Novatus
JF-Expert Member
- Jul 28, 2007
- 330
- 37
Pole sana dada. lakini naomba huyo mmeo mwone kama mwovu ila wa siku hiyo. Msamehe nadhani ni fundisho hawezi kurudia tena , fikiria katika maisha yako umewakoesa wangapi lakini wakasamehe. nijuavyo hakuna binadamu mkamilifu, ingawa lake hili ni zito kuchafua kitanda.]ILA UKIMSAMEHE ATAKUHESHIMU MAISHA[
CHONDE CHONDE RUDISHA MOYO
mutezi
CHONDE CHONDE RUDISHA MOYO
mutezi