johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Ile kiu ya muda kiasi kumsubiria Katibu mkuu mpya wa CCM huenda ikakatwa leo.
Je, ni Makonda, Dr Nchimbi, Komredi Sadifa, Dr Chalamila au nani? Kitendawili kutenguliwa Visiwani leo
Mungu wa mbinguni Ibariki CCM.
Je, ni Makonda, Dr Nchimbi, Komredi Sadifa, Dr Chalamila au nani? Kitendawili kutenguliwa Visiwani leo
Mungu wa mbinguni Ibariki CCM.