Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Huyu nimeshamwambia zaidi ya mara moja laiti kama angekuwa karibu yangu ile "man to man" ningekuwa nampiga makofi au makonzi ili ni "activate" kichwa chake yaani mambo hawa yajui lakini wanaminyana kutaka mjadala mwisho wake wanatafuta huruma tu na kujichanganya.

Huyo Kiranga ndio hamna kitu na wanafanana sana katika ujengaji hoja wao sasa sijui nani ameathiriwa na mwenzake katika ujinga wao.

Hapo nikimuuliza swali ataniuliza na yeye swali "Kwani wewe huna akili", alivyokuwa zwazwa ukimjibu "sina akili" atakwambia "na mimi sina,sababu nimefata kanuni ya jibu lako". Hatari sana.
Hapo nikimuuliza swali ataniuliza na yeye swali "Kwani wewe huna akili", alivyokuwa zwazwa ukimjibu "sina akili" atakwambia "na mimi sina,sababu nimefata kanuni ya jibu lako". Hatari sana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sijataja tu, bali nimeelezea kwa wigo mpana juu ya jambo hilo kwa mtu timamu ni rahisi kuelewa.

Nasisitiza tena

Ulwengu ndio chanzo, kwa namna gani ulimwengu uwe chanzo??

Kwasababu ulimwengu ni chanzo cha chanzo kingine

ukweli wa kauli hii uko wapi??

Ukweli huu unapatikana katika sheria hii, chanzo cha chanzo hakina chanzo

Umeuona uthibitisho hapo kupitia hiyo kanuni???
Kwasababu ulimwengu ni chanzo cha chanzo kingine

ukweli wa kauli hii uko wapi??

Ukweli huu unapatikana katika sheria hii, chanzo cha chanzo hakina chanzo

Umeuona uthibitisho hapo kupitia hiyo kanuni???

Unajichanganya mno na kulazimisha kisichopo kiwepo
 
Kwasababu ulimwengu ni chanzo cha chanzo kingine

ukweli wa kauli hii uko wapi??

Ukweli huu unapatikana katika sheria hii, chanzo cha chanzo hakina chanzo

Umeuona uthibitisho hapo kupitia hiyo kanuni???

Unajichanganya mno na kulazimisha kisichopo kiwepo
Huyu naona anataka kivuli kilicho nyooka katika mti uliopinda.

Muoga sana wa kujibu maswali naona ameshajua maswali niliyo muuliza hayawezi kwahiyo analazimisha mambo ambayo hayapo. Baada ya Kiranga kwa uoga hiyu anafata.
 
Huyu naona anataka kivuli kilicho nyooka katika mti uliopinda.

Muoga sana wa kujibu maswali naona ameshajua maswali niliyo muuliza hayawezi kwahiyo analazimisha mambo ambayo hayapo. Baada ya Kiranga kwa uoga hiyu anafata.
Hizo ni hisia zako zinakutuma kufikiri hivyo lakini ukweli upo kinyume na hapo, siwezi kuruhusu kwenda hatua ya pili wakati hapa hatujamalizana. Naheshimu sheria ya mjadala sifati mihemko yako
 
Sijataja tu, bali nimeelezea kwa wigo mpana juu ya jambo hilo kwa mtu timamu ni rahisi kuelewa.

Nasisitiza tena

Ulwengu ndio chanzo, kwa namna gani ulimwengu uwe chanzo??

Kwasababu ulimwengu ni chanzo cha chanzo kingine

ukweli wa kauli hii uko wapi??

Ukweli huu unapatikana katika sheria hii, chanzo cha chanzo hakina chanzo

Umeuona uthibitisho hapo kupitia hiyo kanuni???

Sawa sawa,huo ukweli upo kwako kulingana na wewe lakini mimi nakwambia sio sahihi,ili uone hilo ukijibu yale maswali yangu utaona kwa namna gani Ulimwengu hauwezi kuwa chanzo cha kila kitu,hili nakwambia zaidi ya mara sita sasa.

