Kitambue chombo VOYAGER 1

Kitambue chombo VOYAGER 1

van allen belt ni ukanda wa magnetic field ambao upo juu umeizunguka dunia kwa maelezo yao, inaitwa belt kwa sifa hio ya ukanda uliozunguka dunia,

na kuhusu tafautiana time ya sehemu moja na nyengine hii ni subject yake peke yake ili uweze kuifahamu, cha kwanza kuelewa ni time ni nini hasa,whats is time exactly? time inasababishwa na nini,

kwa mitazamo yetu ya haraka tunapima time kwa kutumia jua linapochomoza na kutua na vile vile kisasa tunatumia saa
lakini jua linazama vipi na linachomoza vipi wakati dunia sio duara,wakati ikiwa hatulioni unapokuja usiku jua linakwenda wapi,hii kwanza tufahamu kuzama na kuchomoza kwa jua katika kila eneo,manake kila eneo lina time zake za kuzama na kuchomoza kwa jua.
kujua jua linachomoza vipi pasipokuwa na duara la dunia ni lazima ufahamu law of perspective, uwezo wetu wa kuona yaani vipi macho yetu yanaona
itazame hii picha ya chini hapo ichukulie wewe umesimama hapo mwanzo wa picha kisha unaangalia mwisho wa hii koridoo
kama utachunguza utaona sakafu inapanda na dari inashuka na kuta za pembeni zinajikunja kuja katu kadri ya koridoo inavozidi,mwisho wa koridoo hii kunakuwa kudogo sana yaani kumejikunja na hapa mwanzo pako kama kawaida,ki uhalisia hii koridoo iko sawa kuanzia mwanzo hapa mpaka mwsho kule yote ipo sawa lakini macho yetu ndio yanaona namna hii mwisho wa upeo wako kunakua kudogo mpaka kunatoweka kabisa

ichukulie hizo taa za juu hapo kama ndio jua linasafiri angani kwa namna unavyoliona wewe na macho yako,jua litakwenda mpaka mwisho wa upeo wako kwa hapa litazame linavyoshuka kuifata koridoo jua litaonekana kama linazama lakini kiuhalisia halizami ila linatoweka kwenye upeo wa macho yako tu kama huo mfano wa taa na hii koridoo,hivi ndio tunavyoona jua linazama au kuchomoza na tukazani linakwenda chini ya duara la dunia lakini uhalisi ni kuwa linazunguka juu ya uso wa dunia na sio kwenda chini
View attachment 462172
mzunguko huu wa jua juu ya uso wa dunia ndio unaosababisha time za kila maeneo kuwa tafauti baina ya maeneo kwa vile linapotoweka kwenye eneo letu tunapata magharibi na usiku kuingia na jua linaanza kuonekana kwenye maeneo mengine na hapo ndio wanapata alfajiri yao na mchana kenedelea kwa muangaza wa jua
mbona unaendana na mafundisho yao sasa? Ambayo unayapinga?!?! Tupe uchunguz wako hatutak vyao ili nasisi tujivunie kuwa tuna NASA yetu! Japo tunabana matumiz!!
 
  • Thanks
Reactions: T11
Sijui Imani yako but naona umesema uumbaji wa Mungu so unaamini kuna Mungu.
Then kamsome Joshua jinsi alivyosimamisha jua ndio utajua kipi kinazunguka kati ya jua/mwezi na hii dunia...
Pulsar - Wikipedia
Kwenye qur,aan tukufu kuna sura nzima inayoziongelea nyota hizi zenye kugonga gonga pulsars.suratul a dhaariq.
 
mkuu ntajaribu kukujibu kwa kadri ya uwezo wangu lakini nakusihi ufanye research kwa umakini

kwanza hakuna picha ya ukweli ya dunia ikiwa flat au duara,hizo picha zote za duara zote sio za kweli kila kitu ni photoshop kuna picha moja tu ambayo wanadai kuwa ni ya kweli ambayo waliipiga wakati wanakwenda mwezini,kama unafatilia vya kutosha utagundua kuwa hakuna mtu aliyewahi kwenda mwezini hizo video zao za kwenda mwezini zote za uzushi. kwa hio hio picha ni propaganda tu sio ya kweli. miezi kadhaa nyuma wamesema wanafanya reseach ili watu waweze kupita kwenye van allen belt ambayo ina radiation kubwa sana na madhara makubwa kwa watu lakini wakati huo huo 1969 wanasema watu walipita hapo kwenda mwezini na hawakudhurika kwa sababu walikuwa hawajui kuwa pana radiation,kwa hio kutokujua ndio kumewanusuru watu 1969 kuto kuathirika.

la pili ni hapo uliposema kwanini nchi hizi nyengine kubwa zote zitudanganye?
mkuu hapa lazma uwe unafahamu jinsi ya dunia inavyoendeshwa kwamba usione hizi nchi zikifanya maonesho kuwa wao ni maadui na hawaelewani ,marekani na china na urusi na nchi zote zenye elimu ya juu na mamlaka yenye kufahamu mambo makubwa kama haya wanafanya kila kitu kwa pamoja na zinaendeshwa entity moja kwa ajili ya kuendelea kudanganya uuma ili maisha ya watu duniani yawe in peace,huwezi kujua labda kama tutakuja kuoneshwa kiukweli jinsi ilivyo hii dunia na space pengine sote tutachanyanyikiwa ndio maana kwa mitazamo yao uongo bado unahitajika uendelee na pesa nyingi sana zinatumika kuendeleza propaganda hizi,saivi nchi za uchina,urusi,japan,uk nk zote zina space agencies kama ya nasa kwa ajili ya kuendelea kufanya maonyesho haya na sio space exploration

tatu ukiangalia video za watu na maparachuti unaona duara hii sio kweli kuona duara kutokana na camera hata usiwe na parachuti unaweza kuona duara hapa hapa chini kuna kwa camera ambazi zina fish-eye lens
ndege zinaruka juu zaidi na hazioni duara la dunia seuze mtu na parachuti

mimi nnachoamini ni kuwa shepu ya dunia iliyo halisi haijawahi kuonekana na watu wa kama kama sisi,kwa hio hatuwezi kujua,lakini nna uhakika sio duara kama chungwa na dunia hairuki kwa masafa na speed wanazosema wala haina motion ya aina yeyote,tetemeko la ardhi ndio motion pekee na hio ikitokea watu wanaihisi kiukweli sio hizi speed za miujiza ambazo hatuwezi kuzihisi

jaribu kuitia akilini speed na rotation za dunia
rotation on its axis ni 1674 km per hr
speed ya dunia kuzunguka jua ni 110,000 km per hr
speed ya rotation ya solar system 828,000 km per hr
na milkyway galaxy ina-travel kwa speed hii 3.6mil km per hr
speed zote hizi na rotation zinakwenda kwa wakati mmoja na mielekeo tafauti kila speed inaelekea kwake, haziingii akilini na hatuna uwezo kuzifahamu tukafananisha na kitu chochote ili tukaona ukweli utakavyokuwa

speed ambayo tumewahi kupata idea ni za gari zinapifika 140km/hr na hapo tunaogopa sana wakati speed za dunia ndio kama hizo nazo tunaambiwa ni constant hazibadiliki lakini usiku na mchana masaa yanabadilika mara nyengine usiku unakuwa mkubwa kidogo na/au mchana unakuwa mdogo,kama speed za dunia ni constant kwanini usiku na mchana masaa yasiwe constant kwa sababu rotation iliyo constant ndio inayosababisha usiku na mchana,uhalisi tunaoona ni kuwa usiku unakuwa mdogo na au mchana unakuwa mkubwa baadhi ya time.

pamoja na speed hizi zote ambazo zinakwenda zig-zag kwa wakati mmoja bado unaweza kwenda kwenye ziwa na ukakuta maji yametuwama tulii na dunia na bahari zipo shwarii na sisi hatuoni kizunguzungu wala hizi speed hazitukeri kabisa, ukiuliza kwanini utaambiwa ni law of gravity ndio inayoiwezeshwa dunia kuwa shwari na sisi kuganda hapa
force of gravity inaituliza na kuzuia bahari na maziwa ya maji mazito sana ili yasiganduke kwenye uso wa dunia lakini ndege wanaachiwa waruke na vikaratasi ambavyo ni vyepesi sana na mabofu yanaachiwa yapeperuke ovyo ovyo kwanini hii force ya gravity inachagua cha kuzuia na kuachia na ina nguvu kubwa ya kuzuia bahari lakini ishindwe kuzuia bofu lisruke ambalo ni jepesi sana
ukiuliza kwanini unaambiwa ni law of relativity ambayo inatowa jawabu za mahusiano baina ya vitu hivi na vyengine kwa nini hiki kinaweza na kile hakiwezi

kila kitu kina law lakini ukweli tu ndio unaofichwa hapa, ndio maana tunafata law za uongo law za kutengeneza ili kujenga hoja za uongo ili tusiziamini hisia zetu

hisia zinazoonsha kuwa
hatuwezi kuihisi mizunguko ya dunia kwa kwa sababu dunia haizunguki wao wanasema wanajua dunia inazunguka
hatuwezi kuuona mpindo wa dunia ilivyo duara wao wanasema upo lakini hatuna uwezo wa kuuona
uhalisi ni kwamba dunia haizunguki na hakuna mpindo wa duara ndio mana hatuhisi mizunguko na hatuoni mipindo ya duara la dunia
Ahsante bro umenifungua akili kwa kiasi fulani nami ngoja nifanye utafiti
 
ZENJIBARIA asante sana mkuu kwa elimu yako. Umeshusha nondo za ukweli. Umenifanya nifunguke kimawazo.

Nitafanya utafiti zaidi kuongezea maarifa.
 
Leo usiku panapo majaaliwa nitazima taa zote halafu nitalala uwani nitaangalia juu,nione je ni sisi duniani ndio tunaozungushwa au ni nyota ndio zinazotuzunguruka,halafu mrejesho wangu utakuwa ni kwenda zenjibar kupata tawheed japo nnayo.
 
mafundisho yote haya ya kuwa dunia inaruka kwenye infinity space na jua liko mamilioni ya miles na mambo mengi sana walitufundisha tangu tuko wadogo hatuna fahamu pia kwenye ujana kutuekea masharti kuwa huwezi kupasi mitihani ya skuli na kimaisha mpaka ugandishe elimu hizi kwenye akili,sasa tumekuwa watu wazima tunachukulia kuwa yale yote ndio ukweli ulio sahihi, akili zetu hazina uwezo wa kuchanganua kitu tena na kufikiria mambo tafauti,macho na hisia zetu zinaona ukweli ulivyo lakini hatuziamini,tumebakia kuijenga dunia ndani ya akili zetu kutokana mafunzo tulopewa utotoni na hivyo ndio tunavyoishi.

ukweli ulivyo ni jinsi ya mambo tunavyo yaona kwa macho yetu,
-tunaona jua na mwezi na vimo ndani ya ukanda wa buluu wa mawingu na havijapishana kwa umbali wala size hivi ndi ilivyo lakini tumefunzwa tusiamini macho yetu

-tazama kiini macho hiki ati wanasema ukubwa wa jua ni mara 400 zaidi ya mwezi na vile vile jua liko mbali zaidi ya mwezi mara 400,jaribu kukitegua hiki kitendawili,, hapa wameweka mahesabu ya ku-justify kwanini mwezi na jua vinaonekana sawa sawa tunapovitazama angani,kwa hio kimoja wamekiwekea viwango vya ukubwa na umbali sawa sawa kwa maana hio ndio mana tunaviona tunaviona vipo sawa

-tunaziona ndege zinaruka na kutua uwanjani hazipati shida ya kuwa ardhi ya uwanja inazungukwa kwa rotation ya dunia,kama dunia inazunguka ndege kutua airport ingekuwa mtihani mkubwa manake uwanja ungekuwa in motion

-nyota tunazoziona angani ndio zile zile kila siku kila mwezi kila mwaka wakati solar system ina mzunguko around milkyway galaxy unamaliza kwa miaka milioni 320 (MILIONI 320 MIAKA) kwa speed ya 828,000 km/hr iweje tuone nyota zile zile na hayo masafa,speed tunayokwenda ni kubwa sana masafa ni makubwa ya ajabu sana lakini bado tupo katika maeneo yale yale maisha na kwa siku tunakwenda masafa ya 52milion km kwa siku moja

-miili yetu na hisia ni sensitive sana ku-detect motion hata iwe ndogo sana lakini tumefunzwa tusiamini hisia zetu,cha ajabu ni kuwa likitokea tetemeko la ardhi hatushangai wala hatukosei tukasema labda sio tetemeko ni dunia inasimama au inapunguza mwendo,tunajua moja kwa moja kuwa ni tetemeko la ardhi tu kwasababu ndani ya nyoyo zetu tunajua kuwa dunia haizunguki kwa hio mtikishiko wowote ni tetemeko la ardhi tu sio chengine chochote
 
tunaziona ndege zinaruka na kutua uwanjani hazipati shida ya kuwa ardhi ya uwanja inazungukwa kwa rotation ya dunia,kama dunia inazunguka ndege kutua airport ingekuwa mtihani mkubwa manake uwanja ungekuwa in motion
Hivi umeshawahi kumuangalia nzi kwenye basi linalo clock 120kph?anapata tabu kutua au kuruka please zenjibari.
 
Leo usiku panapo majaaliwa nitazima taa zote halafu nitalala uwani nitaangalia juu,nione je ni sisi duniani ndio tunaozungushwa au ni nyota ndio zinazotuzunguruka,halafu mrejesho wangu utakuwa ni kwenda zenjibar kupata tawheed japo nnayo.

sawa sawa mkuu jaribu kufanya hivo,pia kama una themometer ya kupima mwangaza wa mwezi ili uone kuwa mwangaza wa mwezi ni baridi kuliko kivuli chake pasipo na mwangaza. kama utapima utakuta kwenye direct moon light tempature itashuka na kwenye kivuli cha mwezi temprature itapanda
hiki kipimo cha mwangaza wa mwezi kinatuonesha kuwa mwezi haupati mwangaza kutoka kwenye jua,kwa maana ya reflection ya mwangaza wa jua ungekuwa warm kuliko kuwa baridi
inavyoonesha ni kuwa mwezi una mwangaza wake na kazi yake na jua lina mwangaza wake na kazi yake
 
kuna mambo mengi sana ya kuangalia ambayo yatakuonesha kuwa elimu yote ya space na uhalisi wa dunia ilivyo ni uongo

- wanasema dunia ipo duara kama chungwa lakini ndege zikiruka hazizunguki chungwa zinafika angani zinaweka cruising speed na zinakwenda straight hazilazi pua chini au juu kulizunguka chungwa ambayo ndio shepu ya dunia
-wanasema dunia ni shape ya chungwa kwa hio kila pahala patakuwa na mpindo ili kupara shepu ya chungwa kwa maana hio ukiwa dar zanzibar huwezi kuiona popote kwa maana itakuwa upande wa pili wa mpindo wa dunia na hii zipo formula zake ambayo kwa masafa ya dar to znz ni kama 44km mpindo wa maji ulikuwa uwe kama ulikuwa uwe atleast 60m
-pia hivi majuzi wamesema wanajiandaa ili waweze kutoka kwenye low-earth orbit na waweze kupeleka watu outer sapce wakati mwanzo wamesema washapeleka watu kwenye mwezi ambayo upo beyond low earth orbit.

-sifa moja kuu ya maji popote yalipo ni lazima yawe level,maji hayawezi kupinda kufanya duara,kwa hio hilo duara la dunia maji yanapinda vipi kuweka shepu ya duara,maji ni lazima yatafute level kwa namna yeyote ile,

gravity ni uzushi ,kama gravity ndio inayozuia vitu hapa duniani iweje ndege iliyo ndogo na nyepesi iweze kuishinda gravity na iruke wakati bahari iliyo kubwa sana nzito kuliko kitu chochote hapa duniani isiweze kuishinda gravity'
au kwanini gravity iruhusu mabofu yende ngani wakati vitu vizito zaidi vipeshikwa na gravity


ki uhalisia hakuna aliyewahi kufika mwezini na mwezi haupo na ardhi kama ilivyo hapa duniani,sayari zote picha tunazoziona online sio halisi ni michoro tu, picha halisi hazipo clear kama wanavyoonesha hio michoro

mambo ni mengi sana ntarudia tena mengine
Mkuu hii elim, ni mpya kabisa, na ukikutana na mtu haja komaa unampata..
 
