Faru dume
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 471
- 116
- Thread starter
- #21
Sio mdada, mtu yeyote mwenye akili timamu sidhani kama utaona ni sahihi kuacha jasho likutitirike au kukaa kwenye sehemu chafu.
Huyo aliyeanzisha mada ni dizain ya binadamu wanaoamini ili uonekane mwanaume basi inalazimu uwe mchafu mchafu usiyejijali [Angalizo ni jina lake: Faru dume yaani anaamini dumeism ni u-rafurafu]. Mijino ya njano yenye ukoko, sura imejaa machunusi, misikio ina nta zinachungulia km mzinga ulio tayari kugemwa n.k
Inasikitisha mtu anayejua kusoma na kuandika, akafika mbali zaidi kiasi cha kuweza kutumia mtandao halafu aulize LESO YA NINI?!! Mkewe yaelekea ana shida sana, ndio hii yenye chupi moja tu, ikifua usiku inaweka mbele ya feni.......pambaf zake! Eti jinsia ME sio sana, HOVYOOOO labda ME wa ukoo wenu ndio hawabebi leso.
Heeh!kumbe nimekosea kuuliza,am xo sory km nimekuboa mdada,unajua kuuliza sio ujinga ee nilitamani sana kunielimisha kuliko kunikashifu kwa jina langu tena kwa maneno machafu km hayo..,.mi sina mengi ya kuongea WADAU NAOMBENI KDOGO MNISAIDIE KUMJIBU HUYU MPENDWA KUHUSU HII THREAD...
Last edited by a moderator: