Kitabu cha Wangwe chaanika ukweli tunaotakiwa kuujua

ningependa sana mkuu lakini naogopa kuwa kwanza nitakuwa naiba kazi ya mwandishi bila ridhaa, pia kutype kitabu chenye kurasa zaidi ya 120 kinachoelezea maisha ya hayati wangwe toka utotoni, shuleni, kufanya kazi, harakati zake kisiasa, hadi kuwa mbunge n.k ni mzigo mkubwa ambao unaweza sababisha niache muda wangu mwingi wa kazi na naweza hatarisha hata kibarua changu.
Kimsingi ni kitabu kizuri sana na kina mambo mengi sana tunayoweza kujifunza kama watanzania.
Awali sikuwahi kujua kama chacha wangwe alikuwa rasta man, cover la kitabu hicho kimepambwa na picha kubwa ya enzi akiwa na rasta ndefu hadi kiunoni.
Msambazaji yuko hapahapa dar, mtafute kwa 0763 632008 na waweza pata nakala yako.


wewe kama utakuwa mwanaume basi kwa wakati huu utakuwa umeanza kuota vimatiti kama kabinti ka miaka 13.

umbea gani wa kutuletea hapa...kama kitabu kipo mitaani wacha tutasoma huko sio unatuletea kopi zako hapa..

kalete mkataba wa kumilikishwa ardhi waarabu kule loliondo.

fyiiiiiiii funnnnnnnnnny...!!! Mnafiki mkubwa wewe...!!!!!
 
Atokee mtu kama Jerry Rollings tuu kitaeleweka!
Unajua mpaka kufikia democrasia ya kweli ni lazima nguvu zitumike kwanza ili kuattain level fulani ya maendeleo.
Bse to me mkishiba ndo mwaweza elewa maana ya democrasia.
Twaweza jifunza toka China.Unajua ata hao UK ukifuatilia historia mpka kufikia democrasia ni kuwa zilipigwa sana.
For us tukimpata mzalendo mmoja tuka undergo a u turn approach then apo ndo tutaweza kuinuka.
 
du sijawahi kujua kuwa mbowe na mzee mtei ni mtu na mkwewe du hii kali
baada ya kujua ?
kuna mambo mengine kwenye kijitabu hicho huenda yamepikwa, maana kwanini kitolewe wakati huu, inatia shaka kidogo, maana tutathibitishaje kua mchapaji hakuongeza yake, ninani amehariri hiyo kazi. ni maswali yanayo nijia.
mbona wanaoshabikia kitabu hiko ni walewale ambao wameonyesha rangi zao stahiki katika kushabikia mgogoro ndani ya CHADEMA.
MAISHA MAREFU KWA CHADEMA
 
Kampeni za mwaka 2010 zimeshaanza!!! Mtaandika weee, mtasema wee, mtatumia magazeti uchwara weee, mtatumia luninga wee, mtatumia vibaraka wee, yaani weeeee mpaka mtatuchanganya kabisa. Politics is a dirty game!!!! Mta plot kila kitu kuhakikisha upinzani wanapigwa chini 2010 hasa ukizingatia wananchi wamechoshwa na hali maisha yalivyo kwa sasa na siasa mbofumbofu za hofyo hofyo!!!

Itapendeza kama tutaanika ya kila chama hapa ili tuweze kufanya uamuzi wa salama!!! Nashauri tuanzie chama tawala kwa wale wanaowashughulikiwa wakienda kinyume!!! Leo hii limeundwa jopo la viongozi watatu kuwamulika eti wasema hovyo na Mheshimiwa Sitta!!!! Huko nako vipi?
 
safi sana inabidi hata fimbo zitumike kunyosha MAMBO, kunamjinga mmoja JAMBO 1 naona amekurupuka.
 
baada ya kujua ?
kuna mambo mengine kwenye kijitabu hicho huenda yamepikwa, maana kwanini kitolewe wakati huu, inatia shaka kidogo, maana tutathibitishaje kua mchapaji hakuongeza yake, ninani amehariri hiyo kazi. ni maswali yanayo nijia.
mbona wanaoshabikia kitabu hiko ni walewale ambao wameonyesha rangi zao stahiki katika kushabikia mgogoro ndani ya CHADEMA.
MAISHA MAREFU KWA CHADEMA
Asante papaa, asante kwa mawazo mazuri...........je kwanini ktabu kinatoka leo hii, mimi sielewi, hawa ndo wale waliomuua wangwe wanatuchanganya tu.
 
