WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Asiyejua maana haambiwi maana.
Kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi
kusema ukweli vinanichanganya kati ya nahau, methali na misemo.
Fuata nyuki ule asali
tembea uone
NDIO HAPO SASA!
Methali ni proverbs au?
na Nahau ni idiomatic expressions..au mnasemaje wajuzi wa lugha?