wilbald
JF-Expert Member
- Dec 17, 2007
- 1,804
- 1,374
tuwekee picha ya kitanda chako ili tuweze ku-compare na ku-contrast.
Siku hizi kila kitu ndo kimekuwa propaganda chafu? Viongozi wa kiafrica sio malaika ka ufikiriavyo. Shauri yako!mi nadhani mtu ukishakuwa JF unakuwa na uwezo wa kutambua tofauti kati ya PROPAGANDA na ISSUES. Haya mamabo ya utajiri wa Mugabe ni propaganda chafu tu za akina Bush/Blair/Obama/Cameroun/Sarkozy pamoja na vikatuni wao. Achana nao.
Mtanzania shughulika na utajiri wa nchi yako!
Ukisha compare na ku-contrast ndo iweje?tuwekee picha ya kitanda chako ili tuweze ku-compare na ku-contrast.
View attachment 38265
Kelele za mlango hazimkoseshi mwenye nyumba usingizi (msemo wa kiswahili)!
tuweze kulinganisha akili zako na za mugabe.Ukisha compare na ku-contrast ndo iweje?
Wewe Tomaso ni tuu machi. Haya, hebu bofya hapa afu endelea kubisha!
Kuna uwezekano mkubwa wewe ndie zezeta haswa!kweli wewe ni great thinker? If yes, inakuwaje unadanghanyika kirahisi? Picha hiyo huko twitter imewekwa na mbumbumbu huwezi kuitumia kama liable source. Labda uwe zezeta
Hebu kwanza linganisha akili zako (kama kweli unazo) na za mugabe halafu tuwekee matokeo yake hapa!tuweze kulinganisha akili zako na za mugabe.
hebu kwanza linganisha akili zako (kama kweli unazo) na za mugabe halafu tuwekee matokeo yake hapa!
Exactly, what for?what for?
kweli bwana atoe majibu ya kulizisha manake huyu mzee naye alikuwa mwingi wa habari na amelithishwa na muhesimiwa banana vitendo viovuhaya ni mambo ya chumbani kwa mtu unajua.......??
Unaupenda mchezo wa banana, siyo?kweli bwana atoe majibu ya kulizisha manake huyu mzee naye alikuwa mwingi wa habari na amelithishwa na muhesimiwa banana vitendo viovu
malipo ni hapa hapa, ana kansa atakufa nda si mrefu
Wewe Tomaso ni tuu machi. Haya, hebu bofya hapa afu endelea kubisha!
mkuu wewe nakupa mia.kwa habari za kisiasa na kijamii za viongozi wa africa unatisha.wewe ni noumer.hongera sana mkuu.wanaokubishia ni wale wasiojua mchango wako hapa jf.nimekosa kile kidude cha thanx nikubonyezee.big up.mia