mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,652
- 1,238
Hii ganda la mua la jana chungu kaona kivuno mimi sjui inamaanisha nini,naomba mnifasirie sababu nimeiona na kuisika muda mrefu lakini sijui chungu ninani na kivuno ninini,sawa na ridhiki mafungu saba,mi nafuatisha semi tu kakini sjui maana.Nisaidieni jamani!Haba na haba hujaza kibaba
Adhabu ya kaburi aijuaye maiti
Ganda la mua la jana chungu kaona kivuno
Heri kufa macho kuliko kufa moyo
Mwamba ngoma ,ngozi huivuta kwake
Kutoa ni moyo usambe ni utajiri
Nyingine hizi hapa:
- Papo kwa papo, kamba hukata jiwe
- Ndugu chungu, jirani mkungu
- Mwenye njaa hana miiko
- Mume wa mama ni baba
- Mtembezi hula miguu yake
- Mtaka nyingi nasaba hupata mwingi msiba
- Mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe
- Mjinga akierevuka mwerevu yupo mashakani
- Mchama ago hanyeli,huenda akauya papo
- Jino la pembe si dawa ya pengo
Sidhani kama hiyo ndio maana ya msemo huo.
Wataalam wengine wameeleza msemo huo kumaanisha chagua moja, kujisafisha sana au nusu nusu uondoke na uchafu. Na sio ``uchafu ni uchafu tu,`` hata ukifanya usafi hausafishiki, la hasha. Sugua kadri uwezavyo.
mh, mada ngumu!! kiswahili kwa wengi enzi za O level kilikua chanzo cha penati kwenye divisions
kuna semi, nahau, methali na hapo ndio mtihani unaanza... let alone tanakali, takriri, tashtiti na mengineyo
mwe!
gademu... Umenikumbusha mbali sana preta... Merci! Arusha yenu mvua tupu na tope kiatu kimekua raizonikuna ngeli za majina, vihisishi, mofimu, misimu, viwakilishi, viunganishi, duh kweli kiswahili kiboko....
gademu... Umenikumbusha mbali sana preta... Merci! Arusha yenu mvua tupu na tope kiatu kimekua raizoni
Na'as desi... But t'laauha ha ha...pole na karibu sana...hii mvua imetukatili lakini tunafurahi kwa kupata neema hii....karibu utembelee na huku Yaeda...nyanyi wameongezeka sana msimu huu
kuna ngeli za majina, vihisishi, mofimu, misimu, viwakilishi, viunganishi, duh kweli kiswahili kiboko....
Kwa wale ambao wanajiuliza nahau ni nini...nahau kwa Kiingereza ni idiomatic expression....