Ukiacha yale maswali matatu niliyo kuuliza kuna maswali zaidi yanayo onyesha uongo wa kauli yako.
 
Kwasababu ulimwengu ni chanzo cha chanzo kingine

ukweli wa kauli hii uko wapi??

Ukweli huu unapatikana katika sheria hii, chanzo cha chanzo hakina chanzo

Umeuona uthibitisho hapo kupitia hiyo kanuni???

Unajichanganya mno na kulazimisha kisichopo kiwepo

Nalazimisha au nafata kanuni inavyosema??

Kisichopo kiwepo, inamaana Ulimwengu haupo?
 
Sawa sawa,huo ukweli upo kwako kulingana na wewe lakini mimi nakwambia sio sahihi,ili uone hilo ukijibu yale maswali yangu utaona kwa namna gani Ulimwengu hauwezi kuwa chanzo cha kila kitu,hili nakwambia zaidi ya mara sita sasa.

Ukiacha yale maswali matatu niliyo kuuliza kuna maswali zaidi yanayo onyesha uongo wa kauli yako.

Kama jibu si sahihi unakubali kua kanuni yake mliyoipendekeza si sahihi?
 
Hizo ni hisia zako zinakutuma kufikiri hivyo lakini ukweli upo kinyume na hapo, siwezi kuruhusu kwenda hatua ya pili wakati hapa hatujamalizana. Naheshimu sheria ya mjadala sifati mihemko yako
Ungekuwa makini na kujua unachokiandika,hili lingekuwa limeisha tangu siku ya kwanza,mimi mwenye hii sheria ambayo wewe unaifata nimeshakwambia kwa Ulimwengu inakataa,lakini wewe kwa uoga wako na kupenda kubishana,sasa kwa sababu wewe unaitumia kimakosa na wewe unaona kjwa uko sahihi ndio maana nilikuukiza yale maswali katika post # 4,288.

Hapa hujathibitisha ukweli wa kauki yako zaidi ya kuweka kanuni husika,nilikwambia kila kanuni ina marejeo yake kwenye asilo,nikikuuliza swali la marejeo tuapoteza muda tena sababu najua huna uwezo wa kujibu swali hilo. Uthibitisho wa jambo huja baada ya kujibu changamoto zote zinazohusiana na kauli hiska ili kutuonyesha sisi ya kuwa huko unapoegemea ni ukweli.
 
Kama jibu si sahihi unakubali kua kanuni yake mliyoipendekeza si sahihi?
Kaka elewa Kiswahili ndio maana huwa nakwambia hutumii akili au una matatizo ya akili. Nilikwambia ya kuwa kanuni hii ni hasa kwa Mola muumba kwa asie kiwa yeye haikubali,sasa wewe sababu una kurupuka nimekuacha uitumie ili uje kutuonyesha ukweli wa kauli hiyo kwa kujibu maswali,kwamba ndio tumekubali kwamba wewe unaamini hilo sasa tunataka utuonyeshe Ukweli wake kwa maswali yale niliyo kuuliza kule mwanzi.
 
Kaka elewa Kiswahili ndio maana huwa nakwambia hutumii akili au una matatizo ya akili. Nilikwambia ya kuwa kanuni hii ni hasa kwa Mola muumba kwa asie kiwa yeye haikubali,sasa wewe sababu una kurupuka nimekuacha uitumie ili uje kutuonyesha ukweli wa kauli hiyo kwa kujibu maswali,kwamba ndio tumekubali kwamba wewe unaamini hilo sasa tunataka utuonyeshe Ukweli wake kwa maswali yale niliyo kuuliza kule mwanzi.
Wastage of time and energy
 
Kanuni gani unayofuata? Hebu nyoosha maelezo? Ulimwengu ninini?
Hebu nioneshe huo ulimwengu ulivyo
Wewe unataka turudi kule mwanzooo, rudi wewe soma post za nyuma utaiona hiyo kanuni
 
Kaka elewa Kiswahili ndio maana huwa nakwambia hutumii akili au una matatizo ya akili. Nilikwambia ya kuwa kanuni hii ni hasa kwa Mola muumba kwa asie kiwa yeye haikubali,sasa wewe sababu una kurupuka nimekuacha uitumie ili uje kutuonyesha ukweli wa kauli hiyo kwa kujibu maswali,kwamba ndio tumekubali kwamba wewe unaamini hilo sasa tunataka utuonyeshe Ukweli wake kwa maswali yale niliyo kuuliza kule mwanzi.
Mufti_Tafadhal maskuran hebu tuwekee hiyo kanuni inayoongeleka juu juu labda na sie tukiisoma tutapata faida kidogo

Maana mwatuacha mbali kweli kweli

Kanuni gani unayofuata? Hebu nyoosha maelezo? Ulimwengu ninini?
Hebu nioneshe huo ulimwengu ulivyo
 
Mufti_Tafadhal maskuran hebu tuwekee hiyo kanuni inayoongeleka juu juu labda na sie tukiisoma tutapata faida kidogo
Huyu jamaa tangu juzi aliingia katika mtego fulani baada ya mimi kumuuliza maswali kadhaa,akasema hivi "Binadamu hana chanzo sababu yeye ni chanzo cha vingine" muda huo huo akaja kusema "Ulimwengu ndio chanzo cha kila kitu" ,akamalizia kwa kisema hivi "Kwahiyo hupaswi kuhoji juu ya chanzo cha kila kitu". Nikamkumbusha juu ya kujipinga kwa kauli zake hizo mbili. Akabisha sana mwisho wa siku akarukia katika kauli ya mchangiaji mwingine isemayo "Hakuna chanzo cha chanzo" ,mimi nikaja kumwambia hivi "Kanuni ya chanzo kisichokuwa na chanzo ni sawa na mimi kusema hivi kila kitu kina chanzo isipokuwa Mola pekee".

Kazi sasa ndio ikaanzia hapo na yeye akadakia na kusema hivi "Kila kitu kina chanzo isipokuwa Ulimwengu".

Mimi kwa kuokoa muda nikamwambia hivi "Sawa nimekubali jibu lakini sijakubali juu ya usahihi wa jibu lako". Akawa ana bisha kwa kusema hivi "Kwanini useme jibu langu sio sahihi wakati nimetumia kanuni yenu ?". Nikamwambia sis wenye kanuni ndio tunakwambia sio sahihi sababu kanuni hii ni hasa na maalumu kwa Mola pekee,kwa maana kwa kingine haikubali,kama unaona ina kubali jibu maswali yafuatayo,kuna maswali yapo post # 4288 nilimuuliza ili atuonyeshe ya kuwa kwanini Ulimwengu uwe ndio chanzo cha kila kitu. Maswali hayo mpaka kesho kutwa hajayajibu na nina jua hawezi kuyajibu. Kwa ufupi ni hivyo.

Hata wewe kweli ukiambwa kanuni ni "Kila kitu kina chanzo isipokuwa Allah pekee" ukaja ukasema "Kila kitu kina chanzo isipokuwa Ulimwengu", utakuwa sawa kweli ?
 
Huyu jamaa tangu juzi aliingia katika mtego fulani baada ya mimi kumuuliza maswali kadhaa,akasema hivi "Binadamu hana chanzo sababu yeye ni chanzo cha vingine" muda huo huo akaja kusema "Ulimwengu ndio chanzo cha kila kitu" ,akamalizia kwa kisema hivi "Kwahiyo hupaswi kuhoji juu ya chanzo cha kila kitu". Nikamkumbusha juu ya kujipinga kwa kauli zake hizo mbili. Akabisha sana mwisho wa siku akarukia katika kauli ya mchangiaji mwingine isemayo "Hakuna chanzo cha chanzo" ,mimi nikaja kumwambia hivi "Kanuni ya chanzo kisichokuwa na chanzo ni sawa na mimi kusema hivi kila kitu kina chanzo isipokuwa Mola pekee".

