Kitambue chombo VOYAGER 1

Kitambue chombo VOYAGER 1

"We're not alone" trust me kenzy sema tu tuko bussy na mkate wetu wa siku ila huu uwanja ni mpana sana je kuna uwezekano wa kuanzisha jumuiya yetu kuhusu swala hili ili tuwe tunakutana once a month.
kwangu jambo la "we are not alone" linachagizwa haswa na mazingira naweza sema kutokana na ukubwa wa ulimwengu na yaliyomo nadhani maisha yanaweza kuwepo mahala pengine!.
sasa tatizo lipo hapo kwenye neno kudhani tayari kuna ndio au hapana! ila ili kupatikane jibu la kweli tafiti lzm ipewe nafasi ili ijulikane moja..
ndio tunaweza tukawa hatupo peke yetu lkn ni kweli..? hapo kwenye kweli ndio kuna mushkeri.. ukweli huambatana na uthibitisho sasa mkuu lini umethibitishiwa kuwepo kwa alien..?

yeah tupo bize kutafta mlo ila kama tukiweza kujishughulisha na haya huenda tukajua mengi ona wenzetu wanavyogundua mambo na nadhani mengine huwa wanayaficha..
 
Sasa
kwangu jambo la "we are not alone" linachagizwa haswa na mazingira naweza sema kutokana na ukubwa wa ulimwengu na yaliyomo nadhani maisha yanaweza kuwepo mahala pengine!.
sasa tatizo lipo hapo kwenye neno kudhani tayari kuna ndio au hapana! ila ili kupatikane jibu la kweli tafiti lzm ipewe nafasi ili ijulikane moja..
ndio tunaweza tukawa hatupo peke yetu lkn ni kweli..? hapo kwenye kweli ndio kuna mushkeri.. ukweli huambatana na uthibitisho sasa mkuu lini umethibitishiwa kuwepo kwa alien..?

yeah tupo bize kutafta mlo ila kama tukiweza kujishughulisha na haya huenda tukajua mengi ona wenzetu wanavyogundua mambo na nadhani mengine huwa wanayaficha..
Sasa hiyo avatar yako pia inanifanya nifikirie zaidi are you one of them?
 
kuna mambo mengi sana ya kuangalia ambayo yatakuonesha kuwa elimu yote ya space na uhalisi wa dunia ilivyo ni uongo

- wanasema dunia ipo duara kama chungwa lakini ndege zikiruka hazizunguki chungwa zinafika angani zinaweka cruising speed na zinakwenda straight hazilazi pua chini au juu kulizunguka chungwa ambayo ndio shepu ya dunia
-wanasema dunia ni shape ya chungwa kwa hio kila pahala patakuwa na mpindo ili kupara shepu ya chungwa kwa maana hio ukiwa dar zanzibar huwezi kuiona popote kwa maana itakuwa upande wa pili wa mpindo wa dunia na hii zipo formula zake ambayo kwa masafa ya dar to znz ni kama 44km mpindo wa maji ulikuwa uwe kama ulikuwa uwe atleast 60m
-pia hivi majuzi wamesema wanajiandaa ili waweze kutoka kwenye low-earth orbit na waweze kupeleka watu outer sapce wakati mwanzo wamesema washapeleka watu kwenye mwezi ambayo upo beyond low earth orbit.

-sifa moja kuu ya maji popote yalipo ni lazima yawe level,maji hayawezi kupinda kufanya duara,kwa hio hilo duara la dunia maji yanapinda vipi kuweka shepu ya duara,maji ni lazima yatafute level kwa namna yeyote ile,

gravity ni uzushi ,kama gravity ndio inayozuia vitu hapa duniani iweje ndege iliyo ndogo na nyepesi iweze kuishinda gravity na iruke wakati bahari iliyo kubwa sana nzito kuliko kitu chochote hapa duniani isiweze kuishinda gravity'
au kwanini gravity iruhusu mabofu yende ngani wakati vitu vizito zaidi vipeshikwa na gravity


ki uhalisia hakuna aliyewahi kufika mwezini na mwezi haupo na ardhi kama ilivyo hapa duniani,sayari zote picha tunazoziona online sio halisi ni michoro tu, picha halisi hazipo clear kama wanavyoonesha hio michoro

mambo ni mengi sana ntarudia tena mengine
Unasema mwezi haupo, je huo tunauona juu angani usiku unang'aa ni kitu gani?
 
