chedaiwe
Member
- Jul 20, 2018
- 26
- 42
Poleni
Umesoma huko nini??Chuo cha ukiliguru,umenikumbusha mbali
HahahahahaaaaaNakumbuka jamaa yangu alikuwa SWEDEN na rafiki yake! Wakawa ndani ya street train mara wakamkamuona mama mnene sana. Si wakaropoka kuwa mimama kama hii ikijamba inatoa ushuzi unaonuka ajabu, wakacheka. Yule mama alipofika kituo alichokuwa anashuka akawaeleza ‘do you know the meaning of kumamayo’ akasepa. Jamaa walijisikia wapuuzi sana! Ni kuwa usimseme mtu ambaye humjui anaweza kuwa anakuthale tu anasubiri kithibiti
Mzee Wangu kasoma pale,kipo nje kidogo ya Mwanza mjiniUmesoma huko nini??
HahahHahaha nimecheka kama chiziNakumbuka jamaa yangu alikuwa SWEDEN na rafiki yake! Wakawa ndani ya street train mara wakamkamuona mama mnene sana. Si wakaropoka kuwa mimama kama hii ikijamba inatoa ushuzi unaonuka ajabu, wakacheka. Yule mama alipofika kituo alichokuwa anashuka akawaeleza ‘do you know the meaning of kumamayo’ akasepa. Jamaa walijisikia wapuuzi sana! Ni kuwa usimseme mtu ambaye humjui anaweza kuwa anakuthale tu anasubiri kithibiti
Miaka ile British Airways inakuja Dsm,una muda katika mwaka walikuwa na msimu wa bei cheee sana kuvutia wateja.Nikaamua kusomba vijana wangu kwenda kutembea.
Nimepanda hapo Dar es Salaam,basi tupo juu huko,wife akawa ameomba Air hostess amletee juice ya Apple,yule dada akusikia vizuri akaleta juice ya chungwa.Wife akapiga fundo moja...Then akaropoka!Hawa nao unamuagiza hiki analeta hiki...Utafikiri hatulipii!Yule mzungu akajibu kwa Kiswahili safi kabisa,samahani dada,nitakuwa nilipitiwe ulitaka juice ya nini?Wewe mteja ni mfalme...
Loooh...Mwanamke wa Kingazinja sura ikamshuka kama paka shume...nikamwambia ndio uache kuropoka hovyo.Wakati wa kushuka yule dada akawa mlangoni,tumefika akasema mnisamehe kwa huduma isiyoridhisha,siku nyingine ntakuwa makini...
UmemfumaYaani we jamaa nakujua vizuri sana mpaka hiyo nchi uliyokuwa na jinsi ulivyoondoka. Yaani nakujua A-Z. Ngoja nikufuate PM maana nna hakika ndo wewe..hiyo story ulishaniambia wakati fulani!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yewe kyodowe ewe!!Mkuu ebu ungefunguka kidogo. Naona kama hii story inamuhusu Kiranga!
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu na hongera kwa kuwa na kifua!!
Kiswahili imekuwa sio lugha tena ya siri sikuhizi