Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 396
- 658
Moja kwa moja niende kwenye mada.Nakumbuka siku za nyuma waziri wa elimu alishawahi kupiga marufuku wakati wa likizo watoto wetu kuendelea kusoma kwa kisingizio cha madarasa ya mitihani waendelee kusoma kujiandaa na mitihani.
Waziri rudi tena kupiga marufuku kwa watoto wetu wanakosa muda wa kujifunza mambo mengine ya uzalishaji mali na shughuli mbali mbali za nyumbani.
Mbaya zaidi wanaowangangania watoto wetu ni walimu, wao wakipokea maagizo toka kwa wanasiasa.
Ni vema ratiba za siku za kusoma ziheshimiwe kama ilivyopangwa na wizara na siyo kuleta ujuwaji usiokuwa na tija kuongeza mambo ambayo hayapo kwenye ratiba.
Waziri rudi tena kupiga marufuku kwa watoto wetu wanakosa muda wa kujifunza mambo mengine ya uzalishaji mali na shughuli mbali mbali za nyumbani.
Mbaya zaidi wanaowangangania watoto wetu ni walimu, wao wakipokea maagizo toka kwa wanasiasa.
Ni vema ratiba za siku za kusoma ziheshimiwe kama ilivyopangwa na wizara na siyo kuleta ujuwaji usiokuwa na tija kuongeza mambo ambayo hayapo kwenye ratiba.