K Kamundu Platinum Member Nov 22, 2006 6,609 8,753 Feb 19, 2024 #1 Swali kwa wataalamu: Je, matumizi ya miti shamba kiholela yanaharibu figo? Nauliza kwasababu wagojwa wa figo wameongezeka sana Tanzania
Swali kwa wataalamu: Je, matumizi ya miti shamba kiholela yanaharibu figo? Nauliza kwasababu wagojwa wa figo wameongezeka sana Tanzania
Emanueli misalaba JF-Expert Member Dec 12, 2016 1,113 1,658 Feb 19, 2024 #2 Naweka kambi, nitakuwa nakuja kuchungulia madini ya wataalamu.
UmkhontoweSizwe Platinum Member Dec 19, 2008 8,540 7,744 Feb 19, 2024 #3 Mbona matatizo ya figo yapo hata huko majuu ambako hawatumii miti shamba?
Uhakika Bro JF-Expert Member Mar 29, 2022 2,398 3,071 Feb 20, 2024 #4 Kitu chochote hata chakula ukikipeleka visivyo (dozi,kiasi) kinaweza athiri viungo vyya mwili Figo moyo nk
Kitu chochote hata chakula ukikipeleka visivyo (dozi,kiasi) kinaweza athiri viungo vyya mwili Figo moyo nk
Kiboko ya Jiwe JF-Expert Member Apr 7, 2020 12,705 36,155 Feb 20, 2024 #5 It's exactly. Maana kanda ile inayoongoza kupiga nyungu ndiyo inayoongoza kwa wagonjwa wa figo
stephot JF-Expert Member Mar 1, 2012 15,841 22,958 Feb 20, 2024 #7 Wamasai na Wahazabe wangekuwa wanaongoza kwa magonjwa ya figo...