Ama kweli umeandika makala nzuri lakini CHADEMA nao wamesoma haya na wanapaswa kutuandikia nini msimamo wao kuhusu kitabu cha Wangwe.

Nina shanga na kupigwa na bumbuwazi kwanini mambo haya amabayo yanatakiwa yawe agenda ya kila siku kama vile UFISADI ndani ya bunge yanopojitokeza katika kipindi cha uchaguzi inakuwa kama vile kampeni chafu dhidi ya mtu....na iakosa haswa mtazamo wa kukitazama chama kwa ndani na kukipa sura mpya na mwendo mpya kiutendaji.

Kitabu cha Chacha wange kipewe nafasi ya kuchambuliwa katika moja ya vikao vikubwa vya Chadema kama vile WABUNGE wanavyochambua hotuba ya Rais kwa kipindi fulani.

Hapo CHADEMA watatoka na maamuzi murua ya kichama kwa pamoja na ikiwezekana mpango kazi bora zaidi wakukiendelaza mbele...
 
Hapa sasa kazi ipo wandugu!

Nami nilikua Tarime kipindi chote cha waraka huu na hadi kifo cha jamaa kilivyohusishwa na CHADEMA
 
Kuna posti moja nzuri sana ya maneno ya CHACHA WANGWE, nilipokua naisoma ile kugeuka ile posti sijaikuta tena. Imepotelea wapi wajameni? Hebu mwenye nayo ai paste hapa.

Na hata hivyo nimenukuu haya maneno yake machache.

" Kuna mila ya kichagga kuwa, katika eneo la kazi/biashara, ukimuona anayekusababisha ukose maslahi Fulani unatakiwa kumuondoa kwa gharama yoyote! Na hili ndilo lililojiri kwangu na mwenyekiti wangu"
 
" Kuna mila ya kichagga kuwa, katika eneo la kazi/biashara, ukimuona anayekusababisha ukose maslahi Fulani unatakiwa kumuondoa kwa gharama yoyote! Na hili ndilo lililojiri kwangu na mwenyekiti wangu"
Polisi walipokuwa wanachunguza ile ajali walitakiwa waanzie hapa kama bwana MSA au Sherlock Holmes vile.
 
Wosia? Ebu achaneni na maneyo ya kipuuzi yenye malengo ya kutujengea chuki ya cc kwa cc.
 
Kuna posti moja nzuri sana ya maneno ya CHACHA WANGWE, nilipokua naisoma ile kugeuka ile posti sijaikuta tena. Imepotelea wapi wajameni? Hebu mwenye nayo ai paste hapa.

Na hata hivyo nimenukuu haya maneno yake machache.

" Kuna mila ya kichagga kuwa, katika eneo la kazi/biashara, ukimuona anayekusababisha ukose maslahi Fulani unatakiwa kumuondoa kwa gharama yoyote! Na hili ndilo lililojiri kwangu na mwenyekiti wangu"

Umesahau yale yaliyokuwa yakisema kuwa:

Kwenye mila za kifisadi -watu kama Kolimba, kombe, mkemia mkuu wa serikali, Katabalo, Kabeho nk wakiendelea kukuletea usiku. Wapeleke hospitali haraka iwezekanavyo.
 
Mkuu kuna nyingine imeletwa wanasema eti kuna watu wanaoleta post kama zile ni "agent provocateurs" sijuwi nini....!

last time nimecheck, hii nayo ilihamishwa. Sidhani kama mwanzisha hiyo topic naye ataanza kulia lia kama kitoto cha chekechea kama ndugu yangu mkamap alivyozoea hapa - vilio asubuhi na mchana-- jioni anaenda kupiga kampeni za kifisadi kule jimboni kwake (siri yangu).
 
mwandishi nani?
maana baadhi ya sehemu nimeona kama reported speech, as (qurani)
samahani kutaka kujiridhisha tu kwa faida yangu
 
SikulKifika,
Mkuu wangu ni mjinga aisyejua maana ambaye anaweza kubaliana na haya maelezo yako ikiwa kweli wewe unacho hicho kitabu ambayo unadai umeweza kuandika.. Bila shaka umeweza kuandika kitabu chako mwenyewe na sio cha Chacha Wangwe..

Kwanza kabisa haiwezekani mtu ukanukuu toka kitabuni na sura ikasomeka SURA YA SABA: MKAKATI WAKE KUIJENGA CHADEMA.

Chacha Wangwe asingeandika - mkakati wake isipokuwa ingesomeka - Mkakati WANGU kuijenga Chadema..Hapo tu, ina maana aliyeandika sura ya saba ya kitabu hicho sii Mhusika mwenyewe.

Kisha sehemu nyingi sana umetumia neno ALISEMA yote hii ikionyesha unamnukuu maneno (according to) ulosikia toka kwa Chacha Wangwe na sio ku copy yaliyoandikwa ndani ya kitabu hicho.
 
Wakuu mimi bado sijaelewa kabisaa! Hiki kitabu ni mchanyato/mchanganyiko kwangu! Naomba maelezo ya maswali haya! Nani mwandishi wa hiki kitabu? Je chacha wangwe ameshiriki vipi kwenye utunzi? Kuna statement nikijaribu kuziunganisha na feli kabisa kwa sababu kuna maneno ya wangwe mwenyewe akionekana kama yeye (wangwe) ndiye anayeyaandika moja kwa moja. Haineshi kabisa kuwa amenukuliwa! Lingine kuna statement zingine ni reported kuwa kamanda wangwe alisema hapa inaashiria wangwe anawakilishwa,yanayosemwa hapo yanaweza kuwa ni tafsiri ya mtunzi alivyoelewa hapana quotation inayooneshwa kwa shahiri dhahiri kuwa manenn hayo yalisemwa kama yalivyo au yanatoka moja kwa moja kinywani kwa wangwe....! Kimeandikwa mda gani? Akiwa hai au akiwa tayari tushamzika? Kama ilikuwa tayari kesha zikwa haya maneno ya wangwe, mwandishi anayatoa wapi? Kama kiliandikwa na mtu mwingine huyo mtu watatu interest zake kwa chadema zipoje? Je hajaingiza interest zake kweli?? Nikipata majibu ya haya nitarudia tena kusoma ilinielewe vizuri ila mpaka mda huu ni michanganyo isiyo na msingi hasa kipindi hiki na hiyo title yake juu ndio kabisaa inaniacha!
 
Watu hupenda kusikia yaliyo mazuri tu lakini yale yanayoudhi na kuchoma moyo tunapenda kuyakwepa...nadhani hii taarifa ya kitabu ni nzuri kwa wanaupinzani wote kwani tunaweza kuwa tunapiga kelele mitandaoni na majukwaani kumbe tunaowapigia debe na kuwapigia chapuo washike nchi wana ajenda zao za siri na kitabu hiki kimeonesha baadhi tu ya matatizo ya kiuongozi yaliyo katika vyama vya upinzani...umuhimu wake ni kuweka wazi hayo ili kama kunajengwa upinzani wa dhati basi haya yaepukwe..tusimshutumu mleta taarifa bali tumpongeze kwani amefumbua macho wengi kuhusu utawala ktk vyama vya upinzani kwa kutumia mfano huu wa chadema...busara itumike kujadili content na siyo kutukana na kujiharibia sifa..yakija mabaya ya CCM tunakuwa mstari wa mbele kuchangia hata kama hatuna uhakika mradi ni CCM,leo tukiguswa sie tunakuja juu..nadhani wanaChadema wana haki kujua yanayoendelea katika ngazi za juu za chama chao. hata kama yalitokea kitambo ila bado waliotajwa kuhusika wapo na utawala wao ni ule ule.
 
Kitabu hicho kingekua kinaongelea ufisadi au sakata lolote ktk CCM au chama kingine isipokua CHADEMA ungeona kina fulani hapa jamvini wangechangia vizuri mpaka basi, lkn hapa anashambuliwa mleta mada. Jee mmesahau sakata la Zitto kutaka kugombea Uenyekiti lilivyopelekwa?Hebu tujadili mada kama ilivyo mezani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom