Kitabu Kinachofichua utapeli katika baadhi ya Makanisa

Kitabu Kinachofichua utapeli katika baadhi ya Makanisa

Akili ndogo hujadili watu na meno la mungu lahubiriwa hadharani kwa faida ya wote; halipaswi kulenga watu mmoja mmoja kama akili yako chafu inavyotaka kujadili watu (watumishi wa mungu) mimi najadili ideas sio watu na nitachana mada zako hadharani sio kukuchana wewe mwenyewe binafsi na uchafu wako uliojificha wala kuongelea dhambi yako mojamoja. Unasumbuliwa na kiza kinene cha kutoyajua maandiko na kiherehere kinakuingia kwa ujinga huo

huna jipya zaidi ya kutukana maana unajitukana mwenyewe kwa jinsi ulivyo na akili ndogo! Mungu gani anayekuongoza kuchana kitabu changu na mitusi yote hiyo?! be sensible and a grown up person NOT a trash-piece of person! subiri Mungu atakuaibisha na ndipo utajua kuwa akili yako ni ndogo! kama huna pepo nini kinakutoa mapovu kwa kazi ambayo siyo yako? otherwise wewe nawe ni tapeli na unaogopa kuumbuka! lazima uumbuke tu, na hakuna wa kunitisha kwa chochote, Mungu ndiye zaidi ya yote!
 
huna jipya zaidi ya kutukana maana unajitukana mwenyewe kwa jinsi ulivyo na akili ndogo! Mungu gani anayekuongoza kuchana kitabu changu na mitusi yote hiyo?! be sensible and a grown up person NOT a trash-piece of person! subiri Mungu atakuaibisha na ndipo utajua kuwa akili yako ni ndogo! kama huna pepo nini kinakutoa mapovu kwa kazi ambayo siyo yako? otherwise wewe nawe ni tapeli na unaogopa kuumbuka! lazima uumbuke tu, na hakuna wa kunitisha kwa chochote, Mungu ndiye zaidi ya yote!
Hivi mpaka hapo anayetoa mapovu ni nani kati ya mimi na wewe na anayejadili watu ni mimi au ni wewe! akili ndogo hujadili watu full stop. Wewe toa kitabu acha kulia machozi ya mamba yataenda na maji tu na tusiandikie mate tutamwitia mungu kazi zote hizo mbili na mungu atakayeshuka kwa moto na kuangamiza kazi iliyo mbovu atajidhihirisha mwenyewe mbele za watu kwamba amesimama na kazi ipi. Unajitutumua kuchomeka kimombo njaa kwenye post zako sasa mimi nitakuchana kwa versions mbili tofauti ya kimombo na ya kiswahili ili ujue nimepiga shule ya nguvu sio ya ubangaizaji kama inavyoelekea kudhihiri kwako.
 
0qtb.jpg

  • Ndugu tutarajie lini kitatoka hiki kitabu?
weka na llile hekalu la mama rwakatare hapo kwenye jalada kabisa na yale magari ya mzee wa upako,na mwingira
 
Hivi mpaka hapo anayetoa mapovu ni nani kati ya mimi na wewe na anayejadili watu ni mimi au ni wewe! akili ndogo hujadili watu full stop. Wewe toa kitabu acha kulia machozi ya mamba yataenda na maji tu na tusiandikie mate tutamwitia mungu kazi zote hizo mbili na mungu atakayeshuka kwa moto na kuangamiza kazi iliyo mbovu atajidhihirisha mwenyewe mbele za watu kwamba amesimama na kazi ipi. Unajitutumua kuchomeka kimombo njaa kwenye post zako sasa mimi nitakuchana kwa versions mbili tofauti ya kimombo na ya kiswahili ili ujue nimepiga shule ya nguvu sio ya ubangaizaji kama inavyoelekea kudhihiri kwako.

tusiandikie mate wakati wino upo! kaa mkao wa kula na jiandae kujipatia nakala yako my dear friend! Mungu anayejibu kwa moto huyo ndiye Mungu. Mungu wa matusi ni shetani. Umenitukana sana ukadhani umefaulu lakini umeshindwa tu! Subiri uone nini Mungu atafanya matusi na kejeli za nini! Tulia mtoto acha maneno ukiwa mkubwa utakuwa na hekima!
 
