Hii Shule kwenye matawi yake yote ya Dar na Dodoma wanalazimisha watoto wa darasa la 4 na 7 kuanza masomo saa 12 asubuhi na wanamaliza kusoma saa 11 na nusu jioni. Yaani watoto wadogo wa miaka 7 au 8 wanasoma kwa masaa 11 na nusu kwa siku. Sijui kama kuna maana nyingine zaidi ya kuwanyanyasa watoto.
Hivi kuna hata chuo kikuu mwanafunzi anasoma masaa 11 na nusu kwa siku?
Kibaya zaidi, hakuna option ya school bus kwa watoto wa darasa la 4 na 7, maana wanataka lazima mzazi umlete mtoto shule na urudi kumfuata hiyo jioni. Wanafanya hivyo ili mzazi aone ratiba na gharama ni ngumu na hivyo ni kama wanalazimisha mtoto apelekwe boarding, wana boarding ambayo ada inaongezeka toka Tshs 2.2M kwenda Tshs 4.4M. Yaani kuongeza kipato kwa shule ndio malengo makuu bila kujali usumbufu kwa watoto. Mabweni yao yenyewe wala hayako maeneo ya shule, kama shule ya Dar, shule ipo Tabata Barakuba ila Mabweni yako Kinyerezi.
Mabadiriko ya utaratibu mzazi unaambiwa tayari mtoto akiwa darasa la Nne, yaani wakati anasoma la 1 hakuna sehemu wanasema akifika la 4 hatatumia school bus na atasoma kwa masaa 11 na nusu.
Malalmiko yako mengi toka kwa wazazi na shule ziko nyingi zinazofanya kinyume na maelekezo ya wizara ya Elimu lakini hakuna hatua sheria inachukua, hata ya kuwakemea tu, ipo kimya.
Haya: Ongeza orodha ya shule zingine zenye haya matatizo.
Hivi kuna hata chuo kikuu mwanafunzi anasoma masaa 11 na nusu kwa siku?
Kibaya zaidi, hakuna option ya school bus kwa watoto wa darasa la 4 na 7, maana wanataka lazima mzazi umlete mtoto shule na urudi kumfuata hiyo jioni. Wanafanya hivyo ili mzazi aone ratiba na gharama ni ngumu na hivyo ni kama wanalazimisha mtoto apelekwe boarding, wana boarding ambayo ada inaongezeka toka Tshs 2.2M kwenda Tshs 4.4M. Yaani kuongeza kipato kwa shule ndio malengo makuu bila kujali usumbufu kwa watoto. Mabweni yao yenyewe wala hayako maeneo ya shule, kama shule ya Dar, shule ipo Tabata Barakuba ila Mabweni yako Kinyerezi.
Mabadiriko ya utaratibu mzazi unaambiwa tayari mtoto akiwa darasa la Nne, yaani wakati anasoma la 1 hakuna sehemu wanasema akifika la 4 hatatumia school bus na atasoma kwa masaa 11 na nusu.
Malalmiko yako mengi toka kwa wazazi na shule ziko nyingi zinazofanya kinyume na maelekezo ya wizara ya Elimu lakini hakuna hatua sheria inachukua, hata ya kuwakemea tu, ipo kimya.
Haya: Ongeza orodha ya shule zingine zenye haya matatizo.