Kazi sasa ndio ikaanzia hapo na yeye akadakia na kusema hivi "Kila kitu kina chanzo isipokuwa Ulimwengu".

Mimi kwa kuokoa muda nikamwambia hivi "Sawa nimekubali jibu lakini sijakubali juu ya usahihi wa jibu lako". Akawa ana bisha kwa kusema hivi "Kwanini useme jibu langu sio sahihi wakati nimetumia kanuni yenu ?". Nikamwambia sis wenye kanuni ndio tunakwambia sio sahihi sababu kanuni hii ni hasa na maalumu kwa Mola pekee,kwa maana kwa kingine haikubali,kama unaona ina kubali jibu maswali yafuatayo,kuna maswali yapo post # 4288 nilimuuliza ili atuonyeshe ya kuwa kwanini Ulimwengu uwe ndio chanzo cha kila kitu. Maswali hayo mpaka kesho kutwa hajayajibu na nina jua hawezi kuyajibu. Kwa ufupi ni hivyo.

Hata wewe kweli ukiambwa kanuni ni "Kila kitu kina chanzo isipokuwa Allah pekee" ukaja ukasema "Kila kitu kina chanzo isipokuwa Ulimwengu", utakuwa sawa kweli ?

Najutia sana kupoteza muda wangu ku quote huu utumbo

Mara nyingi umekua ukilalamika kua sizielewi post zako, kwa post hii umedhihirisha kwamba wewe ndiye mwenye matatizo


Hoja ya mimi kusema binadamu hana chanzo sikuitoa mimi kulingana na maoni yangu binafsi, bali kulingana na kauli hiyo aliyoitoa huyo nundu kua chanzo cha chanzo hakina chanzo huku hakisisitiza kua haiwezekani kuhoji kwasababu hapo ndipo ukomo wa vyanzo vyote. Nieleweke kua nilivyokua najibu majibu yangu yalilenga maswali ya nundu kwasababu ndiye aliyeanzisha hiyo kanuni na wewe ulikuja kudakia post kwa juu kama shushushu tu. Nimegundua hukufuatilia vizuri huko nyuma mdahalo wetu tulikua tukijadiliana nini na ndio maana tulikua hatuelewani

Hoja ya chanzo niliijibu kwa ujumla huko mwanzo kabisa tena sikuulizwa na wewe, kuna mdau aliuliza swali kujua chanzo cha vyote nikasema sijui jibu. Ila hapo hapo akaja mtu akaniambia kuna kanuni ya kupata jibu akanipa nikaichukua nikatoa jibu kulingana na kanuni inavyosema. Na swala hili sio wewe tu ambalo hamjalielewa kuna mwenzako naye mshana hajalielewa hii inatokana na mihemko ya usimba na uyanga kutofatilia hoja za upande wapili kwa undani kwasababu zinakanusha hoja zako unazoziamini

Kanuni inasema kua kila mtu lazima afe, wewe unauliza na wadigo nao watakufa?? sasa hapo nikujibu vipi? Kwanini nisitie shaka kwamba hujaelewa nilichokiandika


Hii kasumba ya kusema kanuni siyo maalumu kwa vingine isipokua mungu tu, huoni imekaa kiwizi wizi sana??

Nimekuuliza hapa mara kadhaa vipi kama Nikikupa kanuni ambayo inatoa jibu la ulimwengu kua ndio chanzo cha kila kitu kinyume na hapo ukiitumia haitoi jibu sahihi utakubali kuitumia kanuni hiyo?? Utakubali jibu litakalopatikana kupitia kanuni hiyo??
 
