roby2006
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 421
- 113
Jipange na Mungu kisawasawa akupe mafunuo ya kukiandika hicho kitabu katika kitu ambacho shetani anapambana nacho ni kuweka chuki kwa watu juu ya utoaji wa sadaka kumbuka hakuna madhabahu yoyote ambayo haidai sadaka iwe kwa Mugu au kwa shetani,chukulia mfano kwenye sherehe maharusi na matamasha mbalimbali mtu kuchangia laki tano ni kitu cha kawaida kabisa na kutoa kiingilio cha laki moja kwenye tamasha fulani haoni shida lakini mtu huyo huyo nenda kamuangalie juma pili wakati anaenda kwenye ibada na ikifika wakati wa sadaka anatoa sadaka yake ya mazoea ya mia tano au elfu moja na anaunganisha na mlolongo wa maombi Mungu amsaidie katika kazi yake biashara yake na familia yake,baada ya ibada kukiwa na mchango kwa ajili ya ujenzi nk utaanza kusikia waumini wakilalamika na kusema hawa nao wamezidi kila siku michango tu lakini ni huyo huyo jana katoka kwenye tamasha la miss tanzania na kanunulia watu pombe zisizo na idadi mpaka wamezikimbia.
Ushauri wangu kwako ni huu jipange na Mungu uandike kile ambacho Mungu anakuongoza kukiandika na sio mawazo yako bila hivyo unaweza kujikuta unamtumikia shetani badala ya kumtumikia Mungu.Mimi sio mchungaji sio padri na wala sina kanisa,Nakutakia uandishi mwema katika kitabu chako na Mungu awe pamoja nawe.
Ushauri wangu kwako ni huu jipange na Mungu uandike kile ambacho Mungu anakuongoza kukiandika na sio mawazo yako bila hivyo unaweza kujikuta unamtumikia shetani badala ya kumtumikia Mungu.Mimi sio mchungaji sio padri na wala sina kanisa,Nakutakia uandishi mwema katika kitabu chako na Mungu awe pamoja nawe.
sitaji jina la mchungaji yeyote ila kitabu kitakuwezesha wewe kujua nani mtumishi wa kweli na nani mtumishi wa tumbo lake.