Kisa cha Mimi kugombea demu na Jini

Halafu walivyokuwa wapumbavu maoni ya wateja wao hawayazingatii,wana viburi sana wanafikiri milele na milele watabakia juu wao tu,badala ya kuboresha upuuzi upuuzi wao waupunguze,wao ndio wanazidi kutia watu hasira,vitu wanavyoona wao ni vidogo vidogo sana ndivyo vitakavyoharibu credibility ya mtandao wao
 
Nadhani ni kwa sababu wame monopolize aina hii ya mtandao wa kijamii.hawana ushindani. Ndo maana wanakuwa na kiburi sana. Uzi wangu nlianzisha habari mchanganyiko. Wakatoa wakapeleka MMU sikulalamika. Though nliona si sahihi. Leo wameutoa MMU wameleta kwenye entertainment. Hii siyo entertainment. Siyo story ya kubuni. Why wafanye hivyo?


Halafu walivyokuwa wapumbavu maoni ya wateja wao hawayazingatii,wana viburi sana wanafikiri milele na milele watabakia juu wao tu,badala ya kuboresha upuuzi upuuzi wao waupunguze,wao ndio wanazidi kutia watu hasira,vitu wanavyoona wao ni vidogo vidogo sana ndivyo vitakavyoharibu credibility ya mtandao wao
 
Nadhani ni kwa sababu wame monopolize aina hii ya mtandao wa kijamii.hawana ushindani. Ndo maana wanakuwa na kiburi sana. Uzi wangu nlianzisha habari mchanganyiko. Wakatoa wakapeleka MMU sikulalamika. Though nliona si sahihi. Leo wameutoa MMU wameleta kwenye entertainment. Hii siyo entertainment. Siyo story ya kubuni. Why wafanye hivyo?

Anywayz we endelea tuu mkuu na Story Sisi Member wenzako tuna kiu ya kujifunza hapo
Huku ukijaribu kuwauliza PM huko
 
Huwezi kugombana na mwenye nyumba....labda ujenge yako.

Otherwise ni kuwa tu mpole boss hata kama hii thread yako waieweke kwenye jukwaa la biashara ni kukanyaga gia tu wadau tutasoma tu.
 
Huwezi kugombana na mwenye nyumba....labda ujenge yako.

Otherwise ni kuwa tu mpole boss hata kama hii thread yako waieweke kwenye jukwaa la biashara ni kukanyaga gia tu wadau tutasoma tu.
Kweli kabisa mkuu. Sioni sababu ya kufanya mambo yawe mengi, binafsi hata sikujua kama umehamishwa
 
Huwezi kugombana na mwenye nyumba....labda ujenge yako.

Otherwise ni kuwa tu mpole boss hata kama hii thread yako waieweke kwenye jukwaa la biashara ni kukanyaga gia tu wadau tutasoma tu.
Apo umenena eko mkuu maana wengine tayali tume subscribe kwaiyo ashushe vitu tuu alafu tusipo angalia soon wataaza fukuta bahadhi ya comment maana moderetor sijui wanaishi wap kwa apa Tanzania kama sio ,,,,,,, kwampalange

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom