Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Hiki kitabu Outliers kimeandikwa na Malcom Gladwell. Kinaelezea kwanini watu hufanikiwa. Kuna sehemu kinazungumzia kuhusu mafanikio ya kielimu. Anasema Waasia wanaonekana wana akili sana sababu wana muda mwingi wa kusoma kuliko watu wengine.
Anasema kwa mwaka mwanafunzi wa Marekani anasoma siku 180. Mwanafunzi wa Korea kusini anasoma siku 220 kwa mwaka wakati mwanafunzi wa Japan anasoma siku 243 kwa mwaka.
sasa nikajiuliza mwanafunzi wa Tanzania anasomaje, kuna siku 60 za likizo ya mwezi wa sita na kumi na mbili. jumamosi na jumapili kwa mwaka ni siku 106. kuna wiki moja ya pasaka na wiki moja ya mwezi wa 9 jumla siku kama 10 ukitoa jmosi na jpili. kuna sikukuuu tufanye siku 5 hivi. jumla ni siku 171. ukichukua siku 365-171 unapata siku 194 kwa mwaka. tofauti ya siku 49 na japan. Huu ni muda mwingi sana wa kujifunza.
Aliendelea kuandika kuwa huko bronx New York. Ni asilimia 16 tu ya wanafunzi wanaweza kufanya hesabu vizuri. Wakaanzisha shule za majaribio. Shule hizi huanza saa moja na nusu hadi saa kumi na moja jioni. Hapo unapewa na Homework za kutosha. Jumamosi darasa linaanza saa 3 asubuhi ha saa 7 mchana. Likizo ilipunguzwa kwa wiki tatu na siku za likizo darasa lilianza saa 2 asubuhi hadi saa 8 mchana.
Matokea yalikuwa asilimia 84 ya wanafunzi waliweza kufanya hesabu vizuri na 80% walifanikiwa kufika chuo kikuu. Ila hili linahitaji kupata chakula shuleni.
Kwa hiyo niliona kwamba Tanzania watoto hawasomi vya kutosha. Kwanza kuna upungufu wa waalimu na muda mchache wa kusoma unaongezeka juu. Mwanafunzi anaanza saa mbili asubuhi mpaka nane mchana. Masaa sita tu ya kusoma.
Naonelea tuongeze muda wa kusoma labda toka moja na nusu hadi saa kumi jioni. masaa kama 8 na nusu. Tuongeze siku za kusoma walau zifike 230 kwa mwaka. Pia tujitahidi hata uji upatikane shuleni.
Malcom Lumumba , Rebeca 83 Nalendwa James Comey Wick mitale na midimu
Anasema kwa mwaka mwanafunzi wa Marekani anasoma siku 180. Mwanafunzi wa Korea kusini anasoma siku 220 kwa mwaka wakati mwanafunzi wa Japan anasoma siku 243 kwa mwaka.
sasa nikajiuliza mwanafunzi wa Tanzania anasomaje, kuna siku 60 za likizo ya mwezi wa sita na kumi na mbili. jumamosi na jumapili kwa mwaka ni siku 106. kuna wiki moja ya pasaka na wiki moja ya mwezi wa 9 jumla siku kama 10 ukitoa jmosi na jpili. kuna sikukuuu tufanye siku 5 hivi. jumla ni siku 171. ukichukua siku 365-171 unapata siku 194 kwa mwaka. tofauti ya siku 49 na japan. Huu ni muda mwingi sana wa kujifunza.
Aliendelea kuandika kuwa huko bronx New York. Ni asilimia 16 tu ya wanafunzi wanaweza kufanya hesabu vizuri. Wakaanzisha shule za majaribio. Shule hizi huanza saa moja na nusu hadi saa kumi na moja jioni. Hapo unapewa na Homework za kutosha. Jumamosi darasa linaanza saa 3 asubuhi ha saa 7 mchana. Likizo ilipunguzwa kwa wiki tatu na siku za likizo darasa lilianza saa 2 asubuhi hadi saa 8 mchana.
Matokea yalikuwa asilimia 84 ya wanafunzi waliweza kufanya hesabu vizuri na 80% walifanikiwa kufika chuo kikuu. Ila hili linahitaji kupata chakula shuleni.
Kwa hiyo niliona kwamba Tanzania watoto hawasomi vya kutosha. Kwanza kuna upungufu wa waalimu na muda mchache wa kusoma unaongezeka juu. Mwanafunzi anaanza saa mbili asubuhi mpaka nane mchana. Masaa sita tu ya kusoma.
Naonelea tuongeze muda wa kusoma labda toka moja na nusu hadi saa kumi jioni. masaa kama 8 na nusu. Tuongeze siku za kusoma walau zifike 230 kwa mwaka. Pia tujitahidi hata uji upatikane shuleni.
Malcom Lumumba , Rebeca 83 Nalendwa James Comey Wick mitale na midimu