wandugu wapendwa amani ya Mungu iwe nasi sote!
Rafiki yangu
salimkabora hujambo? Nakupenda sana na Mungu azidi kukupa neema maana unachokiandika tena kwa kunikashifu kwangu ni kizuri sana maana unanipa kuelewa hila za shetani katika kupinga jambo jema! mimi nauliza, katika jamii unayoishi akitokea kijana wa jirani akawa anaiba kuku wa watu katika jamii hiyo na wewe ukawa unamfahamu, utakaa kimya? hiyo ndiyo busara?!! mimi kosa langu lipi katika kutoa kitabu kuelezea namna au mbinu zinazotumiwa na wahuni waliojivika vazi la utumishi wa Mungu kuwatapeli watu pesa zao? nimesema tangu awali sitataja jina la mtu hata mmoja ila mbinu zinazotumika, kupitia mbinu hizo watu watawabagua watumishi wa kweli na watumishi matumbo! sasa kosa langu hapo ni lipi? wengine wamenishauri nitaje majina, mimi nasema NOOOO. siwezi.
Nazidi kukaribisha maoni yenu na sichagui maoni bali yawe ya kunikashfu au yawe ya kunitia moyo na kunipa mwanga zaidi....yote nayataka, nipeni! na woote nawapenda bila kujali umenitukana au la! ukitaka uishi kwa raha katika dunia hii basi "GEUZA MATUSI NA KASHFA ZIWE NYIMBO ZA KUCHEZEA NGOMA"! na ukiamka asubuhi ukakutana na jirani yako anafoka na kukutukana matusi usirukie kutukana au kuita polisi..."TULIA SIKILIZA PENGINE KATIKA MIA ATAKAYOTUKANA MAWILI YANAKUGUSA MAANA NDIVYO ULIVYO"!
salimkabora karibu rafiki yangu Mungu wangu akushike mkono akuvute kwake!

AMEN...
 
tusiandikie mate wakati wino upo! kaa mkao wa kula na jiandae kujipatia nakala yako my dear friend! Mungu anayejibu kwa moto huyo ndiye Mungu. Mungu wa matusi ni shetani. Umenitukana sana ukadhani umefaulu lakini umeshindwa tu! Subiri uone nini Mungu atafanya matusi na kejeli za nini! Tulia mtoto acha maneno ukiwa mkubwa utakuwa na hekima!

Poapoa nabii wangu kaza buti leta huo mziki barabarani watu wasikie mlio wake; injili itahubiriwa hata na mawe wala kulisimamia neno la bwana halinifanyi mimi kuwa msafi ndio mana simwandami mtu hadharani kumuaibisha. Hata hiyo kazi yako nitakapoipiga kiberiti itakuwa hoja kwa hoja wala hakuna mahali nitakutaja kwa jina wala ishara bali watakaokuwa wanazijua hoja husika katoa nani ndio wataelewa wewe ndio unaunguzwa. Mimi binafsi sina usafi huo wa kuweza kumnyooshea mwingine kidole bali kazi mbovu nitapambana nayo kama ilivyo ili isiweze kusimama. Wewe ungesema utaweka wazi viashiria vya utapeli katika huduma za injili wala usingenisikia nikiinua kichwa changu kwa kuwa unapambana na hoja ninachokataa mimi ni kupambana na mtu kibinafsi kwa kumnyooshea kidole kana kwamba wewe umesimama. Mimi ni mdomo wa punda tu kwa kuwa mungu anajiweza yeye mwenyewe kama alivyo; kama kazi ni yakwake atasimama nayo na kama kazi iko kinyume naye atajitetea mwenyewe pia bila kujalisha usafi au ujiwe wangu. Kinachoongelewa hapa ni kazi sio watu.
 
Poapoa nabii wangu kaza buti leta huo mziki barabarani watu wasikie mlio wake; injili itahubiriwa hata na mawe wala kulisimamia neno la bwana halinifanyi mimi kuwa msafi ndio mana simwandami mtu hadharani kumuaibisha. Hata hiyo kazi yako nitakapoipiga kiberiti itakuwa hoja kwa hoja wala hakuna mahali nitakutaja kwa jina wala ishara bali watakaokuwa wanazijua hoja husika katoa nani ndio wataelewa wewe ndio unaunguzwa. Mimi binafsi sina usafi huo wa kuweza kumnyooshea mwingine kidole bali kazi mbovu nitapambana nayo kama ilivyo ili isiweze kusimama. Wewe ungesema utaweka wazi viashiria vya utapeli katika huduma za injili wala usingenisikia nikiinua kichwa changu kwa kuwa unapambana na hoja ninachokataa mimi ni kupambana na mtu kibinafsi kwa kumnyooshea kidole kana kwamba wewe umesimama. Mimi ni mdomo wa punda tu kwa kuwa mungu anajiweza yeye mwenyewe kama alivyo; kama kazi ni yakwake atasimama nayo na kama kazi iko kinyume naye atajitetea mwenyewe pia bila kujalisha usafi au ujiwe wangu. Kinachoongelewa hapa ni kazi sio watu.

nashukuru sasa umenielewa. tangu mwanzo nilisema sitaji watu wala kuhukumu watu bali njia wanazotumia matapeli waliojificha nyuma ya Injili. halafu mimi sio nabii ni mtu wa kawaida tu.
 
​Kwa hiyo unahitaji mchango wa fedha au una maana gani?

hapana, sihitaji hata senti moja ya yeyote! nahitaji comments zako tu, kwangu zinanitosha sana. asante kwa swali zuri...Mungu akubariki!
 
Nadhani wakati umefika serikali kuweka utaratibu wa kisheria kufanya ukaguzi wa mahesabu makanisani na kwenye mashirika mengine ya kikanisa (parachurch organization), pamoja na ministries. Hii yaweza kusaidia kuepukana na watumishi kujiamulia mambo mengi kwa kisingizio cha kusema, "Bwana Asema ..."
 
Back
Top Bottom