pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,344
Eti legelege? Ameinama kivipi? U.K alikuwa mchezaji hodari wa raga bana. Shida walevi wa peni mbili kama wewe huwa mnadhani kila mtu huwa anakunywa mbege na wanzuki za ofa na pombe expired. Shika adabu zako kijana. Heshimu rais wa watu wewe.dah, ila uhuru aisee ana reception ya kilevilevi? hivi mtoto wa rais, hata jkt ya kwao hakwenda, hafananii kabisa kuwa amiri mkuu...legelege, ameinama kilevilevi fulani hivi! pamoja na kwamba anapiga kazi kuliko wasio walevi na ana akili kuliko....