Kisiki cha Simba Ndani ya Bodaboda

Great thinkers wanaongozwa na alshabab!? C'est ne pas possible!
Heri kuongozwa na Alshabab mwafrika mwenzako kuliko kuitwa, "Sabaaaaniiii iko osha toto chooni bhana" na gabachori kila siku. Na siku akipingwa anachukua hela zake za kununulia mechi na marefa, matokeo yake timu inaanza kulala mzungu wa nne hotelini, kocha analia nyumba yeke haina maji, haina umeme, hana usafiri anatumia pikipiki kwenda mazoezini na mwisho timu inafungwa mabao tano tena.
 
Haruna Moshi (Swiden),Henery Shindika(Norwey),Bwana Samatha(Drc),Emmanuel Okwi (Aljeria) Dany Mrwanda ( Vietnam) haya Taja wa Yeboyebo aliyeenda hata Burundi.Usajiri wa Yeboyebo wenyewe unategemea Simba Unabisha?
Mkuu hawa watu ni wagumu kuelewa lakini wana shahada ya kusahau.

Wangelijua hilo kuwa Yanga ni Simba B wasingepepesa macho hapa. Kuanzia kipa wao, beki, mpaka walimtaka na kiungo wetu anayetupia nyavuni kila mechi ya Stars lakini wakashindwa dau. Chezea Simba wewe, wakileta mchezo tunawapiga mkono tena na wakina Ngasa wao.
 
Mkuu hawa watu ni wagumu kuelewa lakini wana shahada ya kusahau.

Wangelijua hilo kuwa Yanga ni Simba B wasingpepesa macho hapa. Kuanzia kipa wao, beki, mpaka walimtaka na kiungo wetu anayetupia nyavuni kila mechi ya Stars lakini wakashindwa dau. Chezea Simba wewe, wakileta mchezo tunawapiga mkono tena na wakina Ngasa wao.

Hawa pia umewasahau walitoka Simba: David Luhende, Taita, Nadir Haroub, Msuva, Kiiza, Niyonzima, Kavumbagu, Domayo n.k. Na hawa pia walikulia hapo Simba: Amir Maftah, Kigi Makassy, Amri Kiemba n.k. Kwa mtaji huu Yanga ni Simba B.
 
Hawa pia umewasahau walitoka Simba: David Luhende, Taita, Nadir Haroub, Msuva, Kiiza, Niyonzima, Kavumbagu, Domayo n.k. Na hawa pia walikulia hapo Simba: Amir Maftah, Kigi Makassy, Amri Kiemba n.k. Kwa mtaji huu Yanga ni Simba B.
Kama unakumbukumbu nzuri yupi kati ya hao uliowataja nani alichukuliwa kutoka Yanga directly kama Yanga ilivyofanya kwa Yondani ambaye hata mkataba ulikuwa bado haujakwisha, Ngasa, Kipa mnayejivunia sasa hivi Barthez, kama Yanga ilivyofanya kwa Kaseja na baada ya kuwachuna akarudi nyumbani.

Ukweli utabakia pale pale ili Yanga ichukue Ubingwa inahitaji nguvu kubwa ya wachezaji kutoka Simba kama mlivyofanya mwaka uliopita, bila hivyo kombe mngelisikia tu pamoja na kununua marefa kwenu kunakofanywa na gabachori. Na ndiyo maana ili kulinda kombe la ligi kuu mlijaribu kumchukua na Kingo wa kimataifa wetu ambaye wakati Simba inamchukua alikuwa huru tena chini ya kiwango lakini baada ya kuja chuo kikuu sasa mnaona anaweza kuwasadia ili mwakani Yanga na gabachori wao wasinunue marefa tena.
 
Kama unakumbukumbu nzuri yupi kati ya hao uliowataja nani alichukuliwa kutoka Yanga directly kama Yanga ilivyofanya kwa Yondani ambaye hata mkataba ulikuwa bado haujakwisha, Ngasa, Kipa mnayejivunia sasa hivi Barthez, kama Yanga ilivyofanya kwa Kaseja na baada ya kuwachuna akarudi nyumbani.

Ukweli utabakia pale pale ili Yanga ichukue Ubingwa inahitaji nguvu kubwa ya wachezaji kutoka Simba kama mlivyofanya mwaka uliopita, bila hivyo kombe mngelisikia tu pamoja na kununua marefa kwenu kunakofanywa na gabachori. Na ndiyo maana ili kulinda kombe la ligi kuu mlijaribu kumchukua na Kingo wa kimataifa wetu ambaye wakati Simba inamchukua alikuwa huru tena chini ya kiwango lakini baada ya kuja chuo kikuu sasa mnaona anaweza kuwasadia ili mwakani Yanga na gabachori wao wasinunue marefa tena.


Alaa kumbe tatizo lako ni hilo. Kwa taarifa yako Yanga ina ubavu wa kuchukua mchezaji yeyote yule imtakaye A. Mashariki na Kati, wakati Simba haina uwezo huo. Sana sana mpaka mkamlilie bwanenu Azam awe kama daraja. Maneno mengi mno nyie watu.
 
Heri kuongozwa na Alshabab mwafrika mwenzako kuliko kuitwa, "Sabaaaaniiii iko osha toto chooni bhana" na gabachori kila siku. Na siku akipingwa anachukua hela zake za kununulia mechi na marefa, matokeo yake timu inaanza kulala mzungu wa nne hotelini, kocha analia nyumba yeke haina maji, haina umeme, hana usafiri anatumia pikipiki kwenda mazoezini na mwisho timu inafungwa mabao tano tena.


Mkuu angalia usijekuwa unajitusi mwenyewe. Kumbuka mmetoka arabuni juzi juzi tu mkalichezea, kabla ya kukirimiwa Angola na lile dude likawawekeni gheto.
 
Mkuu angalia usijekuwa unajitusi mwenyewe. Kumbuka mmetoka arabuni juzi juzi tu mkalichezea, kabla ya kukirimiwa Angola na lile dude likawawekeni gheto.
Simba ndiyo klabu pekee iliyoweka rekodi ya kufika fainali za afrika hakuna kitimu chochote kingine kinachopigwa mabao matano Bongo kimeweza kutia maguu level hiyo.

Kufungwa kwa Simba ni kutokana na migogoro tu, waleteni tena hao unaowaona vidume wako uone watakavyofanywa. Au umesahau ni Simba hii hii ndiyo iliyomvua Mmisri ubingwa wa Afrika tena kwao ijekuwa hao vidume vyako wewe.

Unawasifia kwa kuwa na wewe si utapangwa nao na kujisifu ku wana timu nzuri isiyokuwa na migogoro bado mtapigwa nyingi, sisi tulifungwa na migogoro lakini sio hivyo vitimu vyako unavyovisifia.

Simba dume la soka Tanzania hakuna mwingine kama Simba SC!
 
Alaa kumbe tatizo lako ni hilo. Kwa taarifa yako Yanga ina ubavu wa kuchukua mchezaji yeyote yule imtakaye A. Mashariki na Kati, wakati Simba haina uwezo huo. Sana sana mpaka mkamlilie bwanenu Azam awe kama daraja. Maneno mengi mno nyie watu.
Unajua mke wa mtu siku zote anaamini bwana wake ni bwana wa wote, waungwana tumekuelewa. Msalimie bwana wako AZAM aliyekuchapa vitatu mpaka ukampiga ngumi mwamuzi.
 
Unajua mke wa mtu siku zote anaamini bwana wake ni bwana wa wote, waungwana tumekuelewa. Msalimie bwana wako AZAM aliyekuchapa vitatu mpaka ukampiga ngumi mwamuzi.

Mkuu nimevutiwa na signature yako, vipi unalikumbuka zaidi Libolo lipi? La Angola au la Jangwani?
 
Huu uzi umekosa uelekeo. Kila anayechangia anakwenda 'Off point' au 'Off track', uzi unazungumzia beki wa Simba ndani ya bodaboda (nadhani ni 'juu ya boda boda') lakini michango ya Wakuu imekuwa ni kurushiana vijembe nje ya mada.

Ushauri wangu: Wachangiaji turudi kwenye mada.
 
Back
Top Bottom