Ni ujinga kuanzisha tena huu mjadala ukidhana kuwa utakirudisha hiki chama CDM nyuma. Kama CCM ingekuwa imejitahidi kuzishughulikia kero za wananchi wala isingekuwepo haja ya kurudi na huu upuuzi hapa leo hii.
Wewe mwenye kukipenda sana CCM umeweza kutueleza au kujibu maswali mengi sana ambayo yameshindwa kujibiwa na CCM na serikali yake? Fedha za EPA na kesi za EPA, MEREMETA, DEEP GREEN, UNUNUZI WA RADAR, MIKATABA YA KUZALISHA UMEME NK. NK unayo majibu yake yanayoweza kuwaridhisha wananchi?
Usizibe watu mawazo hapa kwa kuibua upuuzi huu hapa leo kana kwamba tumesahau Mkuu, hiyo ilikuwa inafanya kazi zamani kwa CCM siyo leo tena. Tafadhali badilika kwa ajili ya maendeleo ya taifa lako.
anzisha kwanza au tuanzishe mjadala juu ya kifo
(1) Amrani Kombe
(2) Harace Kolimba(CCM watueleze vizuri maana wao ndio waliomutia kumhoji Dodoma na akafariki usiku huo huo)
(3) Sokoine
(5) Mkemia mkuu aliesema mchele mbovu enzi za mwinyi nk
(6) JK Nyerere alipopnga uuzaji holela wa mali za taifa mauti ...............
CCM watueleze vizuri maana wao ndio................