Kitambue chombo VOYAGER 1

Kitambue chombo VOYAGER 1

nimefikia viwango vizuri vya shule na madrassa pia ila fanya utafiti kidogo utajinea mwenyewe

kama unakwenda shule uliza maswali haya
proof of gravity
proof of earth spinning(usiku na mchana sio proof) ulizia kama kuna aina ya kipimo kilowahi kuthibitisha spin
proof sun is 93mil miles
ni wapi imewahi kutokea maji yakawa na mpindo(yaani ukitia maji kama kwenye glass yakawa na uvimbe wa juu kuonesha mpindo

maswali yapo mengi ulizia hayo tu kwanza
Mzee soma habari za cohesive na adhesive forces utaelewa
 
mkuu ntajaribu kukujibu kwa kadri ya uwezo wangu lakini nakusihi ufanye research kwa umakini

kwanza hakuna picha ya ukweli ya dunia ikiwa flat au duara,hizo picha zote za duara zote sio za kweli kila kitu ni photoshop kuna picha moja tu ambayo wanadai kuwa ni ya kweli ambayo waliipiga wakati wanakwenda mwezini,kama unafatilia vya kutosha utagundua kuwa hakuna mtu aliyewahi kwenda mwezini hizo video zao za kwenda mwezini zote za uzushi. kwa hio hio picha ni propaganda tu sio ya kweli. miezi kadhaa nyuma wamesema wanafanya reseach ili watu waweze kupita kwenye van allen belt ambayo ina radiation kubwa sana na madhara makubwa kwa watu lakini wakati huo huo 1969 wanasema watu walipita hapo kwenda mwezini na hawakudhurika kwa sababu walikuwa hawajui kuwa pana radiation,kwa hio kutokujua ndio kumewanusuru watu 1969 kuto kuathirika.

la pili ni hapo uliposema kwanini nchi hizi nyengine kubwa zote zitudanganye?
mkuu hapa lazma uwe unafahamu jinsi ya dunia inavyoendeshwa kwamba usione hizi nchi zikifanya maonesho kuwa wao ni maadui na hawaelewani ,marekani na china na urusi na nchi zote zenye elimu ya juu na mamlaka yenye kufahamu mambo makubwa kama haya wanafanya kila kitu kwa pamoja na zinaendeshwa entity moja kwa ajili ya kuendelea kudanganya uuma ili maisha ya watu duniani yawe in peace,huwezi kujua labda kama tutakuja kuoneshwa kiukweli jinsi ilivyo hii dunia na space pengine sote tutachanyanyikiwa ndio maana kwa mitazamo yao uongo bado unahitajika uendelee na pesa nyingi sana zinatumika kuendeleza propaganda hizi,saivi nchi za uchina,urusi,japan,uk nk zote zina space agencies kama ya nasa kwa ajili ya kuendelea kufanya maonyesho haya na sio space exploration

tatu ukiangalia video za watu na maparachuti unaona duara hii sio kweli kuona duara kutokana na camera hata usiwe na parachuti unaweza kuona duara hapa hapa chini kuna kwa camera ambazi zina fish-eye lens
ndege zinaruka juu zaidi na hazioni duara la dunia seuze mtu na parachuti

mimi nnachoamini ni kuwa shepu ya dunia iliyo halisi haijawahi kuonekana na watu wa kama kama sisi,kwa hio hatuwezi kujua,lakini nna uhakika sio duara kama chungwa na dunia hairuki kwa masafa na speed wanazosema wala haina motion ya aina yeyote,tetemeko la ardhi ndio motion pekee na hio ikitokea watu wanaihisi kiukweli sio hizi speed za miujiza ambazo hatuwezi kuzihisi

jaribu kuitia akilini speed na rotation za dunia
rotation on its axis ni 1674 km per hr
speed ya dunia kuzunguka jua ni 110,000 km per hr
speed ya rotation ya solar system 828,000 km per hr
na milkyway galaxy ina-travel kwa speed hii 3.6mil km per hr
speed zote hizi na rotation zinakwenda kwa wakati mmoja na mielekeo tafauti kila speed inaelekea kwake, haziingii akilini na hatuna uwezo kuzifahamu tukafananisha na kitu chochote ili tukaona ukweli utakavyokuwa

speed ambayo tumewahi kupata idea ni za gari zinapifika 140km/hr na hapo tunaogopa sana wakati speed za dunia ndio kama hizo nazo tunaambiwa ni constant hazibadiliki lakini usiku na mchana masaa yanabadilika mara nyengine usiku unakuwa mkubwa kidogo na/au mchana unakuwa mdogo,kama speed za dunia ni constant kwanini usiku na mchana masaa yasiwe constant kwa sababu rotation iliyo constant ndio inayosababisha usiku na mchana,uhalisi tunaoona ni kuwa usiku unakuwa mdogo na au mchana unakuwa mkubwa baadhi ya time.

pamoja na speed hizi zote ambazo zinakwenda zig-zag kwa wakati mmoja bado unaweza kwenda kwenye ziwa na ukakuta maji yametuwama tulii na dunia na bahari zipo shwarii na sisi hatuoni kizunguzungu wala hizi speed hazitukeri kabisa, ukiuliza kwanini utaambiwa ni law of gravity ndio inayoiwezeshwa dunia kuwa shwari na sisi kuganda hapa
force of gravity inaituliza na kuzuia bahari na maziwa ya maji mazito sana ili yasiganduke kwenye uso wa dunia lakini ndege wanaachiwa waruke na vikaratasi ambavyo ni vyepesi sana na mabofu yanaachiwa yapeperuke ovyo ovyo kwanini hii force ya gravity inachagua cha kuzuia na kuachia na ina nguvu kubwa ya kuzuia bahari lakini ishindwe kuzuia bofu lisruke ambalo ni jepesi sana
ukiuliza kwanini unaambiwa ni law of relativity ambayo inatowa jawabu za mahusiano baina ya vitu hivi na vyengine kwa nini hiki kinaweza na kile hakiwezi

kila kitu kina law lakini ukweli tu ndio unaofichwa hapa, ndio maana tunafata law za uongo law za kutengeneza ili kujenga hoja za uongo ili tusiziamini hisia zetu

hisia zinazoonsha kuwa
hatuwezi kuihisi mizunguko ya dunia kwa kwa sababu dunia haizunguki wao wanasema wanajua dunia inazunguka
hatuwezi kuuona mpindo wa dunia ilivyo duara wao wanasema upo lakini hatuna uwezo wa kuuona
uhalisi ni kwamba dunia haizunguki na hakuna mpindo wa duara ndio mana hatuhisi mizunguko na hatuoni mipindo ya duara la dunia
Mkuu Kuna vitu vingine nakuelewa sana ila Kuna baadhi ni vya kawaida sana kwa mfano suala na mchana na usiku kutofautiana ni jepesi mno ungekuwa karibu ningekuonyesha kwa vitendo
 
Mzee soma habari za cohesive na adhesive forces utaelewa
ni bora ungeliandika tu hapa tukafaidika mamoja ukatufafanulia kisha ukaielezea in real terms katika level ya maji makubwa ya bahari na maziwa sio katika level ya maabara tu
 
ni kweli upeo wa macho yetu kwa wingi tunaweza kuona radius ya 5 mile kwa hio si rahisi ku-notice curve na ile kusema unaona boti na mlingoti inapotea machoni ile sio curvature ni uwezo wa kuona kwako unamalizika tu na sio kama boti inazamia kwenye mpindo wa dunia,
lakini kupima curvature kuna formula yake ya ambayo ni Pythagorean theory hii inasema hivi kuwa kila 1x8in.sq mile
kwa mfano:
2 mile distance
2x2x8= 32
32/12=2.66ft
huu ni mfano wa 2 mile ambao kwa fumula yao kila 2 mile kunakuwa na 2.66ft ya curvature na hio inazidi kila masafa yakizidi 4miles inakuwa na 5.32ft and so on
saivi kuna binoculars au telescope za kuona masafa ya mbali sana watu wanaona mpaka 200 miles away kama bahari ipo shwari na maeneo yaliyo juu kidogo,jambo ambalo kama dunia ni duara huwezi kuona kutokana na mpindo wa dunia
Kaka nimekukubari ngoja nimwambie mzee wakuyojaliwa akupe kazi yakutafiti kama kuna njaa au vipi
 
