Hivi mimi ukiniomba uthibitisho kisha nikawambia uthibitisho wanguupo kwenye kauli : "Kila kitu kina chanzo isipokuwa Mola pekee" utakubali kama huo ni uthibitisho ?nisha kuthibitishia hilo kupitia kanuni niloyotumia kupata jibu, unataka nikuthibitishie mara ngapi???
Rejea kauli yako uliyosema mwanzo wa kitu ni chanzo,ndio maana nikauuliza nikisema "Mwanzo wa kitabu" ndio sawa na kusema chanzo cha kitabu ?Umeambiwa kila mtu lazima afe, we unauliza "wachaga nao watakufa". Ukishaambiwa chanzo cha kila kitu maana yake ni mwanzo wa kitu unaanzaje kuuliza swali la kipuuzi kama hilo, Kwani kitabu hakina chanzo??? Kama kina chanzo kwanini kisiwe na mwanzo??
Narejea kauli,yako je mwanzo wa kitabu ndio chanzo chanzo cha kitabu ? Jibu maswali.
Sio kweli ukiambiwa mwanzo wa kila kitu ndio chanzo,soma lugha vizuri ili kuluthibitishai hilo ni hili swali nililo kuuliza ya kuwa je "Mwanzo wa kitabu" ndio sawa na kusema "Chanzo cha kitabu"? Kauli hizi haziko sawa,nakuoa kazi sasa mchukue mwanafunzi moe kitabu kisha muulize "Mwanzo wa kitabu na chanzo cha kitabu hiki ni upi ?
Maneno haya umeyaleta mapya na hapa si mahali pake.
Safi kabisa,kwa maana hiyo jibu lako kwako wewe nisahihi,sasa naomba nithibitishie usahihi wake kwa kujibu maswalo yangu matatu kule post # 4288.Mimi pia nakujibu kua nimekubali kanuni yako ila nimekataa kanusho lako kua jibu langu si sahihi
Wewe ndio ulisema ya kuwa hapaswi kuhoji juu ya chanzo cha ulimwengu sababu ndio chanzo cha kila kitu. Sijawahi kusema hivyo bali huwa nauliza ya kuwa mtuambie ni kwanini tutake kujua chanzo cha chanzo vha kila kitu.Maswali yako yana contradict kanuni yako inayosema hupaswi kuhoji chanzo cha chanzo kwasababu hakina chanzo, mimi nalinda sheria ila wewe unaivunja
Naona unaendelea kujikataa mwenyewe,rejea kule nyuma ulipoanza kusema ya kuwa chanzo cha kila kitu kisha ukahitimisha ya kuwa hupaswi kuhoji,maneno haya umeyasema wewe.
Na mimi hapa sihoji juu ya chanzo bali nataka unithibitishie juu ya ukweli wa unachoamini.
Nimekwambia zaidi ga mara tano sasa,jibu lako nimekubali ili ututhibitishie lakini sijakubali usahihi wake,ili nikubali usahihi wake thibitisha ukweli wa jibu lako.Kwanza kabla ya yote kubaliana na jibu langu
Sawa hatujakubaliana,vioi unakubali kama jibu langu ni sahihi au sio sahihi ? Hapa lazima utarudi nilipo mimi tu,huna uwezo wa kutoka.Hayo makubalianao umefanya na nani??? Unaweza ukaonesha wapi nimekubaliana nawewe kua jibu langu si sahihi??? Umeishiwa hoja umeanza kulazimisha vitu nisivyo visema kua nimesema??
Situmii jibu lako kama mwongozo, natumia kanuni yako kama mwongozo wa kujua jibu. Kutokubali kwako jibu langu hunikosoi mimi unakosoa kanuni yako kua kila jibu litalotumia hiyo kanuni haliwezi kua sahihi, unaelewa???
Safi kabisa sasa kwanini utumie kanuni ambayo jibu lolote litakalo ingia hapo haliwezi kuwa sawa ? Huoni kama hutumii akili yako vizuri ? Na ushaambiwa na wenye kanuni ya kuwa hakuna mlango wa kuingia vingine lakini wewe uanviweka ? Huoni kama umeamua kukosea na kuonekana kituko usie tumia akili na kupenda kubishana penye hamna ?
Naendelea .......