Hicho chombo hakiwezi kuangukia dunia kabisa kumbuka kimeshatoka kabisa katika solar yetu yenye sayari 8 au 9 ukiweka dwarf planet Pluto, Hicho kinatuvutwa katika Object nyingine na incase kime maintain speed kita orbit, Hio energy inayodaiwa kuwa itaisha 2025 ni Power kwa ajili ya kurun transponders Zinazowasiliana na Deep Space Network (DSN) Chombo still kitakuwa active
Braza unavyojibu kwa kujiamini.... kama uko ndani ya iko chombo.... wabongo msala saaana duh...

Big up bro
 
hakuna voyager wala hakuna space exploration hizi zote ni propanganda za uongo mtupu,yote haya ni makatuni ya kuchora,picha zote za space sio za kweli na picha za dunia zote zilizo online zote ni uongo mtupu zote za kuchora hakuna picha ya dunia iliyo kweli,tunavyosomeshwa ni propaganda tu hali halisi ya dunia ilivyo haijasemwa ndio maana tunaaminishwa hizi fantasy
Tuko njia moja braza.... wasee wanatuchukua kizembe saaana. .. wao nani bhaaana.... kila siku wanayazua tu mamamae ..... gape gani hili... si hata puto haturush.... wanarusha wao tu.... fix tu.
 
kuna mambo mengi sana ya kuangalia ambayo yatakuonesha kuwa elimu yote ya space na uhalisi wa dunia ilivyo ni uongo

- wanasema dunia ipo duara kama chungwa lakini ndege zikiruka hazizunguki chungwa zinafika angani zinaweka cruising speed na zinakwenda straight hazilazi pua chini au juu kulizunguka chungwa ambayo ndio shepu ya dunia
-wanasema dunia ni shape ya chungwa kwa hio kila pahala patakuwa na mpindo ili kupara shepu ya chungwa kwa maana hio ukiwa dar zanzibar huwezi kuiona popote kwa maana itakuwa upande wa pili wa mpindo wa dunia na hii zipo formula zake ambayo kwa masafa ya dar to znz ni kama 44km mpindo wa maji ulikuwa uwe kama ulikuwa uwe atleast 60m
-pia hivi majuzi wamesema wanajiandaa ili waweze kutoka kwenye low-earth orbit na waweze kupeleka watu outer sapce wakati mwanzo wamesema washapeleka watu kwenye mwezi ambayo upo beyond low earth orbit.

-sifa moja kuu ya maji popote yalipo ni lazima yawe level,maji hayawezi kupinda kufanya duara,kwa hio hilo duara la dunia maji yanapinda vipi kuweka shepu ya duara,maji ni lazima yatafute level kwa namna yeyote ile,

gravity ni uzushi ,kama gravity ndio inayozuia vitu hapa duniani iweje ndege iliyo ndogo na nyepesi iweze kuishinda gravity na iruke wakati bahari iliyo kubwa sana nzito kuliko kitu chochote hapa duniani isiweze kuishinda gravity'
au kwanini gravity iruhusu mabofu yende ngani wakati vitu vizito zaidi vipeshikwa na gravity


ki uhalisia hakuna aliyewahi kufika mwezini na mwezi haupo na ardhi kama ilivyo hapa duniani,sayari zote picha tunazoziona online sio halisi ni michoro tu, picha halisi hazipo clear kama wanavyoonesha hio michoro

mambo ni mengi sana ntarudia tena mengine




MKUU RUDI SHULE HAMNA POINT ULIYOONGEA HAPO.....Fuatilia vizuri elimu ya anga popote inapotolewa e.g NASA ukikosa nifate inbox nikupe japo ufafanuzi na vivid example yawezekana nikakukomboa na hiyo elimu uliyoipata kutoka kwa wazee wako na ukasaidia kuwakomboa na wao pia maana hawana walijualo...
....Michie....
 