Milk way galaxy hata usiku inaonekana kwa kiasi kikubwa,ukitumia telescope za kawida tu unaiona hata andromeda,alafu tusiijue dunia tunayoishi.
kila kitu tunaki-project ndani ya akili zetu tu baada ya kwisha kuambiwa huki ni kitu gani,
-kama angelikuwa hujaambiwa ile ni milk way usingeamini hivo
-kama engelikuwa hujaambiwa dunia inazunguka usingeamini
-kama ingelikuwa hujaambiwa dunia ni duara usingeamini
-kama engilikuwa hujaambiwa gravity ndio ilotunasisha hapa sote na kila kitu usingeamini

chukulia kwa mfano tu kama ingekuwa tumefundishwa kuwa dunia yote ni tambarare ina milima na mabonde,bahari maziwa na mito na imetulia na haizunguki kama vile ambavyo tunaweza kuihisi na kuiona kwa macho yetu wenyewe
kisha akatokea mtu akapinga ukweli huo tulofundishwa na akasema kuwa "hapana hii dunia inaruka na inaelea hewani na unaishi kichwa juu miguu chini na kinachokuzuia wewe usianguke ni nguvu kama ya smaku" si tungemuona huyu mtu kama ana kichaa
 
kama angelikuwa hujaambiwa ile ni milk way usingeamini hivo
Hata mwezi pia niliambiwa nilipokuwa mdogo sana huo ni "mwezi" nimefundishwa na wazazi wangu,kwa hiyo unasema hata kama wazazi wangu wasingeniambia nisingejua kuwa huo ni mwezi?ingefikia tu wakati ningeutolea jina kwa sababu nauona ningeuita "tonge ugali"
 
Hata mwezi pia niliambiwa nilipokuwa mdogo sana huo ni "mwezi" nimefundishwa na wazazi wangu,kwa hiyo unasema hata kama wazazi wangu wasingeniambia nisingejua kuwa huo ni mwezi?ingefikia tu wakati ningeutolea jina kwa sababu nauona ningeuita "tonge ugali"
hapa nimekusudia vitu ambvyo huwezi kuvi-verify mwenyewe kama gravity kutugandisha hapa,au vile kuwa nje ya dunia kuna space,sio vitu ambavyo unaviona na unahitaji kujua majina tu
 
hapa nimekusudia vitu ambvyo huwezi kuvi-ferify mwenyewe kama gravity kutugandisha hapa,au vile kuwa nje ya dunia kuna space,sio vitu ambavyo unaviona na unahitaji kujua majina tu
Gravityyyy ok! Watazame waendesha baiskeli na pikipiki wanaposimama na wanapokuwa kwenye motion.utapata hesabu, kwa nini mwezi hautuangukii na sisi hatuliangukii jua.
 
kama engelikuwa hujaambiwa dunia inazunguka usingeamini
Unajua ukiwa stesheni ndani ya train,halafu train nyingine ikawa inaondoka utafikiri train uliyokuwemo ndio inayoenda lakini ukiobserve vizuri utaona ile inayotembea ni train gani.
 
kama ingelikuwa hujaambiwa dunia ni duara usingeamini
Imani za kale zilikuwa ni kwamba dunia ni tambarare, lakini na huo mtazamo uliwatisha wanadamu na mabaharia pia, kuwa wakienda mwisho wa dunia wataangukia kwenye maporomoko makubwa ya maji,na hawataonekana tena, na kwamba dunia imeshikwa na mapembe ya ng'ombe mkubwa sana.
 
Hata maumbile ya duwara ni gravity ndiyo inayosababisha kasoro "asteroids" ambazo hazina mass
 
Mimi kwa ukubwa wa dunia hii najiona kama "bacteria" na mimea naiona kama "algae"
 
Mkuu zenjibaria leo hii watu walio ndani ya space station wakiangalia dunia hawaoni kama kuna ustaarabu wa binaadamu mpaka watumie telescopes wazoom ndio wanaona, hata mlima kilimanjaro ni mpaka wazoom ndio wa uone sasa piga hesabu ndege ya abiria udogo wake hakuna haja ya "nose down"
 
Baada ya uranium kwisha naamini hakitoweza kubaki tena huko kwa maana kitarudi chini...jee hakitoweza kuleta athari kwa binadamu? Au mwisho wake utakuwaje?
Huko hakuna gravity ya kusema kidondoke chini wangu kitaendelea kubakia kikielea km vimondo na structure nyingine za kwenye space!
 
Back
Top Bottom