Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Na anzia hapa,sasa basi sababu umedandia treni kwa mbele kwa kuovamia kanuni yetu ambayo na wewe tangu juzi au kabla ya juzi umeanza kuishi humo,mlango uko wazi karibu kwenye ulimwengu wa kufikiri kikubwa.

Hiki sio kichaka,tatizo ni wewe kushindwa kutumia akili kuuliza maswali ya maana. Sasa sababu wote tupo katika maana ya kanuni moja,basi mimi nitakuuliza maswali kuhusu chanzo unacho kiamini ambacho ni Ulimwengu na wewe utaniuliza maswali yako. Vipi uko tayari ?

Sasa nataka tuje kuthibitishiana ya kuwa je ni kweli chanzo cha kila kitu ni Ulimwengu au ni Allah aliye juu,ili tujue kati yangu mimi na wewe nani mkweli.

Je uko tayari kuthibitisha ya kiwa ni kweli chanzo cha kila kitu ni Ulimwengu ?
Kabla ya kwenda huko mbali, nataka unihakikishie umeielewa hiyo kanuni na kuikubali?? Pili jibu langu nililokupa umeafiki kulingana na kanuni yenu kuhusu chanzo??
 
Unakubali kama unaifata hiyo sheria ? Kama unakubali inakuwaje ufate kitu usichokijua ?
Kituko kweli

Mpaka nimehitimisha kua ulimwengu ndio chanzo inamaana ulikua hujui wapi nimesimamia???
 
Anhaaa kwaiyo umekubaliana na jibu langu lililotokana na hiyo kanuni siyo??

Nimekubali jibu lako ila sijakubali usahihi wa jibu lako,ndio maana nataka tuulizane maswali juu ya vyanzo tunavyo viamini kama ni vyanzo vya kila kitu,ili tujue nani mkweli kati yangu na wewe.

Ili unithibitishie ya kuwa ni kweli chanzo cha kila kitu ni Ulimwengu kuna maswali matatu nilianza kukuuliza kuhusu Ulimwengu kama chanzo naomba unijibi kisja na wewe utauliza yako nitakujibu.

Tuanzie hapa.
 
Kaka au lugha yangu nayoitumia imekuzidi uwezo nini ? Mbona kila kitu kipo wazi humo ?

Nimes
Hueleweki, huku unasema unaikubali halafu nikikupa jibu lililopitia msingi huo unaoukubali, unalikataa sasa nikusleweje??
 
Kabla ya kwenda huko mbali, nataka unihakikishie umeielewa hiyo kanuni na kuikubali?? Pili jibu langu nililokupa umeafiki kulingana na kanuni yenu kuhusu chanzo??
Kwanini nisieleww wakati wewe ndio umeinakili toka kwetu,kwenye Mungu wewe umeweka "Ulimwengu".

Nasisitiza ya kuwa nimekubali jibu lako ila sijakubali juu ya usahihi wa jibi lako,ndi maana nataka tuulizane maswali sasa kuhusu viwili hivi.
 
Hueleweki, huku unasema unaikubali halafu nikikupa jibu lililopitia msingi huo unaoukubali, unalikataa sasa nikusleweje??
Kwanza hujanipa jibu na sijakataa bali hujaelewa na huu ni muendelezo wako wa kutokuelewa mambo.

Jambo liko wazi usipoteze muda. Jibu yale maswali yangu niliyo kuuliza kuhusu Ulimwengu kama ni chanzo cha kila kitu.
 
Nimekubali jibu lako ila sijakubali usahihi wa jibu lako,ndio maana nataka tuulizane maswali juu ya vyanzo tunavyo viamini kama ni vyanzo vya kila kitu,ili tujue nani mkweli kati yangu na wewe.

Ili unithibitishie ya kuwa ni kweli chanzo cha kila kitu ni Ulimwengu kuna maswali matatu nilianza kukuuliza kuhusu Ulimwengu kama chanzo naomba unijibi kisja na wewe utauliza yako nitakujibu.

