BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,120
Kupitia shauri la Uhujumu Uchumi namba 26/2023 lililofunguliwa Juni 2023 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar, ambapo washtakiwa waliokuwa waajiriwa TGFA, walisomewa mashtaka 48.
Mashtaka mengine waliyoshtakiwa nayo ni pamoja na Kuendesha Genge la Uhalifu, Kughushi, Kuchepusha, Kuwasilisha Nyaraka za Uongo, makosa ambayo yameisababishia Serikali hasara.
Washtakiwa walitakiwa kutojibu chochote Mahakamani na shauri limeahirishwa hadi Juni 27, 2023 litakaporejea kwaajili ya kutajwa tena.