Kitambue chombo VOYAGER 1

Dunia ni kubwa ukilinganisha na udogo mwanadamu,ndio maana tunaiona dunia iko tambarare,lakini siyo perfect sphere, ni kama yai oval fuatilia watu wanao zunguka dunia iwe kwa boats au hot air balloons.
 
hivo ndio tunavyofundishwa kuyaona mambo yote,tunafanya kama wadogo na hatuna maana,lakini kama bacteria akiwa na uwezo wa kuruka na kwenda juu ya chungwa inabidi awe na uwezo wa kuliona chungwa kama lilivyo ila sisi hatujawahi kuliona chungwa hili,jaribu kupitia mada zote nlizoandika kwenye huu uzi
Wazee wa conspirasies, ingia You tube utaona footages za space shuttle cameras,ukweli ni kwamba VOYAGER imetufunza sisi kama wanadamu mambo mengi ndani ya solar system yetu,lakini beyond hicho chombo hakitaweza kuendelea kutokana sun energy ni ndogo kitakuwa kinajiendea tu au kita crash kwenye chochote iwe asteroid au kimezwe rogue black hole.
 
Dunia ni kubwa ukilinganisha na udogo mwanadamu,ndio maana tunaiona dunia iko tambarare,lakini siyo perfect sphere, ni kama yai oval fuatilia watu wanao zunguka dunia iwe kwa boats au hot air balloons.
mkuu umeshawahi kuziona picha za dunia wanazodai kuwa ni za kweli,zote wameweka ni perfect sphere hakuna hata moja kama shepu ya yai sasa ukweli ni upi kwenye picha au maneno yao, kawaida yao likija tatizo ambalo linahitaji jibu wanabadilisha maneno yao mwanzo dunia ilikuwa sphere saivi ndio hio kama yai,chunguza kila kitu sio kweli
 
Mwezi ukiuangalia (kama bado unayaamini macho yako) unauonaje, tuseme "full moon"halafu tafakari hiyo flat earth yako usije kuniambia mwezi ni disc shape:Dyaani uko flat kama disc.teh
 
kuifahamu hii zaidi inabidi ujue kuwa nyota na mwezi na jua haviko mbali kama tulivyofundishwa, vipo kama tunavyoviona karibu tu,hakuna hata kitu kimoja kati ya hivyo ambacho kipo milioni za km kama wanatufundisha

na kuhusu time ntaweka uzi maalum hapa kujaribu kuifafanua zaidi ya kutazama saa na kupima jua
Kuna comment yako ya nyumaa nliona umeandika hakuna mwezi ni myth ....tena sasa hv unasema kuna mwezi na jua....
 
kila kitu kinachohusu space sio kweli pamoja na hio space yenyewe yote,picha zote za sayari zote,rover,satelites kila kitu ni photoshop,kwa mitazamo ya haraka haraka sio rahisi kufahamu lakini chungunza kila kitu unnaweza kuona kuwa hakuna proof ya mambo yote hayo,proof kubwa iliyopo ni kwenye mifumo yetu ya elimu tumefundishwa hivo na matangazo ya kwenye vyombo vya habari wanatangazia bas na sisi tunasikia na kuamini kila kitu
Mkuu kwa hiyo hata zile Google map zinazotuonyesha tulipo ni uongo!maana zote zinahusianishwa na hizi satellite ambazo ni photoshop,sasa zile picha ni uongo?au ukweli na kama ni ukweli zinatufikia kwa teknolojia gani!
 
mkuu ntajaribu kukujibu kwa kadri ya uwezo wangu lakini nakusihi ufanye research kwa umakini

kwanza hakuna picha ya ukweli ya dunia ikiwa flat au duara,hizo picha zote za duara zote sio za kweli kila kitu ni photoshop kuna picha moja tu ambayo wanadai kuwa ni ya kweli ambayo waliipiga wakati wanakwenda mwezini,kama unafatilia vya kutosha utagundua kuwa hakuna mtu aliyewahi kwenda mwezini hizo video zao za kwenda mwezini zote za uzushi. kwa hio hio picha ni propaganda tu sio ya kweli. miezi kadhaa nyuma wamesema wanafanya reseach ili watu waweze kupita kwenye van allen belt ambayo ina radiation kubwa sana na madhara makubwa kwa watu lakini wakati huo huo 1969 wanasema watu walipita hapo kwenda mwezini na hawakudhurika kwa sababu walikuwa hawajui kuwa pana radiation,kwa hio kutokujua ndio kumewanusuru watu 1969 kuto kuathirika.

la pili ni hapo uliposema kwanini nchi hizi nyengine kubwa zote zitudanganye?
mkuu hapa lazma uwe unafahamu jinsi ya dunia inavyoendeshwa kwamba usione hizi nchi zikifanya maonesho kuwa wao ni maadui na hawaelewani ,marekani na china na urusi na nchi zote zenye elimu ya juu na mamlaka yenye kufahamu mambo makubwa kama haya wanafanya kila kitu kwa pamoja na zinaendeshwa entity moja kwa ajili ya kuendelea kudanganya uuma ili maisha ya watu duniani yawe in peace,huwezi kujua labda kama tutakuja kuoneshwa kiukweli jinsi ilivyo hii dunia na space pengine sote tutachanyanyikiwa ndio maana kwa mitazamo yao uongo bado unahitajika uendelee na pesa nyingi sana zinatumika kuendeleza propaganda hizi,saivi nchi za uchina,urusi,japan,uk nk zote zina space agencies kama ya nasa kwa ajili ya kuendelea kufanya maonyesho haya na sio space exploration

tatu ukiangalia video za watu na maparachuti unaona duara hii sio kweli kuona duara kutokana na camera hata usiwe na parachuti unaweza kuona duara hapa hapa chini kuna kwa camera ambazi zina fish-eye lens
ndege zinaruka juu zaidi na hazioni duara la dunia seuze mtu na parachuti

mimi nnachoamini ni kuwa shepu ya dunia iliyo halisi haijawahi kuonekana na watu wa kama kama sisi,kwa hio hatuwezi kujua,lakini nna uhakika sio duara kama chungwa na dunia hairuki kwa masafa na speed wanazosema wala haina motion ya aina yeyote,tetemeko la ardhi ndio motion pekee na hio ikitokea watu wanaihisi kiukweli sio hizi speed za miujiza ambazo hatuwezi kuzihisi

jaribu kuitia akilini speed na rotation za dunia
rotation on its axis ni 1674 km per hr
speed ya dunia kuzunguka jua ni 110,000 km per hr
speed ya rotation ya solar system 828,000 km per hr
na milkyway galaxy ina-travel kwa speed hii 3.6mil km per hr
speed zote hizi na rotation zinakwenda kwa wakati mmoja na mielekeo tafauti kila speed inaelekea kwake, haziingii akilini na hatuna uwezo kuzifahamu tukafananisha na kitu chochote ili tukaona ukweli utakavyokuwa

speed ambayo tumewahi kupata idea ni za gari zinapifika 140km/hr na hapo tunaogopa sana wakati speed za dunia ndio kama hizo nazo tunaambiwa ni constant hazibadiliki lakini usiku na mchana masaa yanabadilika mara nyengine usiku unakuwa mkubwa kidogo na/au mchana unakuwa mdogo,kama speed za dunia ni constant kwanini usiku na mchana masaa yasiwe constant kwa sababu rotation iliyo constant ndio inayosababisha usiku na mchana,uhalisi tunaoona ni kuwa usiku unakuwa mdogo na au mchana unakuwa mkubwa baadhi ya time.

pamoja na speed hizi zote ambazo zinakwenda zig-zag kwa wakati mmoja bado unaweza kwenda kwenye ziwa na ukakuta maji yametuwama tulii na dunia na bahari zipo shwarii na sisi hatuoni kizunguzungu wala hizi speed hazitukeri kabisa, ukiuliza kwanini utaambiwa ni law of gravity ndio inayoiwezeshwa dunia kuwa shwari na sisi kuganda hapa
force of gravity inaituliza na kuzuia bahari na maziwa ya maji mazito sana ili yasiganduke kwenye uso wa dunia lakini ndege wanaachiwa waruke na vikaratasi ambavyo ni vyepesi sana na mabofu yanaachiwa yapeperuke ovyo ovyo kwanini hii force ya gravity inachagua cha kuzuia na kuachia na ina nguvu kubwa ya kuzuia bahari lakini ishindwe kuzuia bofu lisruke ambalo ni jepesi sana
ukiuliza kwanini unaambiwa ni law of relativity ambayo inatowa jawabu za mahusiano baina ya vitu hivi na vyengine kwa nini hiki kinaweza na kile hakiwezi

kila kitu kina law lakini ukweli tu ndio unaofichwa hapa, ndio maana tunafata law za uongo law za kutengeneza ili kujenga hoja za uongo ili tusiziamini hisia zetu

hisia zinazoonsha kuwa
hatuwezi kuihisi mizunguko ya dunia kwa kwa sababu dunia haizunguki wao wanasema wanajua dunia inazunguka
hatuwezi kuuona mpindo wa dunia ilivyo duara wao wanasema upo lakini hatuna uwezo wa kuuona
uhalisi ni kwamba dunia haizunguki na hakuna mpindo wa duara ndio mana hatuhisi mizunguko na hatuoni mipindo ya duara la dunia
Nenda hospital kaanze matibabu ya ugonjwa wa akili.
 
mkuu ungejaribu kusoma najibu yote niloandika kwenye uzi huu inaonekana umeona jamabo tu lakini mambo ni mengi sana,sisi tumezoea wazungu wakisema kitu sisi tunaskiliza tu akili tumezifunga na hatuwezi tena kuamini tunachokihisi wala tunachokiona kuwa ndio uhalisi
pilau lina harufu yake ikitokea mtu akatengeneza pafyumu yenye harufu kama ya pilau bila wewe kujua na akaipuliza pasipo kumuona kwa hisia zako utajua kuna mtu anapika pilau! lkn kumbe sivyo ki uhalisia ni pafyumu yenye harufu kama pilau... endelea kuhisi tu
 
Wazee wa conspirasies, ingia You tube utaona footages za space shuttle cameras,ukweli ni kwamba VOYAGER imetufunza sisi kama wanadamu mambo mengi ndani ya solar system yetu,lakini beyond hicho chombo hakitaweza kuendelea kutokana sun energy ni ndogo kitakuwa kinajiendea tu au kita crash kwenye chochote iwe asteroid au kimezwe rogue black hole.

tatizo letu sisi tunaamini kila kitu,wakisema wazungu sie tunajua ni ukweli tu huo hata mambo yasoingia akilini tunaamini,jiulize voyager inawezaje kutuma picha za jupiter 485 milion miles away mwaka 1979 wakati hapa kwetu hata simu za waya walikuwa nazo serikali tu na dunia nzima kulikuwa hakuna simu za mkono,lakini voyager inatuma picha kutoka mamilioni ya miles. kama hii ni kweli basi dunia nzima ingekuwa antenna moja tu ya simu natv na watu wote wangepata mawasiliano hapo
 
1979 wakati hapa kwetu hata simu za waya walikuwa nazo serikali tu na dunia nzima kulikuwa hakuna simu za mkono,lakini voyager inatuma picha kutoka mamilioni ya miles
NASA na Pentagon huwa wako mbele kwa teknolojia, Yuri gagarin alikuwa msovieti aliye orbit dunia na picha zilikuja na radio calls hata leo ukisikiliza ni radio calls na ndio ilikuwa zamani kuliko voyager.
 
Anayo haki ya kuchangia mawazo yake mbona galileo alisimangwa, mwishoni ndio akaeleweka.mtazamo wa zenjibaria hata kanisa lina amini hivyo.
Tatizo haweki hoja zinazoonyesha authenticity ya hoja yake ya pingamizi! alete facts kama anavyoulizwa na wadau hapo
 
NASA na Pentagon huwa wako mbele kwa teknolojia, Yuri gagarin alikuwa msovieti aliye orbit dunia na picha zilikuja na radio calls hata leo ukisikiliza ni radio calls na ndio ilikuwa zamani kuliko voyager.

hapa kuna vipi tunajaribu kuviziba kwenye akili zetu,na mara nyingi hatutii akilini kwasababu haziwezi kuingia kwenye akili zetu,
hebu jaribu kuitia akilini distance
dunia nzima yote ina circumfrence ya 25000 miles (sio milioni)
halafu ufikirie mile milioni moja
kisha mile milioni tano,kisha mile milioni 100 kisha 500 milion miles
hizi distance sio za kuongea tu ni kubwa kuliko uwezo wa akili zetu

mpaka leo 2017 hakuna hata technologia moja inayoweza kutuma kitu chochote masafa hayo.na wala haitawahi kutokea milele technology ya aina hii,kwa sababu hizi distance zote sio za kweli,akili zetu zimefungwa sana tukaweza kuamini vitu hivi

hizi simu za mikono tunazotumia hapa savi zote zina minara killa baada ya 100km,ukitoka nje ya uwezo wa mnara hupati network,mawasiliano ya dunia nzima yanapatika kwa kutumia cables zilizo chini ya bahari na sio satelites za wireless kama watu wengi wanavyodhani

simu ikipigwa kutoka china kuja tz haziji moja kwa moja zikanasa anntena za tz, zinashika antenna za kwao huko kisha zinapitia kwenye wire ambazo zipo chini ya bahari na zinaleta mawasiliano kwenye antena ya tz na antena ya tz inaunganisha kwenye simu yako,hivi ndio mawasiliano yote yalivyo kila kitu mpaka internet yote. technology inayotumika ni ile ile ya zamani ya simu za majumbani, saivi wameweka antenna zenye nguvu za wireless kwa kutumia simu za mikono hio ndio tafauti.

kwanini hushangai kwanini mpaka leo africa bado hakuna internet yenye viwango kama nchi za nje kwa sababu internet zetu bado zinatumia line za simu ambazo ni slow saivi pengine ndio wanafanya mabadiliko ya kuweka cables za chini ya bahari kwa jili ya internet za viwango vya juu,kama interenet inatokana na satelites dunia nzima tungekuwa na internet speed ya aina moja mpaka vijijini kila pahala kungekuwa na network bila ya kutumia minara.
 
Aingie hubble telescope website,au anunue telescope ndogo zinauzwa madukani akirudi zanzbar usiku anazima taa anakaa uwani ana enjoy kwa macho yake.hatutaki mrejesho.ndio atashuhudia uumbaji wa mungu na ukubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaa wa universe.good luck zenjibar.
 
Back
Top Bottom