Tuanzie hapa.
Unakubali jibu langu kwa namna ipi? ukisema hakuna usahihi katika jibu langu unaelewa kua unasema hakuna usahihi katika kanuni uliyoikubali kua ni sahihi??

Umeona unavyojichanganya?
 
Kwanini nisieleww wakati wewe ndio umeinakili toka kwetu,kwenye Mungu wewe umeweka "Ulimwengu".

Nasisitiza ya kuwa nimekubali jibu lako ila sijakubali juu ya usahihi wa jibi lako,ndi maana nataka tuulizane maswali sasa kuhusu viwili hivi.

Kwaiyo nyie kanuni yenu ilikua sio rasmi mliitegeshea tu kwenye "mungu" ili ionekane mungu ndio chanzo sio??

Kwanini unipe kanuni yakuchongosha inayokupa majibu unayoyakubali wewe halafu nikitumia kwa namna hiyo hiyo uikatae??
 
Unakubali jibu langu kwa namna ipi? ukisema hakuna usahihi katika jibu langu unaelewa kua unasema hakuna usahihi katika kanuni uliyoikubali kua ni sahihi??

Umeona unavyojichanganya?

Daah,unapenda kupoteza muda sana. Nimekwambia nimekubali jibu lako ila sijakubali usahihi wa jibu lako ndio maana nataka wewe unithibitishie usahihi wa jibu lako,hapo tunautafuta ukweli kwahiyo kuhoji hakuepukiki na ni lazima lifanyike hilo.

Swali lako hilo ni sawa na mimi nikuulize weww ya kuwa je unakubali kama Mola ni chanzo cha kila kitu ? Utajibu ndio au hapana ? Je kujibu kwako hapana kuna badilisha kanuni ya "Hakuna chanzo cha chanzo ?"

Sasa uantakiwa ukuwe na uuize maswali ya msingi sio upoteze muda.

NITHIBITISHIE YA KUWA NI KWELI ULIMWENGU NI CHANZO CHA KILA KITU LWA KUJIBU MASWALI NILIYO KUULIZA HUKO NYUMA.
 
Kwanza hujanipa jibu na sijakataa bali hujaelewa na huu ni muendelezo wako wa kutokuelewa mambo.

Jambo liko wazi usipoteze muda. Jibu yale maswali yangu niliyo kuuliza kuhusu Ulimwengu kama ni chanzo cha kila kitu.

Nakusubiria ukubali jibu langu kwanza
 
Kwanini unipe kanuni yakuchongosha inayokupa majibu unayoyakubali wewe halafu nikitumia kwa namna hiyo hiyo uikatae??

Sijakataa weww usiitumie nimekubali ndio maana narudia mara kwa mara juu ya kujadili ukweli wa vyanzo hivi viwili,ambavyo wewe unasema ni Ulimwengu na mimi nasema ni Mola.

Wewe si ndio umesema ya kuwa "Kila kitu kina chanzo isipokuwa Ulimwengu" na mimi nikasema hivi "Kila kitu kina chanzo isipokuwa Allah aliye juu". Sasa wakati wa mimi na wewe kuthibitisha ukweli wa kauli zetu na mimi nilikuuliza maswali matatu huko nyuma juu ya kauli ya chanzo cha kila kitu kuwa ni Ulimwengu.
 
Daah,unapenda kupoteza muda sana. Nimekwambia nimekubali jibu lako ila sijakubali usahihi wa jibu lako ndio maana nataka wewe unithibitishie usahihi wa jibu lako,hapo tunautafuta ukweli kwahiyo kuhoji hakuepukiki na ni lazima lifanyike hilo.

Swali lako hilo ni sawa na mimi nikuulize weww ya kuwa je unakubali kama Mola ni chanzo cha kila kitu ? Utajibu ndio au hapana ? Je kujibu kwako hapana kuna badilisha kanuni ya "Hakuna chanzo cha chanzo ?"

Sasa uantakiwa ukuwe na uuize maswali ya msingi sio upoteze muda.

NITHIBITISHIE YA KUWA NI KWELI ULIMWENGU NI CHANZO CHA KILA KITU LWA KUJIBU MASWALI NILIYO KUULIZA HUKO NYUMA.