mkuu ntajaribu kukujibu kwa kadri ya uwezo wangu lakini nakusihi ufanye research kwa umakini

kwanza hakuna picha ya ukweli ya dunia ikiwa flat au duara,hizo picha zote za duara zote sio za kweli kila kitu ni photoshop kuna picha moja tu ambayo wanadai kuwa ni ya kweli ambayo waliipiga wakati wanakwenda mwezini,kama unafatilia vya kutosha utagundua kuwa hakuna mtu aliyewahi kwenda mwezini hizo video zao za kwenda mwezini zote za uzushi. kwa hio hio picha ni propaganda tu sio ya kweli. miezi kadhaa nyuma wamesema wanafanya reseach ili watu waweze kupita kwenye van allen belt ambayo ina radiation kubwa sana na madhara makubwa kwa watu lakini wakati huo huo 1969 wanasema watu walipita hapo kwenda mwezini na hawakudhurika kwa sababu walikuwa hawajui kuwa pana radiation,kwa hio kutokujua ndio kumewanusuru watu 1969 kuto kuathirika.

la pili ni hapo uliposema kwanini nchi hizi nyengine kubwa zote zitudanganye?
mkuu hapa lazma uwe unafahamu jinsi ya dunia inavyoendeshwa kwamba usione hizi nchi zikifanya maonesho kuwa wao ni maadui na hawaelewani ,marekani na china na urusi na nchi zote zenye elimu ya juu na mamlaka yenye kufahamu mambo makubwa kama haya wanafanya kila kitu kwa pamoja na zinaendeshwa entity moja kwa ajili ya kuendelea kudanganya uuma ili maisha ya watu duniani yawe in peace,huwezi kujua labda kama tutakuja kuoneshwa kiukweli jinsi ilivyo hii dunia na space pengine sote tutachanyanyikiwa ndio maana kwa mitazamo yao uongo bado unahitajika uendelee na pesa nyingi sana zinatumika kuendeleza propaganda hizi,saivi nchi za uchina,urusi,japan,uk nk zote zina space agencies kama ya nasa kwa ajili ya kuendelea kufanya maonyesho haya na sio space exploration

tatu ukiangalia video za watu na maparachuti unaona duara hii sio kweli kuona duara kutokana na camera hata usiwe na parachuti unaweza kuona duara hapa hapa chini kuna kwa camera ambazi zina fish-eye lens
ndege zinaruka juu zaidi na hazioni duara la dunia seuze mtu na parachuti

mimi nnachoamini ni kuwa shepu ya dunia iliyo halisi haijawahi kuonekana na watu wa kama kama sisi,kwa hio hatuwezi kujua,lakini nna uhakika sio duara kama chungwa na dunia hairuki kwa masafa na speed wanazosema wala haina motion ya aina yeyote,tetemeko la ardhi ndio motion pekee na hio ikitokea watu wanaihisi kiukweli sio hizi speed za miujiza ambazo hatuwezi kuzihisi

jaribu kuitia akilini speed na rotation za dunia
rotation on its axis ni 1674 km per hr
speed ya dunia kuzunguka jua ni 110,000 km per hr
speed ya rotation ya solar system 828,000 km per hr
na milkyway galaxy ina-travel kwa speed hii 3.6mil km per hr
speed zote hizi na rotation zinakwenda kwa wakati mmoja na mielekeo tafauti kila speed inaelekea kwake, haziingii akilini na hatuna uwezo kuzifahamu tukafananisha na kitu chochote ili tukaona ukweli utakavyokuwa

speed ambayo tumewahi kupata idea ni za gari zinapifika 140km/hr na hapo tunaogopa sana wakati speed za dunia ndio kama hizo nazo tunaambiwa ni constant hazibadiliki lakini usiku na mchana masaa yanabadilika mara nyengine usiku unakuwa mkubwa kidogo na/au mchana unakuwa mdogo,kama speed za dunia ni constant kwanini usiku na mchana masaa yasiwe constant kwa sababu rotation iliyo constant ndio inayosababisha usiku na mchana,uhalisi tunaoona ni kuwa usiku unakuwa mdogo na au mchana unakuwa mkubwa baadhi ya time.

