babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,398
- 16,521
Hiyo tabia tunayo sana waswahili tukiona mtu huelewi kiswaz, siku moja tumetoka ubalozini tushapiga vyombo vya bure mara ndani ya metro na wazungu wamekaa ikatokea harufu kali ya ushuzi nahisi mmoja wetu pale alijamba, ushuzi wa maharage kabisa.
Basi bana tunaanza "mmh mmmmh, duh e bana kuna jamaa kaachia ushuzi"
Mwingine anajibu si huyo nguruwe hapo"mzungu"
Kadakia mwingine "sijui kala nini kumabake"
Mwingine "aah mayai visa hayo du e bana unanuka kishenzi"
Basi bana tunaendelea kumteta kumbe jamaa anajua kiswahili fasta akatujibu.
Mzungu"mmh SIJAJAMBA jamani usinisingizie sio mimi"
Dah ile noma tulishuka kituo kinachofata kwa aibu tunasubiri treni ingine 30 min bila kupenda.
Basi bana tunaanza "mmh mmmmh, duh e bana kuna jamaa kaachia ushuzi"
Mwingine anajibu si huyo nguruwe hapo"mzungu"
Kadakia mwingine "sijui kala nini kumabake"
Mwingine "aah mayai visa hayo du e bana unanuka kishenzi"
Basi bana tunaendelea kumteta kumbe jamaa anajua kiswahili fasta akatujibu.
Mzungu"mmh SIJAJAMBA jamani usinisingizie sio mimi"
Dah ile noma tulishuka kituo kinachofata kwa aibu tunasubiri treni ingine 30 min bila kupenda.