Muda unaupoteza wewe kwa kutokili kua jibu nilokupa ni sahihi kwasababu lina kanuni zote ambazo zipo kwenye hiyo shsria

Kwanini jibu lisiwe sahihi wakati limetumia misingi yote ya kanuni?? Hujui kukana kwako jibu langu unakua umekana kanuni yako mwenyewe??
 
Sijakataa weww usiitumie nimekubali ndio maana narudia mara kwa mara juu ya kujadili ukweli wa vyanzo hivi viwili,ambavyo wewe unasema ni Ulimwengu na mimi nasema ni Mola.

Wewe si ndio umesema ya kuwa "Kila kitu kina chanzo isipokuwa Ulimwengu" na mimi nikasema hivi "Kila kitu kina chanzo isipokuwa Allah aliye juu". Sasa wakati wa mimi na wewe kuthibitisha ukweli wa kauli zetu na mimi nilikuuliza maswali matatu huko nyuma juu ya kauli ya chanzo cha kila kitu kuwa ni Ulimwengu.

Sijasema uniambie kama umekubali mimi kutumia au lah? Nimekuambia kwanini unipe kanuni uliyojilengeshea jibu ambalo liko mfukoni mwako??

Kanuni yako inasema chanzo cha chanzo hakina chanzo, nimekujibu ulimwengu ni chanzo cha vilivyomo ndani yake hivyo hauna chanzo, kwanini ukatae jibu hili wakati limefata njia zote za kanuni???
 
Muda unaupoteza wewe kwa kutokili kua jibu nilokupa ni sahihi

Kanuni ile ni hasa yaani maalumu kwa Mola pekee,haikubali kwa kinyume chake,sababu wewe hufata mambo kichwa mchunga umeidandia na kuitumia,nimekuacha ufanye hivyo ili unithibitishie ya kuwa Ulimwengu kweli ni chanzo cha kila kitu.

Kwahiyo napokwambia ya kuwa nimekubali jibu lako ni kuwa nimekubali ili unithibitishie lakini sijakubali usahihi wa jibu lako sababu limekaa mahala ambapo si pake.

Maswali yangu kwa kuweka kumbukumbu sawa yapo post # 4,288.

Tuendelee .....
 
Sijasema uniambie kama umekubali mimi kutumia au lah? Nimekuambia kwanini unipe kanuni uliyojilengeshea jibu ambalo liko mfukoni mwako??
Wewe kwanini utumie kanuni hiyo ?

Kanuni yako inasema chanzo cha chanzo hakina chanzo, nimekujibu ulimwengu ni chanzo cha vilivyomo ndani yake hivyo hauna chanzo, kwanini ukatae jibu hili wakati limefata njia zote za kanuni???
Wewe unakubali kama Mungu ndio chanzo cha kila kitu ? Jibu hukubali,kitakacho fata kwako ni kutak uthibitisho toka kwangu juu ya hilo na mimi nataka unithibitishie ya kuwa ni kweli Ulimwengu ndio chanzo cha kila kitu ? Ndio maana nimekuuliza maswali yale matatu kule post # 4,288.
 
Ok kwaiyo jibu langu ni sahihi siyo??

Mimi nataka kufunga mjadala huu maana naona napoteza muda.

Nasema hivi kwangu mimi jibu lako sio sahihi ila nimekubali ili unithibitishie. Kwani wewe mimi naposema chanzo cha kila kitu ni Mola kwa upande wako niko sahihi ?

Kama hujaneielewa hapo sidhani kama utanielewa tena,na sidhani kama huelewi hiki ninacho kariri zaidi ya mara tano sasa,lakina nina uhakika unaleta usanii sababu maswali niliyo kuuliza huwezi kuyajibu.

Ninasema mimi hivi,ukijibu maswali yangu matatu marahisi katika post # 4,288 kisha naomba uniulize maswali yako na mimi nina kuahidi sitakupotezea muda kama wewe unavyonipotezea.

NIMEMALIZA.
 
Back
Top Bottom