Swali kwa wataalamu: Je, matumizi ya miti shamba kiholela yanaharibu figo?

Nauliza kwasababu wagojwa wa figo wameongezeka sana Tanzania
 
Kitu chochote hata chakula ukikipeleka visivyo (dozi,kiasi) kinaweza athiri viungo vyya mwili

Figo moyo nk
 
It's exactly.
Maana kanda ile inayoongoza kupiga nyungu ndiyo inayoongoza kwa wagonjwa wa figo
 
Back
Top Bottom