Lazima upende bibie maana ushataja pesa hapoHandsome boys, (mwanaume mwenye pesa sikuzote ni handsoome) mie napenda miondoko yao......
Lazima upende bibie maana ushataja pesa hapo
Kwahyo sisi wanaume tusio na midomo hiyo hatuna nafasi ya kùmmiliki mtotò mzuri KasiePesa madafuu
Pesa sabuni ya roho
Kwatuu mahaba murua, japo Kasie makaratasi huwa hayamhadaishi kama denda..... midomo ya denda tuu Kasie hoiii
DaahKabisaaa
Pesa tu ndo mchawi mamaa, hiyo midomo huwa mnasema tu kujifurahisa nafsiKabisaaa
Pesa tu ndo mchawi mamaa, hiyo midomo huwa mnasema tu kujifurahisa nafsi
Basi yaonekana upo vizuri au unajichanganya sana viwanja vya wenye nazo...Hahahahahahaa
Sijui ni nyote yangu ndo huwa inawavuta au madini niliyonayo ndo yanawawavuta.... hata sielewi......
Kiufupi kati ya wanaume 10 wanaonifata tuwe na mahusiano ya kimahaba 9 kati yao wako vizuri na ni watu wenye pesa zao za maana.
Ndo maana nabaki kupenda denda tuu.... hii ni kwa upande wangu maana makaratasi nshayazoea hayanistui sanaa
Basi yaonekana upo vizuri au unajichanganya sana viwanja vya wenye nazo...
Au
Labda chura mashallah
Aisee!Yote hapo juu sio hata sidogo.
Sijichanganyi na wenye nazo wala sina chura ila huwa wananitafuta wao kwa kuniona mahali kisha wanaulizia contact zangu na wananitafuta.
Niko mzee wa 47 years huko chura sina basi tuu hata mie sielewagi...... ndo maana nikasema labda madini niliyonayo mwilini au nyota yangu ndo inawavuta......
Kesho nikienda kwa mshana jr ntamuomba anielezee ni nini haswaa.
u gonna get what u deserve soon from the southern guys!We should lead our country in a democratic way and bolster our economy unlike our southern neighbour
Naona anamuonyesha mashamba ya urithi hapo
Akisema hayarudi serikalini n'gooo
Akiingia battle na mmeo utachagua nanHandsome boys, (mwanaume mwenye pesa sikuzote ni handsoome) mie napenda miondoko yao......