Mkuu kama dunia ni ndogo kuliko jua kwanini baadhi ya maeneo kuna barafu? Kama dunia ni duara kwanini ndege zinaruka kwa nyuzi hazitoki nje ya atmosphere? Kama dunia inazunguka jua kwanini nyota za angani wakati wa usiku hazimove? Kama kuna sayari nyingine kwanini hatuoni hata nyota ikimove.
Mkuu jua nalo ni nyota unajua?Na kila.

Hizo nyota unazoziona usiku ni jua katika mfumo mwingine ambao zinazungukwa na sayari nyingine kama dunia inavozunguka nyota(jua) yetu.
 
Salute bro Zenjibari, science na tech ipo lakini hapohapo watu walishakuwa na agenda zao, nakubali sana comment [HASHTAG]#146[/HASHTAG].
Kuna watu wamesoma na kumezeshwa na kunawatu wamesoma na wakatumia uwezo Mungu aliowapa kung'amua kipi sawa kipi si sawa. Hawana tofauti na wataalamu waliobobea katika usuluhishi utawaona kilasiku kwenye majadiliano BBC namna ya kuleta amani drc, sudan,congo wakati wapo wachache wanaokaa vikao vya unyonyaji na kusababisha machafuko ambao wako mbali na huko.
Hii dunia sio ya kumeza kila unachoambiwa, tafakari sana
 
Baada ya uranium kwisha naamini hakitoweza kubaki tena huko kwa maana kitarudi chini...jee hakitoweza kuleta athari kwa binadamu? Au mwisho wake utakuwaje?
Mkuu billion 19 kitaleta athari gani ni umbali mkubwa sana ni inje ya Dunia yetu hakuna athari yoyote ni hasara kwa wanasayansi hususani NASA watakosa taarifa zake
 
hio ndio sababu ya mafundisho yote haya kwamba watu wote ajione wadogo na hawana thamani ili wawe rahisi kuongoza,kama ingekuwa watu wanajiona kuwa wapo katika centre of everything na kila kitu kilicho hapa kimefanywa kwa ajili yetu tungekuwa na thamani kubwa sana na ingekuwa tabu kumtawala mtu

jinsi ya kuendesha jamii kubwa ya watu ni lazima uwaingie akilini na kuwaaminisha mambo ya kusadikika,maana yake ni kuwa ikiwa tutajiona kama bacteria na dunia yetu ni kama punje ya mchanga inapeperuka kwenye infinity space kwenye trilion za nyota nyengine na matokeo ya sisi kuwepo hapa duniani ni bahati tu na sio kwa makusudi basi thamani yetu inapungua na tunabakia kuwa ni watu tusiojali kitu
wewe ni Bokoharamu lazima , .walikataa hadi chanjo kwa madai wazungu wanata wawaue ,.Lazima tukubali wazungu wako mbali
 
mkuu ntajaribu kukujibu kwa kadri ya uwezo wangu lakini nakusihi ufanye research kwa umakini

kwanza hakuna picha ya ukweli ya dunia ikiwa flat au duara,hizo picha zote za duara zote sio za kweli kila kitu ni photoshop kuna picha moja tu ambayo wanadai kuwa ni ya kweli ambayo waliipiga wakati wanakwenda mwezini,kama unafatilia vya kutosha utagundua kuwa hakuna mtu aliyewahi kwenda mwezini hizo video zao za kwenda mwezini zote za uzushi. kwa hio hio picha ni propaganda tu sio ya kweli. miezi kadhaa nyuma wamesema wanafanya reseach ili watu waweze kupita kwenye van allen belt ambayo ina radiation kubwa sana na madhara makubwa kwa watu lakini wakati huo huo 1969 wanasema watu walipita hapo kwenda mwezini na hawakudhurika kwa sababu walikuwa hawajui kuwa pana radiation,kwa hio kutokujua ndio kumewanusuru watu 1969 kuto kuathirika.

la pili ni hapo uliposema kwanini nchi hizi nyengine kubwa zote zitudanganye?
mkuu hapa lazma uwe unafahamu jinsi ya dunia inavyoendeshwa kwamba usione hizi nchi zikifanya maonesho kuwa wao ni maadui na hawaelewani ,marekani na china na urusi na nchi zote zenye elimu ya juu na mamlaka yenye kufahamu mambo makubwa kama haya wanafanya kila kitu kwa pamoja na zinaendeshwa entity moja kwa ajili ya kuendelea kudanganya uuma ili maisha ya watu duniani yawe in peace,huwezi kujua labda kama tutakuja kuoneshwa kiukweli jinsi ilivyo hii dunia na space pengine sote tutachanyanyikiwa ndio maana kwa mitazamo yao uongo bado unahitajika uendelee na pesa nyingi sana zinatumika kuendeleza propaganda hizi,saivi nchi za uchina,urusi,japan,uk nk zote zina space agencies kama ya nasa kwa ajili ya kuendelea kufanya maonyesho haya na sio space exploration

tatu ukiangalia video za watu na maparachuti unaona duara hii sio kweli kuona duara kutokana na camera hata usiwe na parachuti unaweza kuona duara hapa hapa chini kuna kwa camera ambazi zina fish-eye lens
ndege zinaruka juu zaidi na hazioni duara la dunia seuze mtu na parachuti

mimi nnachoamini ni kuwa shepu ya dunia iliyo halisi haijawahi kuonekana na watu wa kama kama sisi,kwa hio hatuwezi kujua,lakini nna uhakika sio duara kama chungwa na dunia hairuki kwa masafa na speed wanazosema wala haina motion ya aina yeyote,tetemeko la ardhi ndio motion pekee na hio ikitokea watu wanaihisi kiukweli sio hizi speed za miujiza ambazo hatuwezi kuzihisi

jaribu kuitia akilini speed na rotation za dunia
rotation on its axis ni 1674 km per hr
speed ya dunia kuzunguka jua ni 110,000 km per hr
speed ya rotation ya solar system 828,000 km per hr
na milkyway galaxy ina-travel kwa speed hii 3.6mil km per hr
speed zote hizi na rotation zinakwenda kwa wakati mmoja na mielekeo tafauti kila speed inaelekea kwake, haziingii akilini na hatuna uwezo kuzifahamu tukafananisha na kitu chochote ili tukaona ukweli utakavyokuwa

speed ambayo tumewahi kupata idea ni za gari zinapifika 140km/hr na hapo tunaogopa sana wakati speed za dunia ndio kama hizo nazo tunaambiwa ni constant hazibadiliki lakini usiku na mchana masaa yanabadilika mara nyengine usiku unakuwa mkubwa kidogo na/au mchana unakuwa mdogo,kama speed za dunia ni constant kwanini usiku na mchana masaa yasiwe constant kwa sababu rotation iliyo constant ndio inayosababisha usiku na mchana,uhalisi tunaoona ni kuwa usiku unakuwa mdogo na au mchana unakuwa mkubwa baadhi ya time.

pamoja na speed hizi zote ambazo zinakwenda zig-zag kwa wakati mmoja bado unaweza kwenda kwenye ziwa na ukakuta maji yametuwama tulii na dunia na bahari zipo shwarii na sisi hatuoni kizunguzungu wala hizi speed hazitukeri kabisa, ukiuliza kwanini utaambiwa ni law of gravity ndio inayoiwezeshwa dunia kuwa shwari na sisi kuganda hapa
force of gravity inaituliza na kuzuia bahari na maziwa ya maji mazito sana ili yasiganduke kwenye uso wa dunia lakini ndege wanaachiwa waruke na vikaratasi ambavyo ni vyepesi sana na mabofu yanaachiwa yapeperuke ovyo ovyo kwanini hii force ya gravity inachagua cha kuzuia na kuachia na ina nguvu kubwa ya kuzuia bahari lakini ishindwe kuzuia bofu lisruke ambalo ni jepesi sana
ukiuliza kwanini unaambiwa ni law of relativity ambayo inatowa jawabu za mahusiano baina ya vitu hivi na vyengine kwa nini hiki kinaweza na kile hakiwezi

