Kitambi, kiriba tumbo, na kiriba hewa

Kitambi, kiriba tumbo, na kiriba hewa

min -me

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2022
Posts
58,580
Reaction score
168,716
Nani aliwaambia kumiliki kitumbo ni ujanja?

Una kuta mtu ana tumbo kubwa eti anatembea nalo kwa madaha kabisa bila hata aibu šŸ¤”


Unamilikije fuko la mapupu , unajiamini vipi bila kuwa hata na aibu bwashee?

Nyie ndio mkipanda usafiri wa umma mnaacha harufu ya mavi ,gari zima .

Ebu piga mazoezi ukate hayo mapupu , goigoi wewe.
 
Ni KWELI, lakini wewe yanakuhusu nini?

Infact Afya ya mtu ni jukumu lake mwenyewe, sisi ukija Hospital tutaendelea kupiga hela kama kawaida.

Mgonjwa aliyepona, kwetu sisi ni Mteja aliyepotea.

Mkuu, yajue ya kuzingatia ili uachane na yasiyokuhusu.

Mtu isipomfaa akili yake, utamdhuru Ujinga wake.
 
Ni KWELI, lakini wewe yanakuhusu nini?

Infact Afya ya mtu ni jukumu lake mwenyewe, sisi ukija Hospital tutaendelea kupiga hela kama kawaida.

Mgonjwa aliyepona, kwetu sisi ni Mteja aliyepotea.

Mkuu, yajue ya kuzingatia ili uachane na yasiyokuhusu.

Mtu isipomfaa akili yake, utamdhuru Ujinga wake.
Bwashee acha hizošŸ˜…šŸ˜…
 
Nani aliwaambia kumiliki kitumbo ni ujanja?

Una kuta mtu ana tumbo kubwa eti anatembea nalo kwa madaha kabisa , kisa ana kigari uchwara chake šŸ¤”


Unamilikije fuko la mapupu , unajiamini vipi bila kuwa hata na aibu bwashee?

Nyie ndio mkipanda usafiri wa umma mnaacha harufu ya mavi ,gari zima .

Ebu piga mazoezi ukate hayo mapupu , goigoi wewe.
Khaaaa!?Sasa,itakuaje?Huku ninapoishi ukiwa na mtumbo/fuko/kitambi unahesabika mwenye siha murua,Una kautajiri Ka hapa na pale na vilevile ni msomi mzuri (hata wa magazeti). Mbona mnatuharibia?
 
Nani aliwaambia kumiliki kitumbo ni ujanja?

Una kuta mtu ana tumbo kubwa eti anatembea nalo kwa madaha kabisa , kisa ana kigari uchwara chake šŸ¤”


Unamilikije fuko la mapupu , unajiamini vipi bila kuwa hata na aibu bwashee?

Nyie ndio mkipanda usafiri wa umma mnaacha harufu ya mavi ,gari zima .

Ebu piga mazoezi ukate hayo mapupu , goigoi wewe.
e73e435d-2d82-43ad-9397-6856c17f91b6.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom