Njopino
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 3,470
- 5,050
El kurudi nyumbani = Kufanya kazi weekend # realLowasa arudi nyumbani
El kurudi nyumbani = Kufanya kazi weekend # realLowasa arudi nyumbani
Kama ni kweli inamaanisha hawa watu waliadhibiwa kwa makosa ya mtu mwingine.Kama ni kweli sasa naamini mahakama hatuna ni makarani tuu
Huu ni uzushi wa Chadema!
hahahahaha ndio unajua leo mkuu,,yaaani tumebaki na mabanda tuKama ni kweli sasa naamini mahakama hatuna ni makarani tuu
Hahaaha subutu kama hajawekewa mfukoni bang
Mbowe apate ahueni au mkwewe?? Acha kuropoka.Huu ni uzushi wa Chadema!
Wameumizwa na kuhama kwa Lowassa ila wanasahau kuwa Edward amehama ili Mbowe apate ahueni!
Mkuu hawa malimbukeni hawana aibu.
Haki gani miaka 3 wamekaa jela bila kushitakiwa??Mahakama imetenda haki..
Huu ni uzushi wa Chadema!
Wameumizwa na kuhama kwa Lowassa ila wanasahau kuwa Edward amehama ili Mbowe apate ahueni!
Hahahaha!Mahakama imetenda haki..