Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,873
- 131,556
Nakujibu swali huku nikizingatia msingi wa kanuni, sio nijibu swali kihilolela ilihali nimevunja kanuni ya mjadalaNakuuliza swali hujibu,embu jaribu kujibu nilicho kuuliza au hujakielewa ? Sijakuuliza kwamba uniambie ulimwengu ni chanzo au la,soma tena swali langu,naona unajibi amnacho sijakuuliza.
Hapa naona kama kuna kitu umekisahau,umesema "...tunaona ulimwengu ni chanzo cha vingine,...". Rekebisja haraka,kabla sijakubana tena.
Hili swali kidogo lipo nje ya maada,ila lina maana sana,maana naona unatumia msingi dhaifu wa kimantiki,ushawahi kusoma elimu ya LOGIC ?
Chanzo cha chanzo hakina chanzo, kwa principle hii ulimwengu ni chanzo cha vingine. Swali ambalo linaweza kujibiwa hapa kulingana na sheria hii ni vyanzo vya vitu vilivyomo ndani ya ulimwengu kinyume na hapo umekiuka kanuni