SAKATA LENYEWE NI HIVI:
Juzi nilipata safari ya peke yangu! Niliporudi nilimkuta NO! niliwafumania mume huyo chumbani kwetu akiwa na mwanamke kitandani kwetu...(you know what they were doing)!!!
Ni kama nilipatwa na shoti ya umeme kwa dakika kadhaa...nilichoweza kufanya ni kutoa simu yangu ya kiganjani na kuwapiga picha kadhaa. Nikaondoka kabisa maeneo yale na kwa kweli mpaka sasa ninalala kwa ndugu zangu!
Sijui nitaanzaje kulala tena ktk kile kitanda chetu na nihisi raha kama zamani!
Huwa ninaenda kuchukua vifaa ninavyohitaji, na nilimuuliza kwa nini anafanya vile, anajibu oo eti bahati mbaya shetani kanipitia!!! kakupitia in our bed!!!
Wana JF, uamuzi ninaoona unafaa ni kumtaliki, kwa sababu amekuwa akinidangaya kwa kisingizio kuwa eti ana presha!
Lkn kabla sijachukua hatua hii nimeona bora nipate ushauri wenu!
Please!!!
Pole sana dada kwa hayo yaliyokupata,
Mimi ninachojua maandiko (Biblia) inasema Mungu anakuchukia kuachana (I hate divorce," says the LORD God of Israel (Malachi 2:16)),kama ni ndoa ya Kikristo tunajua ni mke/mume mmoja tuu hata kifo kiwatenganishe.Isitoshe dada kama mna watoto watapata shida sana mama, mvumilie mumeo huku ukimwombea ili kulea watoto wenu.
Ushauri: Kama bado unampenda mumeo nakushauri mkapime magonjwa yatokanayo na hayo na kama yeye (mumeo) anaonyesha kuregret kitendo alichofanya, msamehe muanze maisha upya.
Muhimu: Mwombe Mungu sana aondoe roho ya tamaa aliyo nayo mumeo, haya yote yanawezekana kwa kumwamini Bwana Yesu kama Mwokozi. MUNGU ANAWEZA YOTE usife moyo.
Wewe nenda kapime uanze kutumia msaada wa Bush. Mijanaume mingine hii mizinzi kwa nini mnaolewa nayo?
Love doesn't ask why!? Kama bado yuko moyoni jaribu tena kujifanyia self assesment ujue mnapungukiwa na nini katika mahusiano yenu and once you know that you'll be able to set strategies to accomplish whatever decision you'll take!!!Wewe nenda kapime uanze kutumia msaada wa Bush. Mijanaume mingine hii mizinzi kwa nini mnaolewa nayo?
Love is blind!Mwenye mapenzi chongo huita kengeza
Love doesn't ask why!? Kama bado yuko moyoni jaribu tena kujifanyia self assesment ujue mnapungukiwa na nini katika mahusiano yenu and once you know that you'll be able to set strategies to accomplish whatever decision you'll take!!!
Was ammended to Love isn't blind...it is the lovers who are blind!
Have courage and be wise!!
Pole sana dada yangu,
Ndoa ni ngumu sana na ndoa inahitaji uvumilivu wa hali ya juu, sio wanaume tu wanayofanya haya mambo hata wanawake wapo wanaofany vitu hivi.
Mimi ninachokushauri usisikirize nini watu wanasema, kwa sababu uzito wa penzi ulilonalo kwa mumeo unalijua wewe, uongea na moyo wako na usikirize unakuambia nini.
Na kama utaamua kumsamehe basi hata hicho kitanda hutakiwi kukilalia tena, toa na mnunue kingine. hakifai tenda.
Ingekuwa ni sisi wanaume ni wagumu sana wa kusamehe, hata tukisema tumesamehe hatuchelewi kulipiza.
Pia dada yangu kama unampenda mume wako ni bora usikirize moyo wako, usije kumuacha mumeo wakati bado unampenda then baadae mnaanza kuibana.
Ni hayo tu kwa leo.
Ingawa jina lako Domo Kaya, umeongea sense sana.
Nimependa hako kapicha kako. Huyo mchumba kapendeza sana.
Wandugu,
Nimewasoma!!!
Kiukweli tulikuwa tunapendana sana,so much so I was so blind to notice any signs!!!
Kusamehe "saba mara sabini" (hasa kwa wakristo) nadhani ni jambo la kheri, lkn kwa sasa kwa mimi ni gumu jamani, moyo wangu bado mzito sana tuuu sitaweza angalau kwa sasa, nahisi kukosewa heshima, nahisi aibu kwangu licha ya kwamba naye pia ametahayari!!! Mpaka najiuliza hivi nimepungukiwa nini mtoto wa watu mie...
Hebu niambieni, mkono wako unaotumia kula msosi, ukinyewa na mtu kama mumeo/mkeo/mtoto/etc, je utaukata???
Nadhani labda nifanye subira, jazba zipungue ndio nitafanya uamuzi. (Wajua kinachoniuma ni the fact that he screwed her in our bed! He didnt give a damn about our bed!! No respect at all!!I know that married men (majority) do cheat, but do it somewhere far! (Im not asking you to do it that way, dont cheat coz kuna kuumbuka...)
SANDA MATUTA,asante kwa ushauri wako!
lakini usitake kutisha watu na methali zako!
Marriage life is like a plant! Waweza kukua na kustawi vizuri,na either kutoa matunda au usitoe. Waweza kukua kidogo ukanyauka! Waweza kufa kabisa!
All in all unapopanda mbegu, mara nyingi tunategemea uote, ukue, ustawi vizuri ,na mwisho utoe matunda na mbegu nyingine!
Au sio jamani!?
...................
Juzi nilipata safari ya peke yangu! Niliporudi nilimkuta NO! niliwafumania mume huyo chumbani kwetu akiwa na mwanamke kitandani kwetu...(you know what they were doing)!!!
Ni kama nilipatwa na shoti ya umeme kwa dakika kadhaa...nilichoweza kufanya ni kutoa simu yangu ya kiganjani na kuwapiga picha kadhaa. Nikaondoka kabisa maeneo yale na kwa kweli mpaka sasa ninalala kwa ndugu zangu!
Sijui nitaanzaje kulala tena ktk kile kitanda chetu na nihisi raha kama zamani!