Budika Lambada
Member
- Mar 10, 2019
- 18
- 10
Ivi mnaweza kuwa kwenye mausiano zaidi ya miaka 10 bila ndoa.
Jamna tena kama yote hao waswahil siku hiz mambo ya bday utakuta mtu kapost labda hbd mpenzi miaka kama yote nakupenda.....Na hapo hamna hata mahusiano yyte fatilia bday wishes sku hzi hasa uko statusTatizo bindamu wa siku hizi nyie ni wabishi sana...
Kuuliza siyo ujinga, sawa hao wakizungu unawaita love na makops kopa, je rafiki zako wa kiume waswahili unawaita love na makopa kopa pia?
Ushajua mwenzako hizo tabia hapendi, kwa nini uziendeleze... unamkosea sana... ana haki ya kuchukia...
Cc: mahondaw
ThanksMambo mengine mnajitakia. Ili uwe na mahusiano mazuri ni lazima ujue mpenzi wako anapenda/hapendi nini. Wewe unajua kuwa unapopost status unaweka picha za wanaume, yeye hapendi, bado unafanya hivyo. Maana yake hujali hisia zake. Inarisha mahusiano yako, acha ku please marafiki. Hakuna mwanaume anayependa hayo. Mwisho utahama toka kwa mwanaume mmoja hadi mwingine kila siku, halafu uje hapa kutafuta 'mchawi', kumbe mchawi ni wewe mwenyewe. Grow up, badilika.
Watu hawakawiiUnatumia darubini ipi kuona mbali 😬😬😬
Apologising doesn't always mean you are wrong and the other person is right, it sometimes shows that you value the relationship than your ego. Alisikika mlevi mmoja
Ya kutolea unayo?TUma nauli![]()
Naon unatetea point yako![]()
Sawauhic uko paris kumbe kwa mtogole?acha kuigiza maisha,huyo boy wako yuko sahih sana jitathmin cz huo n utoto na ikiwezekn ukiaombe msamaha yaishe,hulka yyte ya mwanaume hatak kuchukuliwa inferior kwa mwanaume mwnzke kisa mwanamke ko maamuz yake n ya msingi sanaa