pamoja na speed hizi zote ambazo zinakwenda zig-zag kwa wakati mmoja bado unaweza kwenda kwenye ziwa na ukakuta maji yametuwama tulii na dunia na bahari zipo shwarii na sisi hatuoni kizunguzungu wala hizi speed hazitukeri kabisa, ukiuliza kwanini utaambiwa ni law of gravity ndio inayoiwezeshwa dunia kuwa shwari na sisi kuganda hapa
force of gravity inaituliza na kuzuia bahari na maziwa ya maji mazito sana ili yasiganduke kwenye uso wa dunia lakini ndege wanaachiwa waruke na vikaratasi ambavyo ni vyepesi sana na mabofu yanaachiwa yapeperuke ovyo ovyo kwanini hii force ya gravity inachagua cha kuzuia na kuachia na ina nguvu kubwa ya kuzuia bahari lakini ishindwe kuzuia bofu lisruke ambalo ni jepesi sana
ukiuliza kwanini unaambiwa ni law of relativity ambayo inatowa jawabu za mahusiano baina ya vitu hivi na vyengine kwa nini hiki kinaweza na kile hakiwezi

kila kitu kina law lakini ukweli tu ndio unaofichwa hapa, ndio maana tunafata law za uongo law za kutengeneza ili kujenga hoja za uongo ili tusiziamini hisia zetu

hisia zinazoonsha kuwa
hatuwezi kuihisi mizunguko ya dunia kwa kwa sababu dunia haizunguki wao wanasema wanajua dunia inazunguka
hatuwezi kuuona mpindo wa dunia ilivyo duara wao wanasema upo lakini hatuna uwezo wa kuuona
uhalisi ni kwamba dunia haizunguki na hakuna mpindo wa duara ndio mana hatuhisi mizunguko na hatuoni mipindo ya duara la dunia
Mkuu hii elim inahitaji uchunguzi, maana ukiichukua kama ilivyo unaweza kujikita umeacha ukwel..
 
hakuna voyager wala hakuna space exploration hizi zote ni propanganda za uongo mtupu,yote haya ni makatuni ya kuchora,picha zote za space sio za kweli na picha za dunia zote zilizo online zote ni uongo mtupu zote za kuchora hakuna picha ya dunia iliyo kweli,tunavyosomeshwa ni propaganda tu hali halisi ya dunia ilivyo haijasemwa ndio maana tunaaminishwa hizi fantasy
Hahahaa kwa hyo kama elimu yetu ya uongo hzo simu na computer zinazotengenezwa zinatokana na elimu gani mkuu?
 
hapa kuna vipi tunajaribu kuviziba kwenye akili zetu,na mara nyingi hatutii akilini kwasababu haziwezi kuingia kwenye akili zetu,
hebu jaribu kuitia akilini distance
dunia nzima yote ina circumfrence ya 25000 miles (sio milioni)
halafu ufikirie mile milioni moja
kisha mile milioni tano,kisha mile milioni 100 kisha 500 milion miles
hizi distance sio za kuongea tu ni kubwa kuliko uwezo wa akili zetu

mpaka leo 2017 hakuna hata technologia moja inayoweza kutuma kitu chochote masafa hayo.na wala haitawahi kutokea milele technology ya aina hii,kwa sababu hizi distance zote sio za kweli,akili zetu zimefungwa sana tukaweza kuamini vitu hivi

hizi simu za mikono tunazotumia hapa savi zote zina minara killa baada ya 100km,ukitoka nje ya uwezo wa mnara hupati network,mawasiliano ya dunia nzima yanapatika kwa kutumia cables zilizo chini ya bahari na sio satelites za wireless kama watu wengi wanavyodhani

simu ikipigwa kutoka china kuja tz haziji moja kwa moja zikanasa anntena za tz, zinashika antenna za kwao huko kisha zinapitia kwenye wire ambazo zipo chini ya bahari na zinaleta mawasiliano kwenye antena ya tz na antena ya tz inaunganisha kwenye simu yako,hivi ndio mawasiliano yote yalivyo kila kitu mpaka internet yote. technology inayotumika ni ile ile ya zamani ya simu za majumbani, saivi wameweka antenna zenye nguvu za wireless kwa kutumia simu za mikono hio ndio tafauti.

kwanini hushangai kwanini mpaka leo africa bado hakuna internet yenye viwango kama nchi za nje kwa sababu internet zetu bado zinatumia line za simu ambazo ni slow saivi pengine ndio wanafanya mabadiliko ya kuweka cables za chini ya bahari kwa jili ya internet za viwango vya juu,kama interenet inatokana na satelites dunia nzima tungekuwa na internet speed ya aina moja mpaka vijijini kila pahala kungekuwa na network bila ya kutumia minara.
Unaonekana kama mtu anaeufunika ukweli huku akijua
 
Back
Top Bottom