Hoja ya mimi kusema binadamu hana chanzo sikuitoa mimi kulingana na maoni yangu binafsi, bali kulingana na kauli hiyo aliyoitoa huyo nundu kua chanzo cha chanzo hakina chanzo huku hakisisitiza kua haiwezekani kuhoji kwasababu hapo ndipo ukomo wa vyanzo vyote. Nieleweke kua nilivyokua najibu majibu yangu yalilenga maswali ya nundu kwasababu ndiye aliyeanzisha hiyo kanuni na wewe ulikuja kudakia post kwa juu kama shushushu tu. Nimegundua hukufuatilia vizuri huko nyuma mdahalo wetu tulikua tukijadiliana nini na ndio maana tulikua hatuelewani
Sawa,tusipoteze muda.

Haya naomba useme wewe nini maoni yako juu ya uwepo wa binadamu na vingine ? Je tuna chanzo au hatuna chanzo ? Kama hatuna chanzo sisi imekuwaje tumekuwepo leo hii duniani ?
Hoja ya chanzo niliijibu kwa ujumla huko mwanzo kabisa tena sikuulizwa na wewe, kuna mdau aliuliza swali kujua chanzo cha vyote nikasema sijui jibu.
Hili swali nakuuliza tena,inakuwaje ukatae uwepo wa Mola kama ni chanzo cha kila kitu hali ya kuwa wewe ulikiri ya kuwa hujui chanzo ? Hili swali nilikuuliza huko nyuma na nikasema kitendo unacho kifanya wewe ni matumizi mabaya ya akili. Unakumbuka swali hili ?
Ila hapo hapo akaja mtu akaniambia kuna kanuni ya kupata jibu akanipa nikaichukua nikatoa jibu kulingana na kanuni inavyosema.
Kwanini hukuhakiki ukweli juu ya kanuni hiyo na wewe ukaitumia kichwa mchunga ? Hili nimekwambia mara kibao ukawa unabisha.
Kanuni inasema kua kila mtu lazima afe, wewe unauliza na wadigo nao watakufa?? sasa hapo nikujibu vipi? Kwanini nisitie shaka kwamba hujaelewa nilichokiandika
Weka kanuni husika na inayohusika na mada hii iko nje ya mada. Sababu suala la kifo ni hasa na nilazima kwa kila kilicho hai.

Sasa kanuni hii na chanzo cha kila kitu ina husiana vipi ? Usicjanganye mambo.
Hii kasumba ya kusema kanuni siyo maalumu kwa vingine isipokua mungu tu, huoni imekaa kiwizi wizi sana??
Haya ndio madhara ya kulilia wembe,wenye kanuni wamekwambia kwamba hii ni maalumu kwa Mola tu na si kwingine,ili uone umaalumu wake ndio maana nikakuuliza yale maswali utuonyeshe kwanini Ulimwengu unataka uingie katika kanuni hii ? Mpaka muda huu hujajibu swali lile wakati yale maswali yalikuwa ya msingi sana. Huu ni uzembe wako na usitafute huruma wakati uliambiwa tangu mwanzo.
Nimekuuliza hapa mara kadhaa vipi kama Nikikupa kanuni ambayo inatoa jibu la ulimwengu kua ndio chanzo cha kila kitu kinyume na hapo ukiitumia haitoi jibu sahihi utakubali kuitumia kanuni hiyo??
Na mimi nilikwambia ya kuwa nitakubali jibu lako lakini sitakubali usahihi wa jibu lako na kanuni husika,sababu hakuna chanzo kingine isipokuwa Mola pekee. Mbona vitu vyepesi sana hivi ? Inakuwake huvielewi ?
Utakubali jibu litakalopatikana kupitia kanuni hiyo??

Nilikwambia zaidi ya mara sita ya kuwa nitakubali bali nilikubali jibi lako lakini nikakwambia sikubali juu ya usahihi wake,ajabu ukabisha sana.
 
Back
Top Bottom