Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,915
- 30,259
- Thread starter
- #101
Edwayne,Hili zee lililoleta uzi huu ni lidini na mtu mzima ovyo yupo radhi amsaidie Mwarabu anayemuita nyani kisa muislamu na kuacha kumsaidia Mwafrika mwenzake kisa sio muislamu.. Hawa watu hawataki kuongoza nchi
Nionapo mtu ameghadhibika anatoa matusi mimi humkwepa.
Hatoniona tena kumjibu.
Nasimamisha mjadala na wewe hadi utakapo rejea kwenye mjadala wa heshima na adabu.