Faru dume
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 471
- 116
Habar zenu wakubwa!
Kunakitu kinanitatiza sana kuhusu hv vitambaa au Leso twapenda kuita,kwa nini asilimia kubwa sana wakina dada hupenda kuwa navyo kuliko jinsia Me(kiume)sasa ndo kusema ni usafi wa kujifuta jasho tu,au kuna kazi nyingine kinafanyia hebu tuelimishane hapo,ili nasi tujue wapendwa!
NAWASILISHA
Kunakitu kinanitatiza sana kuhusu hv vitambaa au Leso twapenda kuita,kwa nini asilimia kubwa sana wakina dada hupenda kuwa navyo kuliko jinsia Me(kiume)sasa ndo kusema ni usafi wa kujifuta jasho tu,au kuna kazi nyingine kinafanyia hebu tuelimishane hapo,ili nasi tujue wapendwa!
NAWASILISHA