the_legend
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,405
- 2,000
Kweli kabisa mkuu. Sioni sababu ya kufanya mambo yawe mengi, binafsi hata sikujua kama umehamishwaHuwezi kugombana na mwenye nyumba....labda ujenge yako.
Otherwise ni kuwa tu mpole boss hata kama hii thread yako waieweke kwenye jukwaa la biashara ni kukanyaga gia tu wadau tutasoma tu.