Astronomer The Great
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 978
- 575
Sasa tatizo kinachoelezwa au tatizo ni ushahidi?
Sasa nyinyi hizo habari mmejuaje kama ni za kweli maana hamkuwahi kuwepo
Sasa tatizo kinachoelezwa au tatizo ni ushahidi?
Ndio nina akili
Jr
Kwani huyo MUNGU uliyemtaja hapo ni nani?, Ni nini?.Ulishwahi kumuona huyo mungu?
Toa ushahidi wa vitu alivyoumba?
WEWE ni kiumbe chake.Ulishwahi kumuona huyo mungu?
Toa ushahidi wa vitu alivyoumba?
Na ndio tunapotofautiana kwa sababu point ya imani haizingatiwi na kibaya ndio point ya msingi,tatizo tunapojadili mada hizi imani mnafanya kama ni jambo ambalo linatumika masuala ya Mungu na dini tu na ndiyo maana hata tueleze vp inachukuliwa kama tunaongea story za kutunga tu.Sasa nyinyi hizo habari mmejuaje kama ni za kweli maana hamkuwahi kuwepo
ataishia kukupa blabala tuu.. Hatakaa aweze kujibu imani nininiNa ndio tunapotofautiana kwa sababu point ya imani haizingatiwi na kibaya ndio point ya msingi,tatizo tunapojadili mada hizi imani mnafanya kama ni jambo ambalo linatumika masuala ya Mungu na dini tu na ndiyo maana hata tueleze vp inachukuliwa kama tunaongea story za kutunga tu.
Labda nikuulize kwako imani unaichukuliaje?
Firm belief in something for which there is no proof...ataishia kukupa blabala tuu.. Hatakaa aweze kujibu imani ninini
Jr
Hata wanaokata viungo vya albino kwa mategemeo ya kupata mafanikio ni imani pia....ataishia kukupa blabala tuu.. Hatakaa aweze kujibu imani ninini
Jr
Imani ni kukubali kitu flani kipo ambacho hakithibitishiki kua kipo na hakuna uwezo wa kuthibitishika kwa namna yeyote ileNa ndio tunapotofautiana kwa sababu point ya imani haizingatiwi na kibaya ndio point ya msingi,tatizo tunapojadili mada hizi imani mnafanya kama ni jambo ambalo linatumika masuala ya Mungu na dini tu na ndiyo maana hata tueleze vp inachukuliwa kama tunaongea story za kutunga tu.
Labda nikuulize kwako imani unaichukuliaje?
Kaishajibiwaataishia kukupa blabala tuu.. Hatakaa aweze kujibu imani ninini
Jr
Jambo lolote linalojulikana (facts) huwa halitumii dhana ya imani...Imani ni kukubali kitu flani kipo ambacho hakithibitishiki kua kipo na hakuna uwezo wa kuthibitishika kwa namna yeyote ile
Sent using unknown device
Hiyo sio tafsiri ya imani bali ni maelezo ya ziadaHata wanaokata viungo vya albino kwa mategemeo ya kupata mafanikio ni imani pia....
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni mfano wa imani...to complement maana unayoikataa hapo juu.Hiyo sio tafsiri ya imani bali ni maelezo ya ziada
Jr
IMANI ninini....Huo ni mfano wa imani...to complement maana unayoikataa hapo juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Imani ni kukubali kitu flani kipo ambacho hakithibitishiki kua kipo na hakuna uwezo wa kuthibitishika kwa namna yeyote ile
Sent using unknown device
Hivyo kulingana na mtazamo wa wadau na tafasiri yako ya neno imaniImani ni kukubali kitu flani kipo ambacho hakithibitishiki kua kipo na hakuna uwezo wa kuthibitishika kwa namna yeyote ile
Sent using unknown device
Ndio ni vitu ambavyo havithibitishiki na ndio maana unatakiwa ukubali kindezi kua vipoUna uhakika na hiyo tafsiri yako? Unataka kuniambia imani inatumika kukubali uwepo wa vitu tu na tena hakuna namna ya kuja kuthibitisha?
Imani kwa Kiswahili ni neno lenye maana mbalimbali lakini ile kuu inahusiana na kitenzi kuamini, kinachofanana na kusadiki. Hapo ni kukubali ukweli wa jambo lisiloweza kuthibitishwa.IMANI ninini....
Jr