kila kitu kina law lakini ukweli tu ndio unaofichwa hapa, ndio maana tunafata law za uongo law za kutengeneza ili kujenga hoja za uongo ili tusiziamini hisia zetu

hisia zinazoonsha kuwa
hatuwezi kuihisi mizunguko ya dunia kwa kwa sababu dunia haizunguki wao wanasema wanajua dunia inazunguka
hatuwezi kuuona mpindo wa dunia ilivyo duara wao wanasema upo lakini hatuna uwezo wa kuuona
uhalisi ni kwamba dunia haizunguki na hakuna mpindo wa duara ndio mana hatuhisi mizunguko na hatuoni mipindo ya duara la dunia
Bosi, kama unaamini dunia sio sphere, naomba nieleweshe tunapataje usiku na mchana? Na inakuwaje bongo iwe usiku mnene same time USA bado kuna jua linawaka?
 
Mkuu kwa hiyo hata zile Google map zinazotuonyesha tulipo ni uongo!maana zote zinahusianishwa na hizi satellite ambazo ni photoshop,sasa zile picha ni uongo?au ukweli na kama ni ukweli zinatufikia kwa teknolojia gani!
Hili swali ni la dollar nyingi sana. Nitag alivyojibu
 
Mkuu umeanza kuelewa kwanza ukajibu au umesoma tu kwa ajili ya kujibu...sijazungumzia suala la sayari hata kidogo ila nilichohoji ni hiyo voyager pindi chanzo cha nishati kitakapoisha kwa maana hakitokuwa na uwezo tena wa kujioperate so what next...haitokuwa tena na escape velocity hvyo itazidiwa nguvu na kitaanza kudondoka so from this point of falling where it will be dumped?


acha kabisa
Hicho chombo kitabakia kwenye space, kwa sababu kwenye space hakuna gravity. Ni kama satellites zinavyo float haziwezi ku fall hata kama zitaishiwa nishati
 
ukiona kijana anasema hivi..." amefundishwa kwamba binadam ametokana na nyani".. basi mtu huyu atakuwa hakuelewa vizuri au amefundishwa na mwalimu ambae nae hakuelewa vizuri.

Inasemekana kwamba binadamu na nyani wametokana na common ancestor..... hii haina maana kwamba binadamu ametokana na nyani. Alafu hii ni theory bado haijawa fact so isiwe kigezo cha kuitumia theory hii kama kielelezo cha ukweli.... (in science tunafundishwa vyote theory na laws.. kwanini theory kama hizi zinafundishwa darasani?? Ni ili ziweze kuendelezwa na kufikia kwenye fact (basis).

So tusijifanye tunawaponda hawa jamaa wakati applications za tafiti zao ndizo tunazozienjoy kama vile cars, simu, pc, aeroplanes, ships, x-rays, electricity,internet, megastructures like large buildings, islands, bridges, extraction of oil and gas, etc.
Embu kila mmoja wetu ajaribu kuangalia sehemu ulipo sasa hivi... kuna vitu vingapi vimetokana na science???? Kama science inasema uwongo inakuwaje kwenye applications za sayansi??? Don't underestimate the effort that science has made so far as if hatuoni mafanikio yake.

Inawezekana bwana Zenjibarie simu /computer yako umedanganywa na kwamba sio real.
Kuna watu wajinga sana! Anatumia simu, tena iPhone kuiponda science, eti wana science waongo! Af katoka kujiunga kifurushi cha internet! Kuna kazi sana ku deal na watu.
 
Back
Top Bottom