Kisutu: Mahakama yawafutia Mashtaka Harry Kitilya na wenzake, Polisi yawakamata tena

Ila giza likiwa zito sana jua kunakaribia kucha. Pole sana Kitilya na Sioi, Mungu yu nanyi
Unamuomba Mungu afanye nini? Yaani umeshajua usafi wa watu hawa au basi tu unaamini wanaonewa. Mi naomba Mungu awape wanachostahili. Kama walifanya uhuni huo, ngoja makubwa yawapate! Na wakome!
 
Duuh aisee, labda wanataka waanze upya kutafuta ushaihidi,ila nikwanini huwa wanafungua kesi na kutesa watu wakati ushahidi haupo?
Africa hio lengo ni kukukomoa,ili hata kama una biashara zako nje zife ili ukitoka uwe masikini. Wenzetu hawana mambo haya wanaangalia mchango wako ktk kodi ngapi watakosa ukiwa ndani thus wakikuhukumu ni kweli umetenda kosa.Africa waweza singiziwa na ukafia jela. Yote ni mambo yaifanyayo Africa kulaanika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamuomba Mungu afanye nini? Yaani umeshajua usafi wa watu hawa au basi tu unaamini wanaonewa. Mi naomba Mungu awape wanachostahili. Kama walifanya uhuni huo, ngoja makubwa yawapate! Na wakome!


Hakuna hata siku moja mtu anaweza kumwombea mabaya binadamu yoyote all in all God is watching
 
Maagizo toka mamlaka za kichaa jiwe AKA Dukuzi.

 
Hapo watapewa lesser charges na watakiri kisha wataambiwa walipe faini na kuachiwa huru.

Hilo ni deal la kuwasaidia watoke. Inakua kama ya ndugu yake Rostam.

dili after two years in cells, brother unaijua jela unaisikia?

refer wimbo wa LWP-Majitu (Wanaokwenda Jela sio wote wenye hatia na wala si wote ni watuhumiwa)

jela balaa
jela jelasi

psychologically jamaa hawapo sawa tena, yani wakitaka kuishi bongo hapa siku zao zitahesabika km Liumba..mark my words
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…