Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,628
Ndugu yangu hivi unamielewa magufuli na uongozi wake wa sasa?Sijaelewa lowasa ndo dhamana yao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu hivi unamielewa magufuli na uongozi wake wa sasa?Sijaelewa lowasa ndo dhamana yao?
Mwaka jana au mwezi uliopita? Mh ndio maana nikaiita blinking news.. Yaani habali kimurimuriMbona habari ya siku nyingi.
Acheni uchochez hii news ya kitambo sana
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa January ni janaJanuari 11 2019
ikiwa unasema tarehe hiyo hapo juu ni kitambo sana sijui utasema ulizaliwa lini?
Kusumbua Mahakama na polisi!Wana kesi gani mpaka wamekamatwa tena?
ErythrocyteHakuna hata haja ya kufanya uchunguzi wa kina kuijua CHADEMA kwa kuwa kitu kiko wazi kwamba viongozi wengi CHADEMA ni hovyo na ni wa kuokookota mitaani,kwa mfano Godbless Lema alikuwa rasta mvuta bangi mwizi wa magari,DJ Freeman Mbowe mpigadili malaya, king'ang'anizi katika uongozi wa chama na mfujaji wa pesa za ruzuku, wasanii wa kizazi kipya Joseph mbililinyi na mwenzake joseph Haule wavuta bangi na waropokaji, joshua Nassari ni Sho..... aaah ngoja niishie hapo haya sema ni nani mwenye akili timamu unayeweza kumshawishi kujiunga na cha cha watu hao?.Nafikiri Mzee Lowasa kuamia kule alidhani ataweza kuwarekebisha na alipoona ''MJASIRLI HAACHI ASILI'' mzee wa watu amerudi nyumbani